Kwa jinsi nilivyoharisha leo, natangaza kuacha pombe aisee

Kwa jinsi nilivyoharisha leo, natangaza kuacha pombe aisee

Pombe shenzi kabisa nishawi kuinywa na kujikuta npo home alafu kumbukumbu empty kabisa nakumbuka nilipokuwepo ila sio nilikopita aisee Mungu nisaidie niachane nayo maana nimekuwa rafiki yake miaka mingi natamani niachane naye
 
Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Zimua kwa K-Vant.
 
Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
kunywa pombe za kienyeji man!! wazungu hawatupendi,,,,,shauri yako!!!...mimi nakunywa mnazi na pombe ya warioba!!
 
Safi kaka,ebu tupe mabadiliko mazuri uliyoyaona kipindi hiki?
Hata kabla ya hapo nilikuwa ninepunguza sana, kwa hiyo sikuona mabadiliki makubwa kwa wakati mmoja.

Ila nimeona nina energy zaidi, sina hangovers, uzito umepungua kidogo, naona kuna improved liver function, nalala vizuri zaidi, I am less dehydrated,
 
Kuna mtu kama wiki 2 zimepita nimemsikia akilalamika kuharisha baada ya kunywa Bia sasa sijui za ndania au nje ya nchi...
Mimi napenda vinywaji vitamu vitamu hivyo napendelea kunywa nusu kreti ya flying fish hivyo majuma kadhaa nilijaaliwa hela Fulani ,nikaamua nisinywe ulanzi ikabidi nikabadili ladha ni huko nilipatwa na tumbo la kuhara baada ya usiku ule .

Mwanzo nilidhani labda ni kwa vile sijazoea kuchezesha kiuno kwa haraka maana baada ya gambe nikipata kitoto kizuri nikaenda nacho kuimalizia siku Ila mtoto alikuwa na miuno Sana kiasi Cha Mimi kuwa nazungusha kiuno kwendana naye ni hapo nikawa nasikia mlio wa bia zangu tumbo zikirindima nikahisi labda ndiyo chanzo .

Ila baada ya mpenzi Evelyn Salt na wengineo kulia kwa maajabu haya basi imenibidi nibadili mawazo kuwa sio miuno feni ya yule binti iliyonifanya na Mimi kuzungusha kiuono kiasi Cha kuzisikia bia zangu tumboni zikirindima Kama maji Bali Ni mabia niliuobugia .

Ahsanteni Sana
 
Back
Top Bottom