Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

We ulitaka wabaki kufanya nini? Si walikwiba na kuharibu uchumi wa Nchi?

Ni watatoka wote kwani nyie mliwaacha wote waliokuwa awamu ya 4?

Ukae na majitu ambayo hayaendani na wewe kwa ajili gani?

Mwisho naona mnatapatapa sasa ,ni hivi hakuna mtu aache kutatua kero za wananchi eti ahangaike sijui kufuta sijui huo upumbaymliuweza nyie watu wa visasi kwenye awamu yenu sisi tunachapa kazi nyie endeleeni kutapatapa kama mfa maji na kazeni maana 2035 sio kesho.
Kufikisha nchi uchumi wa kati ndiyo kuharibu nchi?
 
Ulitegemea uje na Sera ya kutetea ushoga alafu watanzania wakuchague ?
Hovyo kabisa wewe

Kwahiyo zile kura za kwenye mabeg ndio mlipewa na wasiotaka ushoga? Au mnadhani sisi ni viazi kuwa hatujui ule ukhanithi mliofanya kwenye ule uchaguzi?
 
Unajua uchumi wa kati au unahadithiwa. Kwanza haukuwa uchumi wa kati, bali ni uchumi wa chini wa kati. Kwasababu mlidhani watu wamelala mkawa mnalazimisha kusema uchumi wa kati ili muonekane mna la maana mmefanya.
Kufikisha nchi uchumi wa kati ndiyo kuharibu nchi?
 
Kwa nini umesikitishwa sana?
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
 
Kwahiyo zile kura za kwenye mabeg ndio mlipewa na wasiotaka ushoga? Au mnadhani sisi ni viazi kuwa hatujui ule ukhanithi mliofanya kwenye ule uchaguzi?
Mlizipeleka polisi hizo kura za kwenye mabegi??
 
Kufikisha nchi uchumi wa kati ndiyo kuharibu nchi?
We kenge nini , uchumi wa kati nchi ikifika toka enzi za mkwere,kilichokuwepo ni brobation period miaka yote baada ya JK uchumi umekua at decreasing rate ndio maana utakuta per Capita income iko olmost stagnant kuanzia aliyopokea hadi iliyopo sasa..

Kwa hiyo mlichofaulu ni kumantain kipindi cha matazamio tuu.

Kazi yenu ya uharibifu mnayoijua ni hii hapa,majizi 👇

Screenshot_20210926-123156.png


Screenshot_20210926-123211.png


Screenshot_20210926-164042.png


Screenshot_20210926-163918.png
 
Hawaelewi haya, kwa sababu wote wanapigania ulaji wa wanyonge tu kwa kivuli cha uzalendo uchwara.
Katiba mpya ndio dawa ambayo itaweka mihimili na vyombo vya usimamizi huru na kuwajibika. Bila hivyo kila rais atakuja na proriries zake, watu wake, interests zake binafsi na za kundi lililombeba. Ndio mamma JPM aliingia na wajomba na wengine wa kanda yake. Mpunguzieni rais madaraka, imarisha bunge, promote demokrasia, tengeneza tume huru ya uchaguzi, fuateni sheria za nchi nakila kitu kitakaa vzr.
 
Kwani kuna nini jamani? Wote tunajenga nyumba moja kwanini tugombee nguzo?!
Kweli mkuu ila hao wanaogombea fito wanasahau kuwa mfa maji akosi kutapatapa.

Ndivyo wanavyofanya, huku wanasahau huo msemo.
 
Shida sio kuwaondoa, bali shida ni wenngi kushindwa kwenda wakati! Watu wanashindwa kusoma alama za nyakati, wengi sana bado wanatenda kama wapo chini ya Mwendazake hapa ndipo wanapindisha mambo! Kipindi cha awamu ya 5 watendaji wengi walikuwa hawaeleni, wala hawaheshimiani, walikuwa wakishaimba mapambio basi wanaona wamemaliza, sasa rais wetu sasa hana dili na mapambio, matokeo yake wanayumba, wanaanzisha vitu ambavyo rais anapishana navyo! Mfano kuna Rc mmoja ktk kuhangaika anakohangaika katangaza operation ya chanjo nyumba kwa nyumba wakati serikali ilishasema chanjo sio lazima, tayari rais kaonyesha kukereka !
 
