Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe ni umaskini au ni maskini ndio wanaifuata pombe?Pombe ni umaskini wa kujitakia ngoja waje walee jamaa utisikia maneno yao
Ha ha ha haaaaaa! Umeharisha kama mnyama Fungo? Ni zile nyama zenu watu wa Dar za ngozi ya ng'ombe!Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
patrickk anajua kwamba umeanza tena Pombe?Mimi ndo nimeanza pombe mwaka huu
Hongera tena ukitumia Kili lager hutajutia karibu kwenye chama.Mimi ndo nimeanza pombe mwaka huu
Alcohol free since January 1 2024.Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Pombe inasingiziwa sana. Mtu kafakamia mangararimo yake huko, then anakwenda kuisingizia pombe🙆♂️🙆♂️🙆♂️Pombe ni umaskini au ni maskini ndio wanaifuata pombe?
😄😄😄 pombe ipo karne na karne inakupokea jinsi unavyokuja tu wala nyenyewe haina wenge imetulia zake tu kwenye chupa.Pombe inasingiziwa sana. Mtu kafakamia mangararimo yake huko, then anakwenda kuisingizia pombe🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Sababu ni nini mama mtu?Mimi ndo nimeanza pombe mwaka huu