Kwa kauli za Mbowe na Mdude ni wazi Ole Sabaya ataachiwa huru

Kwa kauli za Mbowe na Mdude ni wazi Ole Sabaya ataachiwa huru

Mahakama hazitakiwi kutumiwa kisiasa, kesi ipelekwe mahakamani ushahidi upatikane mtu ahukumiwe kutokana na makosa yake, sio vinginevyo, hivyo usitake Sabaya aachiwe kwasababu ya kauli ya Mdude unakosea.
Sawa mkuu, ni kwanini mbowe na wenzake wameachiwa ikiwa mahakama hizitumiki kisiasa, vipi kesi ya huyo mdude? Umesahau kesi za kina Abdul Nondo na Eric kabendela? Unakumbuka kesi ya Sugu?
Kwahiyo JPM hakuwabambikia watu kesi ila tu zilikuwa porojo za kisiasa tu?.
 
Kama mama alikuwa ana mpango wa kukutana na wapinzani itakuwa ngumu Sana Kwa kauli ya Jana aliyoitoa mbowe!!!
Kwa kifupi mbowe amekosea Sana kupiga mikwala ya kishamba ya kudai katiba mpya Kwa kuingia barabaran.... kipindi cha mwendazake mbowe alitulia Tu
..mae mtaishia hivohivo ''MWENDAZAKE'' MWENDAZAKE keshakwanyuliwa mhutu wenu
 
Kama mama alikuwa ana mpango wa kukutana na wapinzani itakuwa ngumu Sana Kwa kauli ya Jana aliyoitoa mbowe!!!
Kwa kifupi mbowe amekosea Sana kupiga mikwala ya kishamba ya kudai katiba mpya Kwa kuingia barabaran.... kipindi cha mwendazake mbowe alitulia Tu
Labda kama hakuwa tu na mpango wa kukutana na hao wapinzani lakini eti kusema eti sababu ndo iwe hiyo kauli?! Kimsingi, ni SSH ndie amechochea...

Hana mamlaka ya kupangia watu mipaka ya kufanya mikutano, lakini yeye anatamka hadharani kwamba ni marufuku watu kufanya siasa nje ya majimbo yao!! Katoa wapi mamlaka ya kuvunja Sheria ya Vyama vya Upinzani?!
 
TUIACHIE MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE...KUTABIRI HUMU HAKUFAI.....
 
Huna akili
Hapa unamaanisha serikali huingilia maamuzi ya mahakama, nakubaliana nawe, lakini jambo hili linatakiwa kupigwa vita na kila mpenda nchi.

Kwa kauli zenu mnaonesha dhahiri mnavyoingiza siasa kwenye kesi iliyoko mahakamani kwa ajili ya uamuzi, sijaona uhusiano wa kauli ya Mdude na suala la Sabaya lililoko mahakamani, bado nioneshe vizuri.

Mwisho kabisa, kesi ya Sabaya imeshaonesha muelekeo mbaya pale wanapokuwepo "vibaraka" wa kumshangilia nje ya jengo la mahakama kwa lengo la kumfanya aonekane "shujaa" wenu, hapa usisingizie kauli aliyoitoa Mdude jana.
 
Ila ni vizuri kuacha kutumia kauli tata na ni bora Mtu azungumze straight kitu kinachoeleweka.

Kusema kumnyoa Rais bado sijui jamaa alimaanisha nini
 
Afrika rais ni mungu, wananchi wanafata kile raisi anataka. Wenzetu raisi ni mwajiriwa wa wananchi na ni lzm afate wananchi wanataka nn.
Ukiwa na ngozi nyepesi kama jiwe uraisi aukufai utakuwa sawa na mzazi akikojolewa na kitoto kichanga ukizabua makofi.Ukiwa matured kelele za watu hazikunyimi usingizi.
 
Labda kama hakuwa tu na mpango wa kukutana na hao wapinzani lakini eti kusema eti sababu ndo iwe hiyo kauli?! Kimsingi, ni SSH ndie amechochea...

Hana mamlaka ya kupangia watu mipaka ya kufanya mikutano, lakini yeye anatamka hadharani kwamba ni marufuku watu kufanya siasa nje ya majimbo yao!! Katoa wapi mamlaka ya kuvunja Sheria ya Vyama vya Upinzani?!
Chadema nimewapigia Kura tokea 2005 Hadi Leo Ila Leo Kwa mara ya Kwanza ninapinga kauli za mbowe mbona kipindi cha mwendazake mbowe alitulia Tu
 
Sawa, tuseme Sabaya anaweza kuachiwa kwa kile unachoamini huenda alikuwa anararuriwa kweli kweli na Mbowe!!!

Kwahiyo na zile kesi za uhujumu uchumi zinazomhusu Sabaya na zenyewe zimetokana na "kuraruriwa raruriwa na Mbowe", au?!
Nimesema hivi mkulu akitaka jambo lake hata wewe hapo unaweza pata kesi ya uhujumu uchumi muda wowote ule unalijua hilo mkuu?
Kuna watu wangapi walio kuwa na kesi Kama hizo za uhujumu uchumi mbona wamewchiwa huru mfano papaa Musofe?
Kesi za mbowe na wenzake zilikuwa halali au za kubambikwa??

Kama hao walibambikiwa kesi kwa maslahi ya mtu fulani kisiasa kuua upinzani sasa kinashindikana nini kwa huyo Sabaya nae kutolewa kafara kwaajili ya kuvuna uungwaji mkono kisiasa?

Au kwasasa tunakubaliana kuwa mahakama zinatenda haki kwasababu anaye shitakiwa ni Sabaya?

Kwa kauli ya Mbowe jana akija kukamatwa kwa kosa la uchochezi kuhamasisha maandamano yasiyo na kibali je tutafurahia kuwa mahakama inatenda haki au atakuwa anabambikwa kesi?
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.

Mtu akiangalia jinsi ulivyoandika gazeti anaweza kudhani umeandika kitu cha maana. Huyo mama kipimo cha uwezo wake ni pale atakapokuwa anashindana na maneno ya wanasiasa wenzake? Nilitarajia nione nguvu ya mama kutaka kujua ni akina nani wamejiunganishia bomba la mafuta na kuwachukulia hatua, badala yake unataka mama aonyeshe hachezewi kwa kupambana na mashairi ya wanasiasa wenye makovu ya kuonewa! Acha mada za kitoto boss.
 
Rais anaonekana kutaka kutuliza nchi and the next move is being a total dickhead? Kweli?

Nakubaliana ya kwamba nchi inahitaji demokrasia ila napingana na hizi komedi za chadema. Kwa muda wa miaka 6 tulijua ya kwamba we took for granted a lot of things, sasa leo tena wanaanzisha unnecessary shits.

Watu tuliostaarabika tunakaa chini tunaongea, hatutishiani, hatushikiani mitutu.
 
Dunia ni mviringo.
Furahieni walokuwa wakifanya kina Sabaya mkijua kuwa ipo siku mtakosa mamlaka na mtalipwa ipasavyo!
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya rais wa nchi.

Swali jiulize Kama rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?
Matusi mangapi aliyo yaoga sabaya ikiwa tu rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za mdude chadema eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?
Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango Cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Wanachopigania Chadema & co ni kuondoa haya uliyaorodhesha hapa chini 👇 👇 yasitokane na utashi wa rais aliyeko madarakani bali yatokane na mwongozo wa katiba.

Wakati wa kudai katiba yao, Wakenya walikuwa na mashinikizo na kauli kali na mbaya dhidi ya serekali yao zaidi hata ya hizi za huku Tanzania. Matokeo yake? Wakenya wamepata moja ya katiba bora kabisa barani Africa ambayo mathalani leo hii nimeona kwenye newsstreams nyingi rais wao yupo mahakamani akiwa amekata rufaa dhidi ya hukumu aliyopewa na mahakama.

Ukiunganisha matukioa ya kesi ya sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.
 
endelea kuchochea ila mtambue MHUTU wenu keshanyofolewa na harudi milele
Mmh Kaka ukizungumzia kunyofolewa kwa uelewa wangu mtu yeyote yule anaweza kunyofolewa wakati wowote ule au tuseme wanao kufa ni wale wenye madhambi mengi kuliko wengine ndo mana mimi na wewe tu wazima sababu hatuna dhambi/makosa yoyote?

Kama yeye ni dhambi ndio zimemnyofoa basi kama ni hivo tuangalie na hawa wengine wana dhambi au hawana Kama wanazo basi watubu mapema wasije nