Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abdul S Naumanga kuna hoja inakuhitaji hukuKama leo imetokea umepata nafasi ya kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, ukangalia hali ya masuala ya Kisheria nchini pamoja na mfumo wa utoaji Haki, utaanza na mabadiliko gani ili kuongeza Haki na Uwajibikaji nchini?
Ni Kubadilisha Katiba ya nchi iliyopo pamoja na Sheria zingine zote zilizopo hivi sasa hapa Tanzania na kuigeuza nchi yote kuwa nchi yenye Utawala wa Kidemokrasia na unaofuata mfumo wa Utawala Bora wa Sheria.Kama leo imetokea umepata nafasi ya kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, ukangalia hali ya masuala ya Kisheria nchini pamoja na mfumo wa utoaji Haki, utaanza na mabadiliko gani ili kuongeza Haki na Uwajibikaji nchini?
Abdul S Naumanga kuna hoja inakuhitaji huku