Kwa katiba iliyopo, still Lissu anaweza fanya harakati bila Chama, hilo linashindaka pia? Kuitisha maandamano huhitaji kuwa kwenye Chama cha siasa

Kwa katiba iliyopo, still Lissu anaweza fanya harakati bila Chama, hilo linashindaka pia? Kuitisha maandamano huhitaji kuwa kwenye Chama cha siasa

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ma Keybord worriour wenzangu, kwa katiba mbovu tulio nayo still bado hata bila chama unaweza anzisha harakati zako kikubwa uwe na watu nyuma yako.

Unaweza hata ingiza watu Barabarani wakinukishe, sasa hili tunashindwa vipi? kwani ni lazima iwe ni ndani ya Chama? na hicho chama kiwe ni CDM?

Keybord worriour tutambue kwamba harakati hazihitaji chama bali uwe tu na watu, hata kuingia road hakuhitaji chama cha Siasa.

Nini kinatushinda? si tunao watu? tunaye Lisu pia? Tuingie.
 
Uko sahihi, Ni wakati sasa wafuasi wa Lissu wakaandamana naye akiwa mtu huru nje ya CHADEMA.
 
Ma Keybord worriour wenzangu, kwa katiba mbovu tulio nayo still bado hata bila chama unaweza anzisha harakati zako kikubwa uwe na watu nyuma yako.

Unaweza hata ingiza watu Barabarani wakinukishe, sasa hili tunashindwa vipi? kwani ni lazima iwe ni ndani ya Chama? na hicho chama kiwe ni CDM?

Keybord worriour tutambue kwamba harakati hazihitaji chama bali uwe tu na watu, hata kuingia road hakuhitaji chama cha Siasa.

Nini kinatushinda? si tunao watu? tunaye Lisu pia? Tuingie.
Maria ameleta impact gani na spaces zake? Serikali ime succumb kwa lipi kutokana na maria spaces?
 
Ma Keybord worriour wenzangu, kwa katiba mbovu tulio nayo still bado hata bila chama unaweza anzisha harakati zako kikubwa uwe na watu nyuma yako.

Unaweza hata ingiza watu Barabarani wakinukishe, sasa hili tunashindwa vipi? kwani ni lazima iwe ni ndani ya Chama? na hicho chama kiwe ni CDM?

Keybord worriour tutambue kwamba harakati hazihitaji chama bali uwe tu na watu, hata kuingia road hakuhitaji chama cha Siasa.

Nini kinatushinda? si tunao watu? tunaye Lisu pia? Tuingie.
Huyo Lissu anarudi kwa wanaume wake huko Ubelgiji very soon si unaona ameshaanza kutengeneza sinema zake za kutembea na bulletproof. Atawaacha solemba nyumbu hivi karibuni. Baada ya uchaguzi tu wa CDM hapo January 2025, nyumbu wajiandae kwa maumivu zaidi. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom