Kwa kauli hii ya kabudi, Kesho naandika rasmi barua ya kujitoa TUGHE

Kwa kauli hii ya kabudi, Kesho naandika rasmi barua ya kujitoa TUGHE

Selekali ya Wanyonge

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Kumbe utumishi wa uma its all about nyongeza ya mshahara tu. I wish na mimi nitupe jembe langu >>>>>>
 
Watu tushajitoa kitambo sana. Utakapo jipanga jipange sawa sawa. Sijui unatumia kinywaji gani Ila Kvant ndio kiboko ya hasira. Piga mbili ndogo mwana zinaletaga hasira hizo kinoma. Kwani ukifika mlangoni unaanza kulia kwa hasira za kvant. Then futa machozi ingia. Usicheke na nyani shambani utavuna mabua wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vyama vya wafanyakazi NI UNAFIKI MTUPU. Wanawababaikia waajiri
Kabudi akiwa anahutubia baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje, Ameeleza wazi hamna nyongeza ya mshahara kwa mwaka na malipo ya masaa ya ziada yanaondolewa, Kwa vile yeye ni mjumbe wa baraza la mawaziri sitilii shaka kusema yawezekana huu ndio msimamo wa serikali.

Sasa Ili niendelee kufunga mkanda mwaka ujao wa fedha, Kesho naanza process niondoe makato ya TUGHE kwenye salary slip yangu, Baadae yatafatiwa na mchango wa hiari wa kusaidiana wakati wa matatizo.

Maana hiki kikombe ni kizito na lazma tukinywe hamna namna.
TUGHE jiandaeni kupokea barua yangu kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUGHE ya siku hizi!
1580187210_1580187210-picsay.jpeg
 
Kabudi akiwa anahutubia baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje, Ameeleza wazi hamna nyongeza ya mshahara kwa mwaka na malipo ya masaa ya ziada yanaondolewa, Kwa vile yeye ni mjumbe wa baraza la mawaziri sitilii shaka kusema yawezekana huu ndio msimamo wa serikali.

Sasa Ili niendelee kufunga mkanda mwaka ujao wa fedha, Kesho naanza process niondoe makato ya TUGHE kwenye salary slip yangu, Baadae yatafatiwa na mchango wa hiari wa kusaidiana wakati wa matatizo.

Maana hiki kikombe ni kizito na lazma tukinywe hamna namna.
TUGHE jiandaeni kupokea barua yangu kesho.
Itoshe tu wakati wa kampeni Kiongozi wa upinzani kusema atalipa annual increment zilizozuiwa na Mrundi/Mnyarwanda. Anajenga ma hotel Kigali.
Awamu hii ni zaidi ya COVID 19.
 
Duuh wakiondoa hiyo extra duty allowance (EDA) maisha yatakua magumu balaa... Hiyo ndio tunaitegemea kusogeza siku.
 
Tanzania hakuna vyama vya wafanyakazi kuna vyama vilivyoundwa na waajiri vikiendeshwa kwa fedha Za wafanyakazi.
Kama unakatwa fedha na chama cha wafanyakazi basi unachofanya ni kulinufaisha kundi flani la watu wanaozipiga hizo fedha kisawasawa.
Kama hauongezwi salary bado hicho chama kikukate hela sikuongezeana umasikini Huku.
Kama wanashindwa hata kupigania annual increment hivi vyama ni vyanini hasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Kiranga hapa ni kukabiliana na hii hali ya ufungaji mkanda.
Niongeze minofu kwenye take home, niongeze vipesa vya kununulia unga
Hujajibu nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Watu tushajitoa kitambo sana. Utakapo jipanga jipange sawa sawa. Sijui unatumia kinywaji gani Ila Kvant ndio kiboko ya hasira. Piga mbili ndogo mwana zinaletaga hasira hizo kinoma. Kwani ukifika mlangoni unaanza kulia kwa hasira za kvant. Then futa machozi ingia. Usicheke na nyani shambani utavuna mabua wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah
 
Tanzania hakuna vyama vya wafanyakazi kuna vyama vilivyoundwa na waajiri vikiendeshwa kwa fedha Za wafanyakazi.
Kama unakatwa fedha na chama cha wafanyakazi basi unachofanya ni kulinufaisha kundi flani la watu wanaozipiga hizo fedha kisawasawa.
Kama hauongezwi salary bado hicho chama kikukate hela sikuongezeana umasikini Huku.
Kama wanashindwa hata kupigania annual increment hivi vyama ni vyanini hasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa
 
Back
Top Bottom