Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Nchi hubarikiwa kwa viongozi wake kufanya mambo mema.
Kwa kauli hii, ya jana ya Rais Samia alioitoa Bukoba, kwa kutoa msamaha wa jumla wa deni la kodi, za nyuma, Rais Samia atabarikiwa sana kuliko Rais mwingine yeyote!. Huu ni wema mkubwa kabisa kuwahi kufanywa na Rais yeyote ukimuondoa Nyerere abaye serikali yake ilikuwa haibanani kabisa na issues zozote za kodi.
Wakati TRA wanajipanga kutekeleza nia hii safi ya Rais Samia, pia tuweke a defined framework ya utekelezaji, tusije tukarudi kule kule, kwa TRA ikiona muda wa mwaka unakaribia huku hujalipa madeni yako ya kodi, then for sure makufuli ya TRA yatashuka tena madukani na ule mkono mrefu wa TRA utarejea tena kuingia ndani ya accounts za benki za wadaiwa sugu na kukomba kila kitu kilichomo!.
Mungu mbariki Rais Samia,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Nchi hubarikiwa kwa viongozi wake kufanya mambo mema.
Kwa kauli hii, ya jana ya Rais Samia alioitoa Bukoba, kwa kutoa msamaha wa jumla wa deni la kodi, za nyuma, Rais Samia atabarikiwa sana kuliko Rais mwingine yeyote!. Huu ni wema mkubwa kabisa kuwahi kufanywa na Rais yeyote ukimuondoa Nyerere abaye serikali yake ilikuwa haibanani kabisa na issues zozote za kodi.
Wakati TRA wanajipanga kutekeleza nia hii safi ya Rais Samia, pia tuweke a defined framework ya utekelezaji, tusije tukarudi kule kule, kwa TRA ikiona muda wa mwaka unakaribia huku hujalipa madeni yako ya kodi, then for sure makufuli ya TRA yatashuka tena madukani na ule mkono mrefu wa TRA utarejea tena kuingia ndani ya accounts za benki za wadaiwa sugu na kukomba kila kitu kilichomo!.
Mungu mbariki Rais Samia,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali