NACKO
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 1,298
- 2,514
k vant ilikuwa zamani, sasa mafeki yamejaa kitaa, kuwa makini yasikukute ya wale waliotumia mafuta kule dovya....Zimua kwa K-Vant.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
k vant ilikuwa zamani, sasa mafeki yamejaa kitaa, kuwa makini yasikukute ya wale waliotumia mafuta kule dovya....Zimua kwa K-Vant.
Yeye ameiacha pombe lakini pombe haitaki kumuacha.Pombe ni umaskini au ni maskini ndio wanaifuata pombe?
Recho wikiendi hii nakutoa out twende Samaki Samaki O'bayMimi ndo nimeanza pombe mwaka huu
Eeeeh!!? Kumbe hii kitu hata huko ipo? Sisi huku tumezoea kupambana na ile hali ya ng'ombe mmoja( mzoga)ndio hukaguliwa. Nyingine mchinjaji atajiongeza mwenyewe labda 1-2. Ile sehemu yenye muhuri wa Gvt. Inspected Carcass inauzwa mwisho kabisa.Pombe za siku hizi ni hivyo, TBS wakishapitisha hawafatilii Tena .
Dah! Mwenzetu amesema kapoteza kizibo. Nyie mnaleta habari za Evil spirit. Hiyo ndo dawa??Watu wengi Huwa wanashindwa kujua kuwa uraibu wowote ule ni evil spirit.
Kwahyo unataka tumshauri atumie dawa ya disulfiram ili aache pombe sioDah! Mwenzetu amesema kapoteza kizibo. Nyie mnaleta habari za Evil spirit. Hiyo ndo dawa??
Bia zikirindima tumboni baada ya mauno 🤣🤣🤣🤣🙌Mimi napenda vinywaji vitamu vitamu hivyo napendelea kunywa nusu kreti ya flying fish hivyo majuma kadhaa nilijaaliwa hela Fulani ,nikaamua nisinywe ulanzi ikabidi nikabadili ladha ni huko nilipatwa na tumbo la kuhara baada ya usiku ule .
Mwanzo nilidhani labda ni kwa vile sijazoea kuchezesha kiuno kwa haraka maana baada ya gambe nikipata kitoto kizuri nikaenda nacho kuimalizia siku Ila mtoto alikuwa na miuno Sana kiasi Cha Mimi kuwa nazungusha kiuno kwendana naye ni hapo nikawa nasikia mlio wa bia zangu tumbo zikirindima nikahisi labda ndiyo chanzo .
Ila baada ya mpenzi Evelyn Salt na wengineo kulia kwa maajabu haya basi imenibidi nibadili mawazo kuwa sio miuno feni ya yule binti iliyonifanya na Mimi kuzungusha kiuono kiasi Cha kuzisikia bia zangu tumboni zikirindima Kama maji Bali Ni mabia niliuobugia .
Ahsanteni Sana
Kuacha pombe sio sawa 😁Evelyn Salt mwenzako huyu
Eeee yaani vile ukinywa maji mengi alafu ukaanza kukimbia vile maji ulia tumboni ndiyo kilikuwa kinatokea nikiwa juu ya kitanda Cha urithi na mtoto wa watuBia zikirindima tumboni baada ya mauno 🤣🤣🤣🤣🙌
Pole ukipona hutoacha pombe, mm nilkula chipsi sehemu niliharisha sana na nikasema kama ww baada ya wiki 2 nikaanza kula kama kawaida. 😂😂😂maumivu yakipungua utaanza tena usijaliJamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Hapana. Tuanze na dawa ya kufunga kuharisha. Habari za kuacha pombe atajua mwenyewe; ila afunge kuharisha kwanza.Kwahyo unataka tumshauri atumie dawa ya disulfiram ili aache pombe sio
Huyo anataka kuacha pombe maana dawa za kuharisha anazijua.Hapana. Tuanze na dawa ya kufunga kuharisha. Habari za kuacha pombe atajua mwenyewe; ila afunge kuharisha kwanza.
Kwani wewe bado tu hujaacha? Nilidhani umedhamiriaKuacha pombe sio sawa 😁
Nimeacha bia sio pombeKwani wewe bado tu hujaacha? Nilidhani umedhamiria
🥃is the best and loyal companion, Hizo ni ajali tu, the same eti kuwa chukia wanawake wote kwa sababu ya kutendwa tukio Moja tu, pls be honorableJamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Piga nyagiNimeacha bia sio pombe