Kwa kauli hii ya kabudi, Kesho naandika rasmi barua ya kujitoa TUGHE

Kwa kauli hii ya kabudi, Kesho naandika rasmi barua ya kujitoa TUGHE

Itoshe tu wakati wa kampeni Kiongozi wa upinzani kusema atalipa annual increment zilizozuiwa na Mrundi/Mnyarwanda. Anajenga ma hotel Kigali.
Awamu hii ni zaidi ya COVID 19.
Haahaha
 
Sasa ulitaka nikujibu ambalo tayari unalijua,...wewe jamaa jinga kweli
Unaelewa hata nilichouliza ni kipi wewe bongopanzi?

Wewe ukiendelea kuwa mjinga hivi utapigwa maisha yote, kama si TUGHE utapigwa hata na waganga wa kienyeji tu.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Unaelewa hata nilichouliza ni kipi wewe bongopanzi?

Wewe ukiendelea kuwa mjinga hivi utapigwa maisha yote, kama si TUGHE utapigwa hata na waganga wa kienyeji tu.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Mkuu eti waganga hahaha haya bhna
 
Mkuu eti waganga hahaha haya bhna
Kama umeshindwa kuelewa swali langu tu, angalia sana usishindwe kuusoma mchezo wa maisha ukawa unapigwa siku zote.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Kama umeshindwa kuelewa swali langu tu, angalia sana usishindwe kuusoma mchezo wa maisha ukawa unapigwa siku zote.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Tatzo wewe ni kujifanya mjuaji wa kipumbavu hata kwenye ujinga huwa unataka league nakuonaga sana na nyuzi zako.
Wala sikushangai mjuaji
 
Sitarajii na Wala sitegemei chama chochote chenye kutetea na kusimamia, haki za wafanyakazi kupaza sauti kulaani kauli ya profesa Kabudi,wote kimyaaaa hamna anayeweza kumfunga paka kengele.
Kabudi akiwa anahutubia baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje, Ameeleza wazi hamna nyongeza ya mshahara kwa mwaka na malipo ya masaa ya ziada yanaondolewa, Kwa vile yeye ni mjumbe wa baraza la mawaziri sitilii shaka kusema yawezekana huu ndio msimamo wa serikali.

Sasa Ili niendelee kufunga mkanda mwaka ujao wa fedha, Kesho naanza process niondoe makato ya TUGHE kwenye salary slip yangu, Baadae yatafatiwa na mchango wa hiari wa kusaidiana wakati wa matatizo.

Maana hiki kikombe ni kizito na lazma tukinywe hamna namna.
TUGHE jiandaeni kupokea barua yangu kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatzo wewe ni kujifanya mjuaji wa kipumbavu hata kwenye ujinga huwa unataka league nakuonaga sana na nyuzi zako.
Wala sikushangai mjuaji
Wewe uliyepigwa na TUGHE ni mjuaji au si mjuaji?

Unajua kusoma kwa ufahamu we ngumbaru?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Wewe uliyepigwa na TUGHE ni mjuaji au si mjuaji?

Unajua kusoma kwa ufahamu we ngumbaru?

Sent from my typewriter using Tapatalk
Nimegundua wewe jamaa ni punga sana una ubishi wa kikekike
 
Back
Top Bottom