Kwa kauli hii naanza kuogopa kula Sangara

Kwa kauli hii naanza kuogopa kula Sangara

Kumbe wavuvi wa ziwa Victoria wanatumia maji ya maiti kutupatia kitoweo kama alivyotahadharisha Makamu wa Rais Dkt. Mpango..
Ni maji au dawa ya kuhifadhia maiti?!
Mie nilisikia kitambo kuwa wanatumia dawa ya kuhifadhia maiti ili kuhifadhi samaki wasiharibike kwenye mchakato wa uandaaji na usafirishaji hadi kumfikia mlaji
 
Hili jambo linahitaji utafiti wa kina tena wa muda mrefu ili kupitia maeneo yote kwa uhakika.kwasababu kusema tu kwamba idadi kubwa ya wagonjwa wa kansa kanda ya ziwa chanzo kinaweza kua matumizi ya formaline kwenye kuhifadhi samaki napata mashaka kwasababu samaki wa ziwa victoria hususani wanaovuliwa ukanda huu wa ziwa kwa upande wetu wanasafirishwa nchi nzima.sasa kwanini wagonjwa wengi wawe ni wa kanda ya ziwa tu.Mimi nadhani maji ya ziwa ndiyo yanatatizo.Tuanze kutafiti kwanza maji kwasababu ziwa victoria ndio chanzo kikubwa cha maji ukanda huo kwahiyo inawezekana yana kitu kinacholeta shida kwa watumiaji.Samaki na formaline tunasingizia tu baada yakukosa majibu sahihi.Ngoja tusubiri majibu ya utafiti.
 
Naunga mkono nasaha za wavuvi kuacha kutumia maji ya maiti kama chambo cha kukamatia samaki.
Hii mada imevutia wengi kuleta NYUZI humu JF, but, kila mleta uzi ana lake. Wewe wasema "maji yanatumika kama chambo" ??????????????????, kule kwwingine wanasema "hanatumika kuhifadhi";. Ni vema tukamnukuu mtoa hoja ipasavyo
 
Hili jambo linahitaji utafiti wa kina tena wa muda mrefu ili kupitia maeneo yote kwa uhakika.kwasababu kusema tu kwamba idadi kubwa ya wagonjwa wa kansa kanda ya ziwa chanzo kinaweza kua matumizi ya formaline kwenye kuhifadhi samaki napata mashaka kwasababu samaki wa ziwa victoria hususani wanaovuliwa ukanda huu wa ziwa kwa upande wetu wanasafirishwa nchi nzima.sasa kwanini wagonjwa wengi wawe ni wa kanda ya ziwa tu.Mimi nadhani maji ya ziwa ndiyo yanatatizo.Tuanze kutafiti kwanza maji kwasababu ziwa victoria ndio chanzo kikubwa cha maji ukanda huo kwahiyo inawezekana yana kitu kinacholeta shida kwa watumiaji.Samaki na formaline tunasingizia tu baada yakukosa majibu sahihi.Ngoja tusubiri majibu ya utafiti.

This is a real GREAT THINKING
 
Back
Top Bottom