Kwa kauli hii ya Rais Samia, ni wazi kwamba watu wanamdharau (wanamchukulia poa)

Kwa kauli hii ya Rais Samia, ni wazi kwamba watu wanamdharau (wanamchukulia poa)

Mama anipe Uwaziri maalumu wa Ukauzu na Kuwashushia watu vitu vizito kichwani . Nimnyooshee nchi.
 
"2025 mtaamua wenyewe muwalete walioleta matozo au muwatoe"

Unapata picha gani kwa kauli hii, Mama keshachokwa na hapa ni miezi tisa tu.
Kujifariji sio dhambi mkuu. Endelea kujifariji maana hamna namna nyingine ya kusuuza moyo wako zaidi ya hiyo!!!

Mama samia chapa mwendo hadi hawa nguchiro waliotaka kujimilikisha madaraka ya nchi wanyooke.
 
Unachoshauri ni nini ndugai katoa mawazo yake unaposema asipokua makini watu watamdharau au wanamdharau yaah ofcoz wanamdharau kwasababu hamna kitu anafanya sio mfatiliaji inshort ni mshenzi
Mkuu huwezi kumtusi hovyo mtu mzima tena raisi wa nchi.
Tusiruhusu mihemko ya namna hii.
Angekuwa nduguyo ungemtusi hivi?

Mimi si muumini wa aina yake ya uongozi lakini sifikirii kumshambulia kwa lugha kama hizi. Kosoa usikashifu au kutukana.
 
Watu wapo huru sana aisee
Mkuu huwezi kumtusi hovyo mtu mzima tena raisi wa nchi.
Tusiruhusu mihemko ya namna hii.
Angekuwa nduguyo ungemtusi hivi?

Mimi si muumini wa aina yake ya uongozi lakini sifikirii kumshambulia kwa lugha kama hizi. Kosoa usikashifu au kutukana.
 
Hii ni kama NATO. Yaani maneno yanakuwa mengi lakini hakuna vitendo. Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo.
 
Watu wameachiwa kuongea sasahivi wanaropoka tuu hivi ndugai wakati wa dikteta angeweza kutoa hizo kauli?
 
"2025 mtaamua wenyewe muwalete walioleta matozo au muwatoe"

Unapata picha gani kwa kauli hii, Mama keshachokwa na hapa ni miezi tisa tu.
Ukimnukuu mtu nukuu neno kwa neno.usimlishe maneno yako
 
Nchi imefunguliwa hii, Mwendazake aliwa chelewesha. NAPE alizania Legacy mzimu,ila siku zote uache muda uongee.
 
Huwenda alimaanisha serikali yake ya awamu ya sita..
Rais anatakiwa kujipanga vizuri zaidi kwenye kauli zake. Mtu anayeshindwa kujipanga kwenye kauli hata mawazo naweka shaka kama anaweza kujipanga.

Au hili nalo tunahitaji fedha za kigeni?
 
  • Thanks
Reactions: 911
Wewe mshauri wako akiwa mwiguru na makamba ujue umepigwa,tena mchama kweupe
 
Watu wameachiwa kuongea sasahivi wanaropoka tuu hivi ndugai wakati wa dikteta angeweza kutoa hizo kauli?
Ndugai asingeweza enzi za Magu mwanaume alikuwa mmoja tu wengine waliufyata
 
Back
Top Bottom