Kwa jinsi Simba wanavyobebwa nashauri wapewe kombe

Acha siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba marefa ni wa hovyo mno na tatizo hili halijaanza leo. Mechi za yanga pia kunakuwa na offside za uongo, rejea mechi za prison, mtibwa. Kama kweli tunataka mabadiliko kwa waamuzi basi ijadiliwe ubovu wa waamuzi na si kubebwa kwa simba.
 
Mnadhani msomali ataendelea kuwepo? Kinachonipa raha mkienda kule mechi moko tu nje! Mkivuka kidogo hamsa bin sufuri!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilichukua dakika ngapi bocco kupewa pasi?
Unaona kabisa bocco anatoka nyuma na mabeki wanamtegea kumkaba ili iwe offside unataka refa afanye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jikite kuangalia mieleka tu, huku kwenye soka sio kwako! Ile ya Boko hata mtoto wa chekechea anajua ni offside! Kubali kuwa mlibebwa hakuna atakayefuta matokeo na 'ubingwa' mtapewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kwa lipuli lile goli au kona

Haaaahaaaa timu za simba na yanga bhana zinafurahishaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Marefa wetu sio competent kabisa,kila mechi ininyoangalia inakuwa na makosa mengi sana!Yaani kila nikiangalia mechi yeyote ya TPL basi lazima nikereke na waamuzi,pia mimi ni mfuatiliaji mzuri wa Kipyenga cha mwisho na Othuman Kazi!Kiukweli marefa wetu wanapaswa kujisahihisha kwa kuangalia hicho kipindi maana jamaa anachambua vyema sana sheria na kuonesha udhaifu kwenye maamuzi ya mechi za TPL!
 
Vipi wameanza kufunga kwa mikono, kama Hamis Tambwe au.?
 
,
Nikajua video uliyoleta ina sahihisha utata uliopo kuwa lile ni goli au sio goli. Kumbe ni video ile ile ya replay tu hakuna jipya. Hapa inahitajika video inayo clear doubt, yaani ioneshe position ya mpira ulipo kisha uchorwe mstari unaougawa goli (goal line) ili tuweze kuona kama mpira ulivuka mstari au lah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…