Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Hili jamaa akili zake sizielewagi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea kubwata hii nchi inapigwa na familia za watu wachache nahisi nawewe umo ndani ndio maana unatetea ujinga funga bakuli lako usiongee ujinga.Narudia nenda Kwa Mkeo kamwambie huo ujinga ndio atakuelewa..
Hakuna siku Serikali iliwahi kuacha Kukopa na Wala haitakaa itokee Serikali isikope..
Yule taahira unaemtaja sio tuu alikopa Kwa kificho bali alikuwa ni muongo na mjinga 👇
Utapeli kwani ni dhalimu wako huyo?
Si unapumua wewe?
Ndio hivyo,uliwahi kuona wapi wengi wakipiga? Hata vyeo ni vya wachache,matajiri ni wachache .Wewe endelea kubwata hii nchi inapigwa na familia za watu wachache nahisi nawewe umo ndani ndio maana unatetea ujinga funga bakuli lako usiongee ujinga.
Tumekuelewa mkuuNdio hivyo,uliwahi kuona wapi wengi wakipiga? Hata vyeo ni vya wachache,matajiri ni wachache .
Yaani kiufupi ndio kanuni ya maisha [emoji3][emoji3]
KUWA MUUNGWANA, HAO WATU WANALENGO LA KUMHARIBIA MAMA. KWA NINI HAWAKUFANYA HIVYO WAKATI WA JPM. RAIS UWEZO WA KUSAMEHE KOSA LOLOTE AFANYALO RAIA WAKE. KAMA ANAMSAMEHE MTU ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA SEMBUSE KODI?Huo ni utapeli wa mchana kweupe, sheria haziondolewi jukwaani bali ni kwa kubadilishwa na kuweka kwenye maandishi. Kama sheria haijaandikwa kwenye vitabu, ukienda kwenye mamlaka za wakusanya kodi, wanakuambia kabisa hayo ni mambo ya majukwaani, na ni lazima utalipa. Hivyo huu utapeli wapelekeeni wanaomini siasa za kiki.
KUWA MUUNGWANA, HAO WATU WANALENGO LA KUMHARIBIA MAMA. KWA NINI HAWAKUFANYA HIVYO WAKATI WA JPM. RAIS UWEZO WA KUSAMEHE KOSA LOLOTE AFANYALO RAIA WAKE. KAMA ANAMSAMEHE MTU ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA SEMBUSE KODI?
Angle yako ni nzuri sana ila sijui mimi inanihusu vipi kwani sijui abarikiwe kwa lipi kama angle yako haihusu kodi! naomba na mimi nibarikiwe tu angalau kwa kushiriki.Mkuu elvischirwa , kwenye kuandika au kuripoti tukio lolote kuna kitu kinaitwa angle, unaripoti kwa angle gani, wengi wamezungumzia msamaha wa kodi, mimi angle yangu sio kuhusu Samia kusamehe kodi bali ni kuhusu Samia kubarikiwa.
P
Usikwepe uwajibikaji wa andiko lako. Andiko lako msingi wake ni Rais kusamehe kodi wale wenye malimbikizo ya kodi. Kwa hiyo utoaji huo wa msamaha unadai utamfanya mtoaji wa msamaha huo kubarikiwa!! Suala linakuja je unapotenda jambo ambalo linakiuka katiba uliyoapa kuivunja unastahili baraka au vinginevyo? Mayala unajinasibu kuwa wewe ni mwanasheria, je inakubalika kisheria kwa Rais kufanya jambo ambalo hana mamlaka ya kikatiba kulifanya.Mkuu elvischirwa , kwenye kuandika au kuripoti tukio lolote kuna kitu kinaitwa angle, unaripoti kwa angle gani, wengi wamezungumzia msamaha wa kodi, mimi angle yangu sio kuhusu Samia kusamehe kodi bali ni kuhusu Samia kubarikiwa.
P
Kwenye eneo hili la haki za binaadamu, Mama Samia, apewe kongole sana, huyu ni mpenda haki, muwaza haki, msema haki, mtenda haki.2. Heshimi Haki za binadamu ambazo zimeainishwa kwenye Katiba. Kuna uvunjifu wa haki za binadamu mdogo mdogo
Wanabodi,
Nchi hubarikiwa kwa viongozi wake kufanya mambo mema.
Kwa kauli hii, ya jana ya Rais Samia alioitoa Bukoba, kwa kutoa msamaha wa jumla wa deni la kodi, za nyuma, Rais Samia atabarikiwa sana kuliko Rais mwingine yeyote!. Huu ni wema mkubwa kabisa kuwahi kufanywa na Rais yeyote ukimuondoa Nyerere abaye serikali yake ilikuwa haibanani kabisa na issues zozote za kodi.
Wakati TRA wanajipanga kutekeleza nia hii safi ya Rais Samia, pia tuweke a defined framework ya utekelezaji, tusije tukarudi kule kule, kwa TRA ikiona muda wa mwaka unakaribia huku hujalipa madeni yako ya kodi, then for sure makufuli ya TRA yatashuka tena madukani na ule mkono mrefu wa TRA utarejea tena kuingia ndani ya accounts za benki za wadaiwa sugu na kukomba kila kitu kilichomo!.
Mungu mbariki Rais Samia,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali