Kwa huu uchaguzi wa Kenya, familia na wapenzi wa Hayati Magufuli muombeeni toba mpendwa wenu

Kwa huu uchaguzi wa Kenya, familia na wapenzi wa Hayati Magufuli muombeeni toba mpendwa wenu

Tufanye Hayati Magufuli (JPM) hakuamrisha shambulio la Lissu.

Tufanye JPM hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.

Tufanye JPM hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.

Tufanye hakuna familia zilizoathirika na wazazi wao kufukuzwa kazi kionezi.

Tufanye hakuna watu waliofunguliwa kesi za kubambikia na uonevu.

Tufanye hakuna watu waliopotea na kutupwa baharini kwenye viloba.

Tufanye JPM hakufanya lolote baya katika hayo niliyoyataja!

Lakini kwà namna ya uwazi wa uchaguzi wa kenya ulivyoendeshwa bila hata kuzima intanet.

Nawasihi familia ya Hayati Magufuli imuombee toba mbele za Mungu!
Sisi tunataka mtu kama jpm DICTATOR MZALENDO kwanza jpm alikuwa mpole sana hivi mtu kama kikwete alikuwa ni wakuachwa kuishi kweli ...watz tuwe wakweli kwenye ukweli tuseme wazi wazi ....mtu kama singasinga wa pesa za rumbesa ni wakuachwa kuishi kweli ...nape na makamba na familia yake ....mm nampinga jpm kwa upole wake naomba tanzania tupate DICTATOR MZALENDO KWELIKWELI AMBAYE ACHEKI NA WAHUNI HATA SEKUNDE MOJA
 
Tufanye Hayati Magufuli (JPM) hakuamrisha shambulio la Lissu.

Tufanye JPM hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.

Tufanye JPM hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.

Tufanye hakuna familia zilizoathirika na wazazi wao kufukuzwa kazi kionezi.

Tufanye hakuna watu waliofunguliwa kesi za kubambikia na uonevu.

Tufanye hakuna watu waliopotea na kutupwa baharini kwenye viloba.

Tufanye JPM hakufanya lolote baya katika hayo niliyoyataja!

Lakini kwà namna ya uwazi wa uchaguzi wa kenya ulivyoendeshwa bila hata kuzima intanet.

Nawasihi familia ya Hayati Magufuli imuombee toba mbele za Mungu!
Mwenyezi Mungu alimwondosha wakati sahihi
 
Wakenya wako smart najaribu kuwaza tu kama wangekuwa hawana kadhia ya ukabila wangekuwa mbali kiasi gani ,naamini wangekuwa 5 bora kiuchumi Africa
Sisi tuko smart zaidi ya wakenya amini nakuambia ndg yangu!
 
Wakenya ni watu maskini sana ukifanya comparison na watanzania.

Demokrasia hiyo unayoiona wewe walijifunza kwetu baada ya kuuana sana kila chaguzi.

halafu watu huwa wanapinga matokeo na sio uchaguzi.

Ngoja kwanza wamalize mchakato wote mpaka kuapishwa kwa Rais wao ndio uwapongeze.
Sio lazima uuandike upuuzi wako.
 
Mkuu

Rais hashiki silaha za kumuua mtu!

Pia anaelekezwa masuala ya kiusalama!

Ni mgeni kabisa kwenye usalama na anaelekezwa tu na baadhi ya mambo ya mfumo hufanywa bila maelekezo yake!!

Swala la Demokrasia Sio la Rais pekee ni mfumo wa nchi yetu kuanzia kwenye katiba Hadi kwenye mamlaka ambapo mamlaka waliamua eti ccm iwe kama Dini,mzimu na mwiko wa kudumu ambao utalindwa kwa gharama yeyote ile!!

Sisi kama nchi mamlaka yetu iliamua ccm iwepo Hadi leo madarakani Hadi pale mamlaka itakapoamua tena vinginevyo wala Sio sanduku la kura!Na Katika kujiandaa kuja kwa demokrasia ya kupika ndio mamlaka imeamua katiba KWANZA IPATIKANE Baada ya changamoto za 2020!

Katiba ikishapatikana tu na mamlaka itaamua Sasa mstakabali wa siasa ZETU ndipo CCM itaamua KUZAA vyama vingine na yenyewe kufa kibudu coz inajua haiwezi chomoka kwa katiba mpya itakayo patikana!!

Tatizo halikuwa jpm bali mfumo uliopo Ndio Tatizo
Sisi tunaimba

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Haya yote ya utekaji, kuwapokonya wapinzani fomu, kuambiwa wamekosea kujaza fomu nakadhalika yalifanyika kipindi cha JK ama Rais yeyote mstaafu kabla ya uhuni wa mwaka 2020?

Usiseme ni mfumo wa nchi yetu bali Rais anaweza kutoa amri ya jambo lolote na likafanyika no matter what.

Uchafuzi wa 2020 ni ushamba wa hali ya juu kabisa kuwahi kutokea nchi hii.
 
Tufanye Hayati Magufuli (JPM) hakuamrisha shambulio la Lissu.

Tufanye JPM hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.

Tufanye JPM hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.

Tufanye hakuna familia zilizoathirika na wazazi wao kufukuzwa kazi kionezi.

Tufanye hakuna watu waliofunguliwa kesi za kubambikia na uonevu.

Tufanye hakuna watu waliopotea na kutupwa baharini kwenye viloba.

Tufanye JPM hakufanya lolote baya katika hayo niliyoyataja!

Lakini kwà namna ya uwazi wa uchaguzi wa kenya ulivyoendeshwa bila hata kuzima intanet.

Nawasihi familia ya Hayati Magufuli imuombee toba mbele za Mungu!
Huu nao ni ushuzi kama shuzi zingine
 
Subiri Rais aapishwe ndiyo ujuwe mshindi nani!? Hao wa Kenya nawajuwa,hawachelewi kuapishana ma Rais wawili na kila Mtu na kasehemu kake ka utawala!!!!
Bora hata hao wana uhuru wa kuapishana, kwenda mahakamani nakadhalika.

Hapa Danganyika huruhusiwi kwenda mahakamani hata kama Rais kakwapua uchafuzi mzima yeye ndiye mwenye mamlaka hata kama haramu.

Hapa kwetu kujiapisha ni kosa la uhaini. Kenya mtu anajiapisha kama Rais hakuna kosa la uhaini na wametuzidi uchumi.
 
Tufanye Hayati Magufuli (JPM) hakuamrisha shambulio la Lissu.

Tufanye JPM hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.

Tufanye JPM hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.

Tufanye hakuna familia zilizoathirika na wazazi wao kufukuzwa kazi kionezi.

Tufanye hakuna watu waliofunguliwa kesi za kubambikia na uonevu.

Tufanye hakuna watu waliopotea na kutupwa baharini kwenye viloba.

Tufanye JPM hakufanya lolote baya katika hayo niliyoyataja!

Lakini kwà namna ya uwazi wa uchaguzi wa kenya ulivyoendeshwa bila hata kuzima intanet.

Nawasihi familia ya Hayati Magufuli imuombee toba mbele za Mungu!
Toba kwa marehemu haisaidii kitu chochote kwani kwa Mujibu wa Bibilia aliyefariki hana historia wala habari yoyote inayoendelea duniani.
 
Back
Top Bottom