Kwani kuna nini jamani? Wote tunajenga nyumba moja kwanini tugombee nguzo?!
Sidhani Kama Kuna kugombea fito...ila nadhani Kuna kukomoana na baadhi wanaona ni wakati wa Kula Sasa...Mimi siko serikalini lakini naziona dalili ya mwelekeo wa a weak government of all time.
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Vita ndani ya nyumba na umbeya/majungu kutegemewa kumwajibisha mtendaji ni kuwa vipofu wa jana, leo na kesho.

Baadhi wanajitokeza hadharani vifua mbele na mabega kupandishwa huku wengine wakikimbilia uvunguni, huyu anachukua mafuta yataa, mafuta ya petroli, huyu kiberiti, yule sime, yule tindikali, huyu kwenye ndumba, yule anajianika barabarani akitoa kilio cha kukandamizwa, kuonewa na kubaguliwa.

Joto la chuki, visasi, na hujuma limepanda kufikia kiwango cha kuyeyusha vyuma kwenye kawa la kuchemshia-tahadhari inatolewa muda wowote uji wa chuma kilichoyeyushwa huenda ukamwagika na kuunguza watu na mali bila kujali ni za nani.

*Nani mwenye ujasiri atajitokeza kuzima moto huo ili kuokoa wengi kwa hasara ya wachache?
 
We kenge nini , uchumi wa kati nchi ikifika toka enzi za mkwere,kilichokuwepo ni brobation period miaka yote baada ya JK uchumi umekua at decreasing rate ndio maana utakuta per Capita income iko olmost stagnant kuanzia aliyopokea hadi iliyopo sasa..

Kwa hiyo mlichofaulu ni kumantain kipindi cha matazamio tuu.

Kazi yenu ya uharibifu mnayoijua ni hii hapa,majizi [emoji116]

View attachment 1956179

View attachment 1956180

View attachment 1956181

View attachment 1956182
Huna akili kabisaaa
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Wanafikiri hao wanaowapigia kura ni hiyo miccm inayojipendekeza kupata uteuzi wa mama. Mama anadanganya akisema yeye na magufuli ni kitu kimoja. Mtu akiwa mteuzi wa magufuli alisikika akimkashifu na kula njama dhidi yake ndio akatemwa. Leo mama anampa wizara nyeti kama nishati. Kwanza kwa ujuzi na uzoefu gani. Wazalendo wenye Phd wanatolewa wanawekwa wenye ujuzi wa kupiga.. Tukutane 2025.
 
Wanafikiri hao wanaowapigia kura ni hiyo miccm inayojipendekeza kupata uteuzi wa mama. Mama anadanganya akisema yeye na magufuli ni kitu kimoja. Mtu akiwa mteuzi wa magufuli alisikika akimkashifu na kula njama dhidi yake ndio akatemwa. Leo mama anampa wizara nyeti kama nishati. Kwanza kwa ujuzi na uzoefu gani. Wazalendo wenye Phd wanatolewa wanawekwa wenye ujuzi wa kupiga.. Tukutane 2025.
Inasikitisha sana shirika la umma limeanza kujaziwa kwenye bodi wafanyabiashara mafisadi waliotufungia majenereta hadi tukaanza kulipa capacity charges za ajabu ajabu.

Kwa tabia yao hii wajiandae kusomba watu kwenye malori kuhudhuria mikutano yao ya kampeni.
 
Wanafikiri hao wanaowapigia kura ni hiyo miccm inayojipendekeza kupata uteuzi wa mama. Mama anadanganya akisema yeye na magufuli ni kitu kimoja. Mtu akiwa mteuzi wa magufuli alisikika akimkashifu na kula njama dhidi yake ndio akatemwa. Leo mama anampa wizara nyeti kama nishati. Kwanza kwa ujuzi na uzoefu gani. Wazalendo wenye Phd wanatolewa wanawekwa wenye ujuzi wa kupiga.. Tukutane 2025.
Mtahangaika sana nyinyi sukumagang.

Mwacheni raisi samia aongoze nchi,msimuingilie wala msimpangie.

Nyinyi ni kina nani wa kumchagulia marafiki na maadui?
 
Mtahangaika sana nyinyi sukumagang.

Mwacheni raisi samia aongoze nchi,msimuingilie wala msimpangie.

Nyinyi ni kina nani wa kumchagulia marafiki na maadui?
Rais Samia ni zao la sukuma gang hata alipoenda UN amemuongelea Magufuli.
 
Back
Top Bottom