Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What a comeback [emoji23][emoji23][emoji28]Tatzo wewe ni kujifanya mjuaji wa kipumbavu hata kwenye ujinga huwa unataka league nakuonaga sana na nyuzi zako.
Wala sikushangai mjuaji
Kiranga mkuuWewe uliyepigwa na TUGHE ni mjuaji au si mjuaji?
Unajua kusoma kwa ufahamu we ngumbaru?
Sent from my typewriter using Tapatalk
Huyu jamaa anajifanya yeye ndio anajua kila kitu anaanzisha league hata kwa vitu vya kijinga kabisa.Kiranga mkuu
Tudiscuss hoja iliyopo mezani
Mabishano yasiyo na msingi hayana maana
Kudos kwako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kwa mjinga hata hoja ya msingi iliyopo mezani ni vigumu ku discuss, kwa sababu hajui hoja ya msingi ni ipi.Kiranga mkuu
Tudiscuss hoja iliyopo mezani
Mabishano yasiyo na msingi hayana maana
Kudos kwako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee Kuna watu wanaenda shule kusoma ujinga then wanakuwa wapumbavu mojawapo ni wewe.Tatizo kwa mjinga hata hoja ya msingi iliyopo mezani ni vigumu ku discuss, kwa sababu hajui hoja ya msingi ni ipi.
Hapa kuna tatizo la ujinga, kutojua mambo, kutofuatilia.
Na mtu akioneshwa msingi huu wa tatizo ana panic.
Ndiyo maana nasema hata leo akijiondoa TUGHE, kesho anaweza kupigwa na waganga wa kienyeji.
Kwa sababu hataki kuangalia mzizi wa tatizo.
TUGHE si ugonjwa, ni dalili ya ugonjwa.
TUGHE ni kikohozi kinachotokana na kifua kikuu.
Sasa mtu anaumwa kifua kikuu, halafu anataka kutibu kikohozi kwa kula Cofta.
Tunataka kufuatikia dawa ya kifua kikuu, kabla hata hajaelewa uchunguzi anakurupuka.
Atapona hapo?
Sasa mimi nikijadili kifua kikuu badala ya kikohozi tu, utasemaje naketa mabishano yasiyo na msingi?
Sent from my typewriter using Tapatalk
Unapimaje hiki ni kitu cha kijinga na hiki si cha kijinga?Huyu jamaa anajifanya yeye ndio anajua kila kitu anaanzisha league hata kwa vitu vya kijinga kabisa.
Unajuaje huu ni ujinga na huu si ujinga?Aiseee Kuna watu wanaenda shule kusoma ujinga then wanakuwa wapumbavu mojawapo ni wewe.
Sasa umeandika nini hapa, mkuu sio kila kitu lazma utoe upupu. Halafu kujiona mwerevu zaidi ya wenzako ni dalili za kiwango cha juu cha UPUMBAVU
Nalima maharage, mahindi pia nina miti ya mbao.Unalima wapi wewe
Wewe mzee Wa bora liende kila jambo Sawa kwako
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui hata umeandika nini.Wewe ni zaidi ya NDINA
Wewe ushapigwa na TUGHE.Unakoelekea utatiwa vidole
Sidhani kama kutakuwa na mpyaKama ni kweli..jua apo linatengenezwa tatizo ili mkulu aje alitatue kipind cha uchagyz huku kabudi akitolewa kafara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Location tupeNalima maharage, mahindi pia nina miti ya mbao.
Kama ni kweli..jua apo linatengenezwa tatizo ili mkulu aje alitatue kipind cha uchagyz huku kabudi akitolewa kafara.
Sent using Jamii Forums mobile app