Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
🤣Viongozi wetu wametuambia muarabu wa Dubai aliyeuziwa bandari zetu zote za Tanganyika atahakikisha anaongeza mapato ya kutosha, ajira za kudumu maradufu na mapato shazi hivyo tumuunge mkono.
Sasa kwa kuwa CCM imekuwa chama cha kudumu hapa Tanzania na kwa zaidi ya miaka 60 ya umiliki na uendeshaji wa serikali ya Tanzania bado maendeleo yamekuwa ya kusuasua, ni wakati muafaka sasa kwa CCM ikajiuza kwa muarabu wa Dubai ili maendeleo yaje chap chap.
Makada wa CCM tengenezeni mkataba chap chap, mambo yaende haraka ili mkutano mkutano mkuu wa CCM uitishwe kwa dharula ili muarabu wa Dubai achukue chama haraka iwezekanavyo, maendeleo yaje haraka haraka.
CCM Oyeee!
Wapewe CCM waimiliki milele.Viongozi wetu wametuambia muarabu wa Dubai aliyeuziwa bandari zetu zote za Tanganyika atahakikisha anaongeza mapato ya kutosha, ajira za kudumu maradufu na mapato shazi hivyo tumuunge mkono.
Sasa kwa kuwa CCM imekuwa chama cha kudumu hapa Tanzania na kwa zaidi ya miaka 60 ya umiliki na uendeshaji wa serikali ya Tanzania bado maendeleo yamekuwa ya kusuasua, ni wakati muafaka sasa kwa CCM ikajiuza kwa muarabu wa Dubai ili maendeleo yaje chap chap.
Makada wa CCM tengenezeni mkataba chap chap, mambo yaende haraka ili mkutano mkutano mkuu wa CCM uitishwe kwa dharula ili muarabu wa Dubai achukue chama haraka iwezekanavyo, maendeleo yaje haraka haraka.
CCM Oyeee!
Kweli KabisaViongozi wetu wametuambia muarabu wa Dubai aliyeuziwa bandari zetu zote za Tanganyika atahakikisha anaongeza mapato ya kutosha, ajira za kudumu maradufu na mapato shazi hivyo tumuunge mkono.
Sasa kwa kuwa CCM imekuwa chama cha kudumu hapa Tanzania na kwa zaidi ya miaka 60 ya umiliki na uendeshaji wa serikali ya Tanzania bado maendeleo yamekuwa ya kusuasua, ni wakati muafaka sasa kwa CCM ikajiuza kwa muarabu wa Dubai ili maendeleo yaje chap chap.
Makada wa CCM tengenezeni mkataba chap chap, mambo yaende haraka ili mkutano mkutano mkuu wa CCM uitishwe kwa dharula ili muarabu wa Dubai achukue chama haraka iwezekanavyo, maendeleo yaje haraka haraka.
CCM Oyeee!
Hata waichukue waondoke nayo ni sawa kabisaWapewe CCM waimiliki milele.
Sasa si ndio maana unaambiwa Serikali ya ccm ibinafsishwe.Lkn tuambiane ukweli tu, hapo bandarini hakukuwa na tija yoyote. Ilikuwa ni wizi mwanzo mwisho.
Na kelele nyingi zinapigwa kwa na wanufaika wa wizi kwa kuwa wanajua Sasa mkate wao kushney.
Sawa kabisa. Kwahiyo ili kukomesha huo wizi na kuongeza tija ndo tunampa mwarabu. Kwa maana hiyo hiyo sasa, tumpe na CCM pia maana nayo imejaa majizi na hakuna ufanisi!Lkn tuambiane ukweli tu, hapo bandarini hakukuwa na tija yoyote. Ilikuwa ni wizi mwanzo mwisho.
Na kelele nyingi zinapigwa kwa na wanufaika wa wizi kwa kuwa wanajua Sasa mkate wao kushney.
Serikali inamiliki Jeshi, uhamiaji, TISS, polisi na magereza inashindwa kusimamia bandari?????Lkn tuambiane ukweli tu, hapo bandarini hakukuwa na tija yoyote. Ilikuwa ni wizi mwanzo mwisho.
Na kelele nyingi zinapigwa kwa na wanufaika wa wizi kwa kuwa wanajua Sasa mkate wao kushney.
Kwani JPM yeye ndo nani!?Serikali inamiliki Jeshi, uhamiaji, TISS, polisi na magereza inashindwa kusimamia bandari?????
Tuseme tu Saa100 anafanana na mimi kwa kweli!
Leo JPM akafufuka akakuta Tunatoa bandari zote Za bara hadi ziwa Victoria pale kwa wakwe zake Busisi
atapiga yule mama kwa Kweli.
Na kwa mlivyo wajinga waabudu mizimu nyie mpk leo bado mnawaza eti atafufuka!!Serikali inamiliki Jeshi, uhamiaji, TISS, polisi na magereza inashindwa kusimamia bandari?????
Tuseme tu Saa100 anafanana na mimi kwa kweli!
Leo JPM akafufuka akakuta Tunatoa bandari zote Za bara hadi ziwa Victoria pale kwa wakwe zake Busisi
atapiga yule mama kwa Kweli.
Hatupingi ubinafsishaji, tunapinga mkataba mbovu, baasi!Lkn tuambiane ukweli tu, hapo bandarini hakukuwa na tija yoyote. Ilikuwa ni wizi mwanzo mwisho.
Na kelele nyingi zinapigwa kwa na wanufaika wa wizi kwa kuwa wanajua Sasa mkate wao kushney.
Mtanikumbuka, tulieni sindano iwaingie vizuri ya kuuzwa kwa kila kitu mtaelewa tuNa kwa mlivyo wajinga waabudu mizimu nyie mpk leo bado mnawaza eti atafufuka!!