Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

Dkt JK alivyoingi madarakani alihakikisha washikaji/marafiki wananeemeka. Ingawa yeye Mzee wetu Dkt JK hakuwa fisadi na hana hulka ya wizi (angalia historia yake tangu akiwa CCM). Rafiki wa Dkt JK ndiyo waliomponza. Alivyoingia Dkt Magufuli yeye aliondoa wote wenye vinasaba vya wizi. Uzuri uchunguzi na faili la kila mtendaji wa serikali lilikuwa na kila kitu hivyo kuifanya kazi ya Dkt Magufuli kuwa rahisi na kutamka kwa kujiamini yeye ni mtumbua majibu. Wezi wote wa mali za serikali waliogopa/wakaunda kila aina ya zengwe, wakatumia kila aina ya vyombo vya habari kumchafua Dkt Magufuli ila mwisho wa siku wote wakaona wameshindwa kabisa. Wakaenda mbali na kufanya vikao vya vikundi vya chama kumsengenya, ila mwisho wa siku wakasalimu amri. Mama Samia serikali yake iko tofauti na Dkt JK na Dkt Magufuli. Tumsimlaumu Mama kufagia wateule wa Dkt Magufuli na kurejesha wenye kashfa. Hata Dkt Magufuli alimrejesha Mwigulu na Simbachawene wakati waliondolewa kwa kashfa. Hakuna anayepinga Dkt Mwigulu alihusika na kuhujumu mali za CCM, ila Dkt Magufuli alimteua tena kushika nafasi mara ya pili baada ile ya mambo ya ndani. Nadhani siasa na vetting zina zaidi ya uzalendo. Inategemea nani anamfanyia vetting na uhusiano/rushwa ili kusafisha faili na kupeleka recommendation kwa mamlaka za uteuzi. Njia pekee ni kuwa na mfumo unaoruhusu ushindani! Hivyo sidhani kama ni sahihi kumshitumu Mama eti anaondoa watu wa Dkt Magufuli.
Hao uliowataja hawajawahi kushutumiwa na bunge kwamba wawajibishwe.
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
pole sana naona ume join jF mwezi huu
 
Huyu kiturilo ni new member. Atakuwa Makonda mwenyewe amezingua kazini kutapatapa.

Kwa uovu ambao wanazi wa Magufuli wanawafanyia watanzania,wakubambikia watu makesi na kumdharau raisi wa awamu ya sita,bora waondolewe tu.
 
waliogopa/wakaunda kila aina ya zengwe, wakatumia kila aina ya vyombo vya habari kumchafua Dkt Magufuli ila mwisho wa siku wote wakaona wameshindwa kabisa. Wakaenda mbali na kufanya vikao vya vikundi vya chama kumsengenya, ila mwisho wa siku wakasalimu amri.
Hapa ndio umechemsha,yuko wapi sasa kama walisalim amri,wameshibda tena kwa KO ,wanakula nchi kilainiii
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Hao watu wako unawapa sifa nyingine ambazo sio zao, mkataba wa ujenzi wa flyover ya tazara umesainiwa wakati wa Kikwete na Magufuli akiwa waziri wa ujenzi.
 
Kila utawala unaudhaifu wake na hakuna utawala hata mmoja kwa baadhi ya watendaji wake wakakosa chembechembe za ufisadi, unamkumbuka, Lugola alikuwa na kashfa na kesi ilikuwa iko mahakamani na uwaziri akapewa mwisho akatumbuliwa tena, Yuko wapi Kichele wa TRA mnakumbuka kashfazilizokuwa zinamkabili , mnamkumbuka makonda RC Dar huyu amepata utajiri wa haraka lkn mamlaka haikutaka kusikia malalamiko ya wananchi juu ya kashfa alizolishuwa toka kwa wananchi mbalimbali, je tunamkumbuka Sabaya Dc hai huyu alilamikiwa sana kwa kashafa mbalimbali alifanywa nn, tusiuonde utawala wa mh. Samia na kuupa credit utawala wa awamu tano eti ndio utawala bora kuliko zote. Kipindi cha awamu ya tano unajua tenda mbalimbali zilivyokuwa zikipatikana? Nani alikuwa anahusika na manunuzi ya vitu mbalimbali kwenye taasisi mbalimbali za serkali? Manunuzi yalikuwa siri na ilikuwa hakuna kuhoji
 
Minyonyo bhana! Yaani kama siyo Yehova Yire kutenda miujiza ina maana mlikuwa mmeshajimilikisha Taifa na msingetoka artificially.

