Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
😁 Bro bia mbili mkojo jaba 🙌Au ulikunywa pilsner?....ina hii issue inaweza kuwa serious hebu wewe na Evelyn Salt mtutajie bia mlizokunywa tuanze kuwa makini ukute kuna shida mahala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁 Bro bia mbili mkojo jaba 🙌Au ulikunywa pilsner?....ina hii issue inaweza kuwa serious hebu wewe na Evelyn Salt mtutajie bia mlizokunywa tuanze kuwa makini ukute kuna shida mahala
😂😂😂Pombe ni umaskini au ni maskini ndio wanaifuata pombe?
Bado ww ni mdogoJamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Mimi huwa ni mpenzi wa safari lager chief.Au ulikunywa pilsner?....ina hii issue inaweza kuwa serious hebu wewe na Evelyn Salt mtutajie bia mlizokunywa tuanze kuwa makini ukute kuna shida mahala
OK,,,,pole mkuuMimi huwa ni mpenzi wa safari lager chief.
Mimi nilitapika usiku kucha na nilikuwa nimekunywa bia 4 tu,sina hamu na pombe mpaka leoPombe za siku hizi ni hivyo, TBS wakishapitisha hawafatilii Tena .
Haya mabia ya siku hizi bure kabisa. Jana kuna sehemu nilikua nakunywa haya mabia yenye rangi ya yanga nikawa nasikia harufu fulani siielewi. Nilikunywa 2 tu nikaacha nikaenda zangu kulala.Mimi nilitapika usiku kucha na nilikuwa nimekunywa bia 4 tu,sina hamu na pombe mpaka leo
😂😂😂🙌Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Mimi ndo nimeanza pombe mwaka huu
Nafahamu, mpaka JD, BL feki kibao..k vant ilikuwa zamani, sasa mafeki yamejaa kitaa, kuwa makini yasikukute ya wale waliotumia mafuta kule dovya....
Huwezi kuachaJamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.