Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeTUGHE ya siku hizi! View attachment 1389072
Wangari Maathai si mchezo, rudisha lile jina la Manengelo bhnaMwoga mwingine huyu hapa
Unaelewa hata nilichouliza ni kipi wewe bongopanzi?Sasa ulitaka nikujibu ambalo tayari unalijua,...wewe jamaa jinga kweli
Mkuu eti waganga hahaha haya bhnaUnaelewa hata nilichouliza ni kipi wewe bongopanzi?
Wewe ukiendelea kuwa mjinga hivi utapigwa maisha yote, kama si TUGHE utapigwa hata na waganga wa kienyeji tu.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Kama umeshindwa kuelewa swali langu tu, angalia sana usishindwe kuusoma mchezo wa maisha ukawa unapigwa siku zote.Mkuu eti waganga hahaha haya bhna
Tatzo wewe ni kujifanya mjuaji wa kipumbavu hata kwenye ujinga huwa unataka league nakuonaga sana na nyuzi zako.Kama umeshindwa kuelewa swali langu tu, angalia sana usishindwe kuusoma mchezo wa maisha ukawa unapigwa siku zote.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Tatzo wewe ni kujifanya mjuaji wa kipumbavu hata kwenye ujinga huwa unataka league nakuonaga sana na nyuzi zako.
Wala sikushangai mjuaji
Kabudi akiwa anahutubia baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje, Ameeleza wazi hamna nyongeza ya mshahara kwa mwaka na malipo ya masaa ya ziada yanaondolewa, Kwa vile yeye ni mjumbe wa baraza la mawaziri sitilii shaka kusema yawezekana huu ndio msimamo wa serikali.
Sasa Ili niendelee kufunga mkanda mwaka ujao wa fedha, Kesho naanza process niondoe makato ya TUGHE kwenye salary slip yangu, Baadae yatafatiwa na mchango wa hiari wa kusaidiana wakati wa matatizo.
Maana hiki kikombe ni kizito na lazma tukinywe hamna namna.
TUGHE jiandaeni kupokea barua yangu kesho.
Mimi najitoa mkuuSitarajii na Wala sitegemei chama chochote chenye kutetea na kusimamia, haki za wafanyakazi kupaza sauti kulaani kauli ya profesa Kabudi,wote kimyaaaa hamna anayeweza kumfunga paka kengele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uliyepigwa na TUGHE ni mjuaji au si mjuaji?Tatzo wewe ni kujifanya mjuaji wa kipumbavu hata kwenye ujinga huwa unataka league nakuonaga sana na nyuzi zako.
Wala sikushangai mjuaji
Wangari Maathai si mchezo, rudisha lile jina la Manengelo bhna
Duuh wakiondoa hiyo extra duty allowance (EDA) maisha yatakua magumu balaa... Hiyo ndio tunaitegemea kusogeza siku.
Unalima wapi weweKumbe utumishi wa uma its all about nyongeza ya mshahara tu. I wish na mimi nitupe jembe langu >>>>>>