Mlizipeleka polisi hizo kura za kwenye mabegi??
Kwa hiyo chadema ni malaika hawana kosa?Polisi hii hii inayotumika na ccm kubambikizia wapinzani kesi? Hao polisi sio ndio waliokuwa wanatumika kubeba mabox ya kura? Au unazungumzia polisi gani boss? Katika taasisi zilizopoteza uadilifu na kutumikia siasa chafu nchi hii ni hao polisi.
Kiturilo au Makonda kwa jina halisi, huyo Ben Saanane ulimkamata wewe mwenyewe na kumpeleka kwa Magufuli. Alipokataa kubadilisha msimamo kuwa PhD ya Meko ni FAKE, Magufuli mwenyewe ndiye alimpiga risasi kwa bastola yake.Saanane waulize gazeti la Mwanahalisi walisema anaonekana akideki sebuleni kwa mbowe
Kwani magufuli aliwachukuwa wote waliokuwa chini ya kikwete? Hayo mambo ni kawaida kwenye utawalawewe( organisation & re organization)Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!
Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.
Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?
Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?
Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?
Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?
Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!
Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.
Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?
Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?
Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?
Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?
Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Hata Nabii Issa hajarudi lakini kazi zake zinaendelea hapa duniani .Naona unaitendea haki ajira yako. Jana tu umejiunga JF lakini naona spidi yako ya kuanzisha nyuzi huku ni ya 5G. Tatizo lako ni kuwa bado unahisi kuwa jiwe litarudi tena duniani.
Nakuona mtoto wa gaidi ukiwayawaya hapa. Mpelekee dhalimu chai kisutu
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!
Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.
Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?
Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?
Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?
Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?
Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Hizo ni kodi zetu na msaada wa wajapani aliotafuta Kikwete. Baba yako jiwe alivyokuwa anapenda sifa hakutambua mchango wa Kikwete kwenye hizo flyover.Lakini flyover na ndege unafaidi tu ewe toto la gaidi.
Akina pole pole wamehamishia huku majeshi yaoKwani kuna nini jamani? Wote tunajenga nyumba moja kwanini tugombee nguzo?!
Miradi YAO kwani walijenga kutoka kwenye fedha zao mfukoni?Utaweza kuifuta na miradi yao?
ahsante sana kwa maelezo mafupi, yasiyoegemea upande na yanayoeleweka mno! ni bahati mbaya tu kuwa humu siku hizi ni habari za mabishano tu kati ya wapigania legacy (wasiotamani hata kidogo kiongozi aliyopo afanikiwe) na sisi ambao hatuna shida yoyote na kiongozi aliyopo zaidi ya kumtakia heri na mafanikio mema katika kazi yake aliyokabidhiwa na Muumba. kutokana na hilo tunajikuta kwenye mihangaiko tu ya kutafuta ujumbe hasi kwa upande uliopo na kuujibu kihasi vilevile na mwisho wa siku tunajikuta tunakosa maarifa yaliyojificha kwenye post kama hii kijinga kabisa!!Dkt JK alivyoingi madarakani alihakikisha washikaji/marafiki wananeemeka. Ingawa yeye Mzee wetu Dkt JK hakuwa fisadi na hana hulka ya wizi (angalia historia yake tangu akiwa CCM). Rafiki wa Dkt JK ndiyo waliomponza. Alivyoingia Dkt Magufuli yeye aliondoa wote wenye vinasaba vya wizi. Uzuri uchunguzi na faili la kila mtendaji wa serikali lilikuwa na kila kitu hivyo kuifanya kazi ya Dkt Magufuli kuwa rahisi na kutamka kwa kujiamini yeye ni mtumbua majibu. Wezi wote wa mali za serikali waliogopa/wakaunda kila aina ya zengwe, wakatumia kila aina ya vyombo vya habari kumchafua Dkt Magufuli ila mwisho wa siku wote wakaona wameshindwa kabisa. Wakaenda mbali na kufanya vikao vya vikundi vya chama kumsengenya, ila mwisho wa siku wakasalimu amri. Mama Samia serikali yake iko tofauti na Dkt JK na Dkt Magufuli. Tumsimlaumu Mama kufagia wateule wa Dkt Magufuli na kurejesha wenye kashfa. Hata Dkt Magufuli alimrejesha Mwigulu na Simbachawene wakati waliondolewa kwa kashfa. Hakuna anayepinga Dkt Mwigulu alihusika na kuhujumu mali za CCM, ila Dkt Magufuli alimteua tena kushika nafasi mara ya pili baada ile ya mambo ya ndani. Nadhani siasa na vetting zina zaidi ya uzalendo. Inategemea nani anamfanyia vetting na uhusiano/rushwa ili kusafisha faili na kupeleka recommendation kwa mamlaka za uteuzi. Njia pekee ni kuwa na mfumo unaoruhusu ushindani! Hivyo sidhani kama ni sahihi kumshitumu Mama eti anaondoa watu wa Dkt Magufuli.
ndege zimenunuliwa kwa kodi yangu, interchange (wewe unaziita flyover maana hata hujui flyover ni nini) zimejengwa kwa kodi yangu. Jiwe alikuwa anatekeleza ilani ya chama na alikuwa analipwa kwa kutekeleza ilani hiyo.Hata Nabii Issa hajarudi lakini kazi zake zinaendelea hapa duniani .
Jiwe hatarudi lakini flyover na ndege zake utazitumia huku nafsi ikikusuta.