Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Mkuu uraibu wowote unaomsumbua mtu ni spiritual issues, hivyo man effort itazuia tatizo la uraibu kwa mda tu na badae mtu hurejea kwenye hali hiyo tena.Unaacha kwa jitihada za nani?
Hakuna kitu kama hicho nimeachana na mazoea mengi tu kwa maamuzi binafsi na sijarudi nyuma.Mkuu uraibu wowote unaomsumbua mtu ni spiritual issues, hivyo man effort itazuia tatizo la uraibu kwa mda tu na badae mtu hurejea kwenye hali hiyo tena.
Mhm thibitishaPombe na sigara ni shetani wa wazi wazi.
Siku ukiharisha kwa kula "wali", uuche piaJamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Serengeti zimekuwa za ovyo sanaNdio bia za siku hizi zilivyo mkuu.
Tena haya mataputapu ya TBL na SBL ndio balaa.
Ndio siwezi kukupinga hata kidogo sababu huo ni mtazamo wako na pia na heshimu mawazo yako.Hakuna kitu kama hicho nimeachana na mazoea mengi tu kwa maamuzi binafsi na sijarudi nyuma.
Watu wengi Huwa wanashindwa kujua kuwa uraibu wowote ule ni evil spirit.Pombe na sigara ni shetani wa wazi wazi.
Hapo hakuna cha mtazamo ni kwamba nimeacha uraibu mwingi tu kwa maamuzi binafsi wala hakuna cha spiritual wala nini.Ndio siwezi kukupinga hata kidogo sababu huo ni mtazamo wako na pia na heshimu mawazo yako.
Haraka haraka hivyo ?Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Ulikunywa kupitiliza?Mimi nimewahi kutangaza kuacha kama wewe baada ya kupoteza fahamu kwa takriban masaa 12 kisa pombe, nilikaa mwaka mmoja tu bila kuzigusa ila badae uzalendo ulinishinda.
Tatizo siyo pombe. Tatizo ni tumbo yako iko sensitive sana.Jamani mkisikia mtu anaharisha mpaka utumbo msishangae.
Jana sijui nilikunywa bia ambayo imeharibika au sijui ni nini kilitokea.
Ila nimeharisha mpaka nikahisi utumbo utatoka.
Natangaza rasmi kuachana na pombe kuanzia tarehe ya leo.
Ni stori ndefu mkuu, kiufupi nilizifakamia bila kula. kvant mixer B&W mixer Desperado mixer Kili Lager mixer Cocktails n.k.n.kUlikunywa kupitiliza?
Pole mkuu ila hizo k vant zimekaa kama sumu sijui nazionaje japo sijawahi kuzionja.Ni stori ndefu mkuu, kiufupi nilizifakamia bila kula. kvant mixer B&W mixer Desperado mixer Kili Lager mixer Cocktails n.k.n.k
You can imagine
Babe nakusalimu kwa jina la Jamuhuri🤣🤣Naona sasa umekuwa Pro, advocate mzuri wa pombe🤣