Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe hiyo takwimu tuione hapa ili tuamini.Jamiiforums ni sehemu ndogo sana ya maisha yetu. Hiko kisimbuzi cha Star times mnavyokisakama kila siku humu mpaka juzi nikaona takwimu ndio kinachoongoza kwa mbali sana kuwa na watumiaji wengi Tanzania.
Eti platinum member, mduanzi sana wewe kubiMimi nilidhani DStv ndio mpinzani mkuu wa Azam Tv, Kulinganisha Azam na Star Tv ni sawa na kulinganisha Yanga iliyofika fainali na Makolo
Na hii ndo shida kubwa ya AzamBilioni 50 kusambaza antena? Badala ya kulipia EPL??
Azam bado sana...hawana channels za maana kabisa ...hata channels za South Africa Tu hawana hata moja
Kumbe wewe tajiri?[emoji16] sawa bosiKisimbusi cha maskin hicho
Ni ngumu sana,Kwa base ya Wateja star times ana wateja mara 2 ya Azam sas Hadi aje amkute sio Leo.Kwa kasi hii ya Azam wachina wa Startimes wajiandae kufungasha virago?
Naona Azam media wanazidi kuja kwa kasi leo hii wamezindua minara ya bilioni 50 mikoa 21
Baada ya Dish wamekuja na vya Antenna, hawa jamaa wapo vizuri sana naona kwa sasa Wachina wa Startimes wajiandae kisaikolojia tu maana sidhani kama kuna mtu timamu atatumia vile vidubwashwa vyao.
Kongole Azam media sasa huku kwa vya Antenna ndo mnaenda kusepa na nyomi ya kijiji.
Bilioni 50 haitoshi kuonesha EPL mkuuBilioni 50 kusambaza antena? Badala ya kulipia EPL??
Azam bado sana...hawana channels za maana kabisa ...hata channels za South Africa Tu hawana hata moja
DSTV ni ulimwengu mwengine kabisaMapungufu ya Azam na ST
Mechi za ulaya (EPL)
Channel za documentary
Channel za dini (international)
Channel za movie ( hata za 2020 hazipo sana sana wataonyesha movie za 80s na 90s tena zenye quality mbovu sana
Channel za music
Channel za nchi jirani ( Rwanda, Burundi, Uganda)
Kwa ufupi Azam na Startimes wote hakuna kitu, DStv atawaburuza sana
Kwenye DSTV hiyo option zipo zaidi ya 3..unaweza ku BLOCK channel ambazo huzitaka na option ya pili unauqezo wa kutengeneza Groups za Channel unazotaka uangalie wewe na group lengine waangalie familia au group la Muziki pekee au channel za Dini n.kNatamani ving'amuzi vya DSTV, Startimes au Azam wawe na option ya mtu kuchagua channels anazotaka tu, sio mrundikano wa channels nyingi zisizo na maana.
Atanunua lini wakati Hadi mama anarudi kisiwandui mwaka 2030 Azam bado ana mkataba na TFF?Star times wapo vizuri azam ameteka soko kwa sababu anaonesha ligi ya bongo ndio kinachombeba kama star times atanunua haki ya matangazo kuonesha ligi kuu Tanzania bado kila mtu atakikimbilia kisimbuzi cha star tomes
Hizo option za groups ni sawa, nilichomaanisha ni kama umeenda supermarket unachagua bidhaa unazotaka then unalipa, so niwe naweza kuchagua hata channels zangu tano then wananipa total nalipia either kwa siku, wiki, au mwezi, niwe na option ya kuUpdate nikitaka.Kwenye DSTV hiyo option zipo zaidi ya 3..unaweza ku BLOCK channel ambazo huzitaka na option ya pili unauqezo wa kutengeneza Groups za Channel unazotaka uangalie wewe na group lengine waangalie familia au group la Muziki pekee au channel za Dini n.k
Bil 50 kufunga backhaul na minara ajili kurusha matangazo kwenda antenna miba .....badala ya dish vile vidogoBilioni 50 kusambaza antena? Badala ya kulipia EPL??
Azam bado sana...hawana channels za maana kabisa ...hata channels za South Africa Tu hawana hata moja
Minara mikoa 21 watasambaza matangazo yao robo 3 ya Tanzania wanasitaili pongeziBilioni 50 kusambaza antena? Badala ya kulipia EPL??
Azam bado sana...hawana channels za maana kabisa ...hata channels za South Africa Tu hawana hata moja
Hapo ni tatizo la waliokufungiaShida nyingine kwa azam ikinyesha mvua au mawingu ya mvua tu. utaona no signal
Kati ya kitu TFF walikosea ni kutoa mkataba wa muda mrefu bila kufikiria mabadiliko ya thamani ya pesa.Atanunua lini wakati Hadi mama anarudi kisiwandui mwaka 2030 Azam bado ana mkataba na TFF?