Na wengi huzani ni wanaume tu ndiyo wanaonyimwa, wanasahau wanaume wanakuwa na michepuko wakirudi majumbani wamechoka, na mwishowe wake zao wanakata tamaa, siku akihitaji wanakuta mke alishatoka kwenye mfumo, na ugomvi huamzia hapo na kusahau tatizo lilianzia kwake.Ni kweli kunyimana unyuma ni jambo linaloleta msongo wa mawazo
Wakizingua naongeza wa 3 wakizingua tena naongeza wa4Kwani yeye sio mwanamke? Nayeye akishajua mapungufu ya mwinzie naye ataanza kukunyoosha siku ya siku unsjikuta kati unapigwa huku na huku mara pressure hiyo, mke mmoja anakusumbua je hao wawili?
Utajuaje?05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.
Salha wa mwanza na yule boya lake ndio the same Hamis1.Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.
2.Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂
03.Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae
04.pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.
05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.
06.ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya
07.Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.
08.Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.
Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa
09.Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.
10. Kunyimana unyumbaa ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Wanaume huwa hawabadili dini kufuata wanawake. Kuna msemo, "Mwanamke hana dini" ukimaanisha yeye yu tayari kubadili kumfuata mume.nilitamani kubadilisha dini
Jiandaye kula vingi halafu wanakuchora tu kama bwege wao 😅😅😅Wakizingua naongeza wa 3 wakizingua tena naongeza wa4
CUBIRI cOURT OF APPEAL JUDGEMENT....HIZI A hIGH COURT ZIKO FLAUTED IN REASONING ZILIZO NYINGI!1.Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.
2.Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂
03.Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae
04.pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.
05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.
06.ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya
07.Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.
08.Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.
Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa
09.Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.
10. Kunyimana unyumbaa ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
[emoji3][emoji3][emoji3]Mkishatendwa huko ndio mnakumbuka kuna kukataa Ndoa.
1.Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.
2.Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂
03.Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae
04.pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.
05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.
06.ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya
07.Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.
08.Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.
Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa
09.Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.
10. Kunyimana unyumbaa ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Kwamba mshkaji alibadili dini?1.Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.
2.Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂
03.Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae
04.pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.
05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.
06.ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya
07.Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.
08.Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.
Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa
09.Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.
10. Kunyimana unyumbaa ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Na mkristo mpumbavu ndie atabadili dini kisa mke au mumeOnly muislam mpumbavu ndio atabadili dini kwa ajili ya mwanamke
Huwezi kunyimwa unyumba bila sababu. Tatueni matatizo yenu na kama imeshindikana piga chini jiunge na KATAA NDOA.Ni kweli kunyimana unyuma ni jambo linaloleta msongo wa mawazo
Wakizingua nawapa talaka wote naanza upya mzee, wasiwasi wako nini?Jiandaye kula vingi halafu wanakuchora tu kama bwege wao 😅😅😅
HAPO SASAHivi hii U
Hivi hii Hukumu ya kunyongwa iko mara 2?, kuna Kunyongwa hadi kufa na Kunyongwa pasipo kufa?
HAPO PIA KUNA SABAB ILIYOMFANYA AWE MZINZ NA MLEVYule alifunga ndoa ya kikristo hakuna kuachana ,
angepoteza mali zake kweny talaka ...Kikubwa zaidi nasikia jamaa ndiye aliyeanza uzinz na ulevi mpaka kurudi usiku wa manane.
Funzo kubwa : mwanamke akilipiza lazima usande.