Kwani hao mawaziri waliwekwa wa kudumu? Kwa hiyo manyonyo hayatakiwi kuguswa?

Mbona mliwatoa wajukuu wa akina Marialle, Sina, Eliufoo ila hatukulalama zaidi ya kuchapa kazi? Au sisi ni nguruwe kwa hiyo mkuki kwetu ni halali?
 
Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ya ovyo ovyo sana kwani kazi yao kubwa ilikuwa ni kuleta uchonganishi tu kwa wananchi dhidi ya serikali zilizopita hii haikuwa sawa kwani hata Nyerere akiwa rais alikuwa na madhaifu yake lakini serikali ya awamu ya pili haikuangaika kuponda madhaifu ya serikali iliyopita ilijaribu tu kurekebisha pale ilipoona kuna mapungufu alikadharika Mzee Mkapa naye alifanya hivyo hivyo na hata Kikwete alifanya kama watangulizi wake lakini Magufuli alikuwa mtu wa ovyo yeye ni kama alikuwa akijiona ni binadamu wa aina yake na alijifanya kujua kila kitu.
 
Dkt JK alivyoingi madarakani alihakikisha washikaji/marafiki wananeemeka. Ingawa yeye Mzee wetu Dkt JK hakuwa fisadi na hana hulka ya wizi (angalia historia yake tangu akiwa CCM). Rafiki wa Dkt JK ndiyo waliomponza. Alivyoingia Dkt Magufuli yeye aliondoa wote wenye vinasaba vya wizi. Uzuri uchunguzi na faili la kila mtendaji wa serikali lilikuwa na kila kitu hivyo kuifanya kazi ya Dkt Magufuli kuwa rahisi na kutamka kwa kujiamini yeye ni mtumbua majibu. Wezi wote wa mali za serikali waliogopa/wakaunda kila aina ya zengwe, wakatumia kila aina ya vyombo vya habari kumchafua Dkt Magufuli ila mwisho wa siku wote wakaona wameshindwa kabisa. Wakaenda mbali na kufanya vikao vya vikundi vya chama kumsengenya, ila mwisho wa siku wakasalimu amri. Mama Samia serikali yake iko tofauti na Dkt JK na Dkt Magufuli. Tumsimlaumu Mama kufagia wateule wa Dkt Magufuli na kurejesha wenye kashfa. Hata Dkt Magufuli alimrejesha Mwigulu na Simbachawene wakati waliondolewa kwa kashfa. Hakuna anayepinga Dkt Mwigulu alihusika na kuhujumu mali za CCM, ila Dkt Magufuli alimteua tena kushika nafasi mara ya pili baada ile ya mambo ya ndani. Nadhani siasa na vetting zina zaidi ya uzalendo. Inategemea nani anamfanyia vetting na uhusiano/rushwa ili kusafisha faili na kupeleka recommendation kwa mamlaka za uteuzi. Njia pekee ni kuwa na mfumo unaoruhusu ushindani! Hivyo sidhani kama ni sahihi kumshitumu Mama eti anaondoa watu wa Dkt Magufuli.
Katiba mpya ndio dawa ambayo itaweka mihimili na vyombo vya usimamizi huru na kuwajibika. Bila hivyo kila rais atakuja na proriries zake, watu wake, interests zake binafsi na za kundi lililombeba. Ndio mamma JPM aliingia na wajomba na wengine wa kanda yake. Mpunguzieni rais madaraka, imarisha bunge, promote demokrasia, tengeneza tume huru ya uchaguzi, fuateni sheria za nchi nakila kitu kitakaa vzr.
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Hoja yako ni nini hapa! Mfu yupo anaoza Chato na mambo yake yote!
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Eti Magenereta yalikosa Soko!!!... Wakati ndio yameuzika Kwa wingi na bado yanauzika!!...Hivi unadhani kuna mtu Hati standby Generator kama ana uwezo wa kulipata?!!...
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Acha kulialia hata JPM aliwatoa watu wa JK acha kulialia
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
We ulitaka wabaki kufanya nini? Si walikwiba na kuharibu uchumi wa Nchi?

Ni watatoka wote kwani nyie mliwaacha wote waliokuwa awamu ya 4?

Ukae na majitu ambayo hayaendani na wewe kwa ajili gani?

Mwisho naona mnatapatapa sasa ,ni hivi hakuna mtu aache kutatua kero za wananchi eti ahangaike sijui kufuta sijui huo upumbaymliuweza nyie watu wa visasi kwenye awamu yenu sisi tunachapa kazi nyie endeleeni kutapatapa kama mfa maji na kazeni maana 2035 sio kesho.
 
Back
Top Bottom