Uchaguzi 2020 Kwa kauli hizi za Dkt. Magufuli, Je atakuwa tayari kuachia madaraka kama atashindwa Uchaguzi?

Ataachia atake asitake , nchi sio yake na mzmlaka yote yanatoka kwa wananchi , soma katiba hapa , ikibidi nguvu ya umma
 
Japo Waliosema Mwana mpumbavu ni hasara kwa mamaye enzi zao zimepita miaka miaka mingi sana lakini wakati wanasema hayo ni kama walikuwa wanamuona mtu fulani wa siku hizi
 
Japo Waliosema Mwana mpumbavu ni hasara kwa mamaye enzi zao zimepita miaka miaka mingi sana lakini wakati wanasema hayo ni kama walikuwa wanamuona mtu fulani wa siku hizi

Walimuona nani?
 
Kwa kuangalia tu uitikio wa wananchi kwenye mikutano ya JPM ni wazi wananchi washaamua kwenda na Magufuli.
Kwenda naye wapi? Yani mimi mimi mimi nichague jiwe [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Bado sana bora Rungwe kama Lissu asipokuwepo
 
Watu wanajikaza tu kisabuni lkn ukweli hata wanaccm wenenyewe hawaitaki ccm
 
Haya sasa jaman move yetu inaanza kunoga bado pushup tu mambo yakamilike
 
Je! Anti atakubali kushindwa uchaguzi huu
 
Akishindwa na nani?? kuna mgombea anayetarajia kumshinda Magufuli kweli!!!!! hebu kuweni serious jamani, baada ya uchaguzi hao wanaojita wagombea wazuri, wanagombea lakini wana tiketi za ndege mkononi tarehe 1novemba watakuwa hawapo. Bahati nzuri watanzania wameshabaini
 
Hana tabia ya kujionyesha ila kazi kubwa aliyoifanya inajionyesha. Ana hofu kuwa wakishika madaraka wataharibu alichoanzisha.
 
Wagombea wenu ni wa kuokotez, ccm hawajaenguliwa hata upinzani hawajaenguliwa wale wote waliokuwa wabunge, mlipashwa kuwasaidia wagombea wenu wapya, imekula kwenu msilalamike subirini kipigo.
 
Yaani watu waache kuchagua Chama cha Siasa wachague chama cha kijamii
 
Kwanza inashangaza kuona tume iko kimya kukemea haya, ina maana tume iliteua matapeli na waongo kugombea nafasi ya urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Unazungumzia tume hii aliyoiteua yeye? Tume wako kama wamemwagiwa maji
 
Nataka Siku Moja Nikifika Mbinguni Niwe Hata Mfagizi Wa Malaika, [emoji3][emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji2]
Mgombea Nafasi Ya Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Kwa Tiketi Ya Chama Dola
Nani kamdanganya jiwe kuwa ataenda mbinguni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye ni motoni tu
 
ANASHINDWAJE UCHAGUZI WAKATI ANAWAFIKIA WAPIGA KURA NA LISSU ANAWAFIKIA MASHABIKI NCHI HII WAPIGA KURA HAWAPO MIJINI ANAPOPITA LISSU WAPO MAWILAYANI NA VIJIJINI ANAPOPITA MAGUFURI KAMA UNAKILI USHAELEWA NANI MJANJA
Kwa akili yako na mimi siyo mpiga kura? Pathetic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…