Nguvu ya uma isiyodhibitika ni mamlaka na hakuna anayeweza kuizuia na hilo lipo wazi. Tatizo ni kuitegemea kuingia ikulu bila kuwa na hakika kuwa uma upon tayari kuitumia.Sasa jaribuni kuingilia matakwa ya wananchi ndo mtaona kama Kuna hatari ya nguvu ya umma au la!!
Uchumi shirikishi na imara utaletwa na Sera hizi za Chadema na Lissu. Sio sera za kukimbiza wawekezaji na kuwafirisi Kama za MagufuliHuyo jamaa kwenye uchumu imara na shirikishi naona anaioneshea kidole Boeing 787
Sawa mkuuKwani Bongo ni mbinguni??? Amini amini nakwambia, Tundu Antipas Lissu ndo raisi wako kuanzia October 2020!
Eti hawafiki hata 10! kwa taarifa yako huku ni watu huru wanaotoa mawazo yao huru. Hatuna haja ya kuwa kama nyie Lumumba na wakabila Kina Gwajima wanaohamaishana kufanya kampeni za kibaguzi kumbeba huyo magufuli wenuMkuu chunguza sana wanaosema hivyo wapo kama 10 hivi hapa Jf na id zao kila siku zinajulikana
Nani kakwambia kuwa Chadema hawapo tayari??? Wako tayari kimkakati na hata kiakili pia!!Nguvu ya uma isiyodhibitika ni mamlaka na hakuna anayeweza kuizuia na hilo lipo wazi. Tatizo ni kuitegemea kuingia ikulu bila kuwa na hakika kuwa uma upon tayari kuitumia.
Wanafahamu wanachokipata.Hawa wapinzani wa tz bwana wananiachaga hoi sana maana ni kama umekaa chini ya mnazi halafu unasubiri embe lidondoke ule. Siku nitakapowaona wapinzani kwamba kweli wamekua na wapo tayari kuingia ikulu ni pale watakapofanyia kazi yale yanayowazuia kuingia ikulu miaka karibia 30 sasa. Ila kwa sababu harusi imekaribia wacha tu wawe wapambe na wakamsindikize bwana harusi (CCM) lakini wakumbuke mwisho wa harusi ni bwana harusi ndiye anaondoka na mke na wala siyo wapambe au wasindikizaji.
Wewe unataka hoja mpya, au hoja zenye manufaa kwa taifa?Mkuu hamna hoja mpya hapo ni zilezile za Copy and paste.
Endelea tu kujitoa ufahamu utadhani na wewe umekuja toka ubeligiji juzi juzi umeshaisahau tanzania! Haki ya mbongo mwaka huu wehu kutoka mtaa wa ufipa mtaongezeka sana mtaani!Unasema unataka aseme atafanyia nini taifa kwani huu uzi unahusu Sera za Nani????
Kweli Mataga mmechanganyikiwa Aisee. Poleni sana
Hapo kwenye tarehe sijaelewa mkuu! Kulikuwaje siku ya 27 Feb 2020?Mlisema tarehe 27/2/2020 Lissu atapokew mtandaoni ila salamu mlizipata. Unazungumzia Sera kwani huu uzi uliochangia humu unahusu Sera za nani??? Hizo ndo sera za Lissu na hizi ndo Sera za Chadema!!
Ajab ya mambo yetuAmani iwe nanyi wadau!
Ni dhahili kuwa mwaka huu 2020, Hatimaye Tanzania kwa mara ya kwanza tumepata Chama ambacho kina Sera sahihi za kutupeleka kwenda kwenye nchi tunayoitaka. Yaani” Tanzania Dream”
Ni dhahili pia kuwa baada ya sera za kijamaa za CCM zilizotufanya kuwa mafukara kwa karibu miaka 59 tangu uhuru sasa zimepata Sera mbadala za kutukomboa kweli na kuleta ustawi sahihi kwenye nchi yetu. Sera hizi ni za uchumi huru wa kuruhusu sekta binafsi kuendesha uchumi wa nchi
Ni dhahili pia kuwa baada ya miaka 59 ya kutawaliwa huku tukilishwa ujinga na upumbavu na CCM sasa nchi yetu inaenda kuwekewa mfumo sahihi wa maendeleo utakaofanya kila sehemu kuwa na maendeleo no matter kiongozi wa iyo sehemu anatoka Chama gani
Kusema kweli nimeshawishiwa na hizi Sera za Chadema, Nimeshawishiwa na Mgombea wa Chadema Tundu Antipas Lissu.
Dawa ya umasikini na ujinga wa watanzania sasa imepatikana rasmi.
Hongereni sana Chadema.
SASA NI RASMI, Tumepata “TANZANIA DREAM”
View attachment 1531816View attachment 1531817View attachment 1531818View attachment 1531819View attachment 1531820View attachment 1531821
Nimerekebisha ndugu ni tarehe 27/7/2020Hapo kwenye tarehe sijaelewa mkuu! Kulikuwaje siku ya 27 Feb 2020?
Kwani Malawi upinzani uliposhinda kulikuwa na Tume huru??? Mtajua hamjui mwaka huu! SubiriniAjab ya mambo yetu
Cku hzi Tume Huru Ya Uchaguzi sio Ajenda Tena
Sijasema chadema hawapo tayari, nimesema uma wa Tz bado hakuna uhakika kuwa upo tayari kwa hilo linaloandaliwa. Kuna vipimo vinavyopima hatari ya machafuko na mpaka sasa vipimo havionyeshi hali ya hatari. Ndio hali inaweza kubadilika lakini mamlaka nayo inajiandaa kuhakikisha hali inabaki kuwa shwari.Nani kakwambia kuwa Chadema hawapo tayari??? Wako tayari kimkakati na hata kiakili pia!!
Slaa siyo mwizi wa wake za watu, mwizi wa wake za watu huyu hapa.Acha kumfananisha Silaa mwizi wa wake za watu aliyelaaniwa na Mungu kwa kuacha upadre na Shujaa Lissu aliyeponywa kwenye Risasi 38 na Mungu!!
Yaani nina wasiwasi na uelewa wako. Kwa hiyo wewe unadhani Malawi ndiyo mara yao ya kwanza kuweka upinzani madarakani? Pia usifananishe mfumo wa siasa wa Malawi na Tanzania ni vitu viwili tofauti sana. Tena kwa malawi ni kama wananchi wameamua kuirudisha ccm madarakani baada ya upinzani kupewa nafasi ya kuongoza nchi na kuboronga. Kila kitu kina mizizi yake! Nakutakia ndoto njema karibu kunapambazuka!Kwani Malawi upinzani uliposhinda kulikuwa na Tume huru??? Mtajua hamjui mwaka huu! Subirini
Kwanza u naelewa nini unaposikia kwa kushirikiana na sekta binafsiWeka mikakati wazi utafanikishaje hayo unayoyahadi. Wansema," Chadema itaboresha mazingira ya uwekezaji" kwa namna gani!? Mtagawa vitaru vya uwindaji bure, mtagawa machimbo ya madini bure, mtaruhusu wamiliki wa shule binafsi wajipangie cha kufanya Kwenye shule hizo bili kuingiliwa na mamlaka za serikali!?... Ebu fafanua utekelezaji wa hata mnayoahidi.