Kwa kauli hii ya Rais Samia, ni wazi kwamba watu wanamdharau (wanamchukulia poa)

Kwa kauli hii ya Rais Samia, ni wazi kwamba watu wanamdharau (wanamchukulia poa)

..Ubora wa vifaa vinavyonunuliwa uendane na reli inayojengwa kwa sababu miezi michache niliyokaa serikali, nimeona mambo mengi sana ambayo huko nyuma yalikuwa hayafanyiki lakini sasa yanataka kufanyika, sitakubaki yafanyike”

Hii kauli ya Samia inaibua maswali mengi kuhusu utendaji wa Serikali. Je ni Kweli Samia amekaa serikalini miezi michache? Je makamu wa Rais hawi kwenye serikali tawala? Hayo mambo ambayo yalikuwa hayafanyiki huko nyuma kwanini yaanze kufanyika sasa? Kwanini atangaze hadharani kama kweli hatakubali yafanyike badala ya kuchukua hatua kimyakimya?
IT is unfortunate kuwa washauri wake hawamuambii kuwa vitu anavyofanya vinaonesha kuwa hana ujasiri wa kuchukua hatua dhidi ya wahusika wa mambo maovu yanayofanywa na wasaidizi wake!! It doesn't augur well for her.
 
Ki ufupi nimegundua zile kesi za uhujumu uchumi pamoja ya kwamba zilikaa kidhalimu dhalimu lakini zilipunguza sana kasi ya mchwa kuzaliana.
Mama anatakiwa azirudishe zile kesi kwa kila anaejaribu kudokoa pesa ya serikali kwenye miradi yote ya maendeleo.
Mama huu sio muda wa kucheka na kima hata kidogo, hawa kima bila ya kuwaonyesha action shamba lote wataligeuza mabua.
 
Hii kauli ya Samia inaibua maswali mengi kuhusu utendaji wa Serikali. Je ni Kweli Samia amekaa serikalini miezi michache? Je makamu wa Rais hawi kwenye serikali tawala? Hayo mambo ambayo yalikuwa hayafanyiki huko nyuma kwanini yaanze kufanyika sasa? Kwanini atangaze hadharani kama kweli hatakubali yafanyike badala ya kuchukua hatua kimyakimya?
IT is unfortunate kuwa washauri wake hawamuambii kuwa vitu anavyofanya vinaonesha kuwa hana ujasiri wa kuchukua hatua dhidi ya wahusika wa mambo maovu yanayofanywa na wasaidizi wake!! It doesn't augur well for her.
Mbona hata Magufuli alikua anasema majukwaani yanayotendeka serikalini nae alikua dhaifu au ana hitaji huruma ? Au ndio mnataka muanze kuuwawa na kufungwa Kwenye viroba ndio mjue rais ni jasiri.

Style ya samia ndio hiyo hataki kuumizana na mtu anakuambia jirekebishe endelea Kupiga kazi. Sasa naona abadilishe style maana mijitu hajielewi inataka nini na haina shukurani.

Mtu akitufanyia udikteta tunalia ..tukienda kidemokrasia na kupewa uhuru tunamdharau na kumuona mjinga . Kwakweli kazi ipo.
Hapo mama afanye yake vile anaona mambo yanaenda. Watu hawataacha kulalamika kamwee.
 
Maza anaishia kusema sitakubali tu bila action, tafadhari chukua hatua mama, usiangalie mtu usoni
 
Hao ni watu wawili tofauti wenye nia moja. Wote wana tamaa iwe ya mali ya haraka,iwe madaraka. Wote wawili hawana nia hata moja ya kuwatumikia Watz hata nusu,ila wamejaa tamaa za upigaji tu. Wote ni wapigaji. Wote wawili wanautaka urais iwe asubuhi,iwe mchana. Mwingine alichora na mawe yote. Wote wana nia ya kumuangusha mama ili waangalie fursa ya kugombea hiyo nafasi.
Anayepeleka pendekezo la uteuzi wa mawaziri ni nani?

Hana upande kati ya hawa wawili wenye kuutaka urais?

Kwanini Samia awaingize katika serikali yake wakati anaelewa fika lengo lao tangu 2015?

Kwa mujibu wa jibu lako unadhani Samia anauhalali wa kulalamika kwa chochote zaidi ya kukubali kukaa kimya?



Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Rais hajakosea anajipanga kila Rais ana njia zake za kutawala.Semina elekezi zinatakiwa . Viongozi wengi ni wapya
 
Nyie wote mliomo humu mnaokosoa hamna mlichofanikisha na ndio maana hamtambuliki popote wanaojua uongozi wala humu hawapo wametulua tu magala fulani hawana ngebe.
Yani kamtu kanakosoa hakana hata kampuni moja matata ya mfano wa uongozi inaofahamika walau TZ tu.
Kajitu kameswagwa kaluokoo ba tasgati twake janamalizia humu hasira.
Kajitu kameshindwa hata kuanzisha biashara yake kapo humu kuropoka.
 
Kuna watu humu hata uenyekitivwa mtaa ukiwashindavila mafundi wa kumuelekeza raisi.
 
Mama akitaka kumuua nyani asimwangalie usoni, otherwise atavuna mabua shambani
Mkiambiwa ukweli msikasirike mliumbwa kuzaa na kulea mnadandia dandia msiyoyaweza. Wnawake hamna uthubutu, hamna ujasiri, hamna weledi wa kutosha, hamna logic, hamna ubunifu, hamna akili na ushahidi upo wazi.
 
Mkiambiwa ukweli msikasirike mliumbwa kuzaa na kulea mnadandia dandia msiyoyaweza. Wnawake hamna uthubutu, hamna ujasiri, hamna weledi wa kutosha, hamna logic, hamna ubunifu, hamna akili na ushahidi upo wazi.
Hyo ni Imani yako kuhusu wanawake, kuzaa tu wewe huo ni ujasiri mkubwa sana, sembuse hivo vitu vingine vidogo dogo aisee
 
Hyo ni Imani yako kuhusu wanawake, kuzaa tu wewe huo ni ujasiri mkubwa sana, sembuse hivo vitu vingine vidogo dogo aisee
Hamna akili ndio maana usukumani hamruhusiwi kuongea. Tena bora wanawake wa zama zile manamake ya wakati huu ndio bure kabisa. Hata Saa100 yeye mwenyewe alikiri WAZI ya kua. ".... SINA UWEZO KAMA WA MAGUFULI ....." Mmejaa ufeminist tu vichwani watupu mabumunda mnachowaza ni kujichomekea machupa ya soda shameless idiots.
 
Huwenda haamini kawa Raisi maana kila siku anasema kuna mambo yanaendelea chinichini na hatumuoni akichukua hatua yoyote

Watoto wa mjini washamzidi kete..
Anaogopa kuonekana mbaya hata kwa mambo ya hovyo yanayofanywa na wasaifizi wake. Ni kakipaji kale Mzee Nyerere alikosema ndio kanamsumbua.
 
Anajistukia tu ukijulisha na namna ambavyo anaongoza nchi bado hajiamini. Ila sio kauli ngeni, nimekua nikiona kwa wnawake wengi wanapopewa dhamana kuna kua na ile dhana kwamba wananichukulia poa. Yan awe mwalimu, mkurugenzi au waziri na sasa tunaona kwa Raisi bado anaona watu wanamdharau.
Anajidharaulisha mwenye kwa kujifanya mwema mpaka kwa mijitu mipumbavu...
 
Back
Top Bottom