Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

Kwa kampeni yenu hii, mtawatoa wote lakini hamtaweza kuyafuta waliyoyafanya

Alafu tutaona ataenda kuomba wapi kura.
ni lini Chama dola kilishinda kwa kura zenu?? Dikteta yeye ndio aliharibu alitumia mbinu za ukichaa kwenye uchaguzi,ilhali Kuna mbinu elfu za kimafia ambazo watu hawawezi kujua Wala kunung'unika,

Kwaiyo hiyo kura yako we kilaza haina nguvu
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Wale sukuma gang waliojazana tanesco ndio walikuwa wanaiharibu sasa ni wakati mwafaka wa kuwaondoa walijisikia miungu.
 
Wao waliweza kuyafuta yaliyofanywa awali? Kuimba kupokezana
 
ni lini Chama dola kilishinda kwa kura zenu?? Dikteta yeye ndio aliharibu alitumia mbinu za ukichaa kwenye uchaguzi,ilhali Kuna mbinu elfu za kimafia ambazo watu hawawezi kujua Wala kunung'unika,

Kwaiyo hiyo kura yako we kilaza haina nguvu
Kwa sera yenu ya ushoga msingeweza kushinda
 
Timu lia lia aka sukuma gang, tulizeni matako sindano iwaingie nyie si mnasema hamtaki katiba?
 
Hizo ni bangi sasa.
Rais anapanga safu ambayo inafanya vile anvyohitaji. Na kila rais amekuwa akipanga safu yake hivyo, sasa wewe unaanza kulalamika hapa kama vile SSH ndiye rais wa kwanza kupangua safu ya mtangulizi wake. Tena mama wa watu kawachukua wengi walewale lakini bado mnamlaumu.
Inaonekana hao ni watu wanaokufaidisha wewe binafsi na tumbo lako.

Pole lakini ndo ukwelu, mama chapa kazi tupo nyuma yako.

SSH Hoyee""
 
Hao watu wako unawapa sifa nyingine ambazo sio zao, mkataba wa ujenzi wa flyover ya tazara umesainiwa wakati wa Kikwete na Magufuli akiwa waziri wa ujenzi.
Hata ya Ubungo, Dr. Chamuriho ameteuliwa mradi ukiwa 98%. Eng. Kamwele ndiye aliyesimamia. Sijui kwa nini anapewa credit! Sababu tu ni uteuzi wa JPM???
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!
Ni ukweli usiopingika kuwa uchaguzi ujao ngoma nzito. CCM ijipange kukabidhi baadhi ya majimbo na wasipoangalia hata ngazi ya juu. Makundi yaliyojitokeza ni hatari kwa ustawi wa chama
 
Hizo ni bangi sasa.
Rais anapanga safu ambayo inafanya vile anvyohitaji. Na kila rais amekuwa akipanga safu yake hivyo, sasa wewe unaanza kulalamika hapa kama vile SSH ndiye rais wa kwanza kupangua safu ya mtangulizi wake. Tena mama wa watu kawachukua wengi walewale lakini bado mnamlaumu.
Inaonekana hao ni watu wanaokufaidisha wewe binafsi na tumbo lako.

Pole lakini ndo ukwelu, mama chapa kazi tupo nyuma yako.

SSH Hoyee""
Yeye mwenyewe ni yule yule wa magufuli
 
Hata ya Ubungo, Dr. Chamuriho ameteuliwa mradi ukiwa 98%. Eng. Kamwele ndiye aliyesimamia. Sijui kwa nini anapewa credit! Sababu tu ni uteuzi wa JPM???
Hadi Kikwete anaondoka miradi mingi hasa ile ya ujenzi wa miundombinu ilikuwa ipo kwenye hatua mbalimbali ya utekelezaji mfano daraja la kigamboni lilikuwa linaelekea kukamilika, daraja la tazara mkataba umesainiwa, daraja la salenda tayari baadhi ya fedha zilikuwa zimepatikana hata daraja la ubungo pia lilikuwa kwenye hatua ya juu ya utekelezaji lakini kwa sababu ya kutokujua au chuki tu mashabiki wa Jiwe wamekuwa wakipotosha kwa makusudi.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa uchaguzi ujao ngoma nzito. CCM ijipange kukabidhi baadhi ya majimbo na wasipoangalia hata ngazi ya juu. Makundi yaliyojitokeza ni hatari kwa ustawi wa chama
Kwani huo uliopita hayo majimbo CCM waliyapata kihalali? Mshasahau zile figisufigisu.
 
Nimesikitishwa sana baada ya kutonywa na mtu kwamba eti wote waliokuwa kwenye top positions kwenye serikali ya awamu ya tano wanatakiwa kuondolewa!

Lakini nawahakikishia wote wenye hiyo mipango ovu kuwa watafanikiwa kuwatoa kwenye nafasi zao lakini kamwe hawatafanikiwa kuwatoa ndani ya mioyo ya watanzania na pia hawatafanikiwa kamwe kufuta kazi zao walizowafanyia watanzania.

Ni kweli Dk Kalemani siyo waziri tena lakini si Bwawa la nyerere lipo na linaendelea kujengwa kule Rufiji?

Nani hajui kuwa enzi ya Dk Kalemani majenereta yalikosa soko? Nani hajui kuwa enzi zake wananchi waliacha kuuziwa nguzo za umeme?

Ni kweli Dk Tito Mwinuka siyo MD wa Tanesco tena lakini si ndiyo ameifanya Tanesco iache kuagiza nguzo nje ya nchi na kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguzo zao wenyewe za zege,? pia na kuacha kutegemea ruzuku serikalini?

Ni kweli Dk Chamriho hayupo wizara ya ujenzi ,lakini si ndiyo amesaini na kutujengea flyover kila sehemu? Ina maana ukimtoa wananchi watasahau kuwa Mfugale na Kijazi flyovers zimesimamiwa na yeye?

Tunawaonya tu watoeni wote alafu tuone hizo kura za kuwafanya mshinde mtaenda kuomba wapi.
Kinachombeba mtu ni utendaji wa kuwafanyia kazi wananchi na siyo porojo zenu.
Kmmk, mirija yenu imezibwa mnatapatapa tu hamjui mfanye nn. Kubalini zama zinakuja na kutoweka. Watakuja wengine watafanya mapinduzi makubwa bwashee
 
Ulitegemea uje na Sera ya kutetea ushoga alafu watanzania wakuchague ?
Hovyo kabisa wewe
Unalalamika watu kuondolewa kwa chuki huku na wewe umejaa chuki hadi zinakumwagika.
Kwa hiyo watu wa JPM wakipendelewa hakuna tatizo ila watu wa mama wakipendelewa ndo tatizo?!!!! Kwa hiyo ccm ikipendelewa hakuna tatizo ila wapinzani wakipendelewa ndo tatizo?!!!! Yan kwako wewe kun.ya an.ye kuku akin.ya bata kaharisha!!!!
Acha ubinafsi halafu laumu mfumo siyo mtu.
 
Back
Top Bottom