Kwa huu uchaguzi wa Kenya, familia na wapenzi wa Hayati Magufuli muombeeni toba mpendwa wenu

Pumbav demorasia ya nioko , Tanzania hii ? ,kama Huna cha kuandika Bora ukae kimya mbw@ we
 
Pale Pale Raia anapoenda kinyume na matarajio ya waliomweka anatafutiwa sababu za kuchukiwa ILI wapate Baraka za kutokuwa na imani nae!!hivyo tu!!
 
Kama tatizo halikuwa magufuli mbona baada ya yeye kufa yale matukio hatuyasikii Tena?
 
Kwa huu uchguzi wa Kenya ulivyo poa, na hayo aliyoyafanya ambayo ni ufisadi wa moyo, aungue abaki majivu huko aliko!
 
Pumbav demorasia ya nioko , Tanzania hii ? ,kama Huna cha kuandika Bora ukae kimya mbw@ we
Tanzania is a blessed country East and Central Africa.

Tunakimbiza Afrika na Dunia kwa ujumla.
 
Uchaguzi kuoyeshwa kwenye Tv haimanishi ni wa haki na huru, ni njia ambayo Kenya hutumia kuwachota akili watu wajionee kuwa huu ni uchaguzi huru kumbe sio, leo ni siku ya nne hakuna results wana zunguka tu , hata IEBC yenyewe ina ona ni moto haijui ifanye nini, kama ni huru kwa nini kila TV ina matokeo yake na mgombea wake mfukoni, kwa aibu hiyo wameondoa matokeo ya urais katika vituo vyote vya Tv na kubakiza porojo za wabunge na magavana, hiyo inaashiria nini? hapo sasa ndo wizi utatembea , yaani Africa kuwa na uchaguzi huru ni ngoma nzito.
 
Marais waliomtangulia hivyo vitengo vya usalama havikuwepo?
Why viwe active wakati wake?
Huna hoja ficha trako
 
Mbona Mkapa na Kikwette hawakufanya UHAYAWANI kama aliyofanya Magufuli kwa Katiba hiyo hiyo? Kuiba mpaka uchaguzi wa vitongoji mwaka 2019 na uchaguzi wote wa wabunge mwaka 2020, ilikuwa ni kielelezo cha UKICHAA wa hali ya juu
 
Acheni wakenya wafurahie mavuno ya waliyoyatafuta kwa jasho,damu na hata kifo ilipo bidii ili tu kupata katiba mpya na tume huru kwelikweli, Sasa wabongo haya hatuyawezi acha kijani watunyonye damu mpaka mbavu zitutoke
 
Wakenya wezi sana na wana mbinu hapo wanatuzuga kumbe chini ya kapeti michezo michafu inaendelea.

Uhuru kamuunga mkono Raila kwakua hamuamini Ruto.

Hana uhakika Ruto akishika nchi atamfanya nini.

Hivyo kinachoendelea sasa ni mipango ya wizi wa kura.
 
Nimecheka kwa nguvu, eti demokrasia walijifunza kwetu. Hizi siasa za kikondoo ndio Wakenya watuige? Sisi kwetu Tanzania kuanzia uchaguzi mpaka matokeo ni uhayawani mtupu. Na kwa taarifa yako wakenya wanatudharau sana toka zamani maana wanajua sisi ni maiti hai. Ccm wako wanaomba usiku na mchana kenya yatokee machafuko ili wapate mahali ya kufichia aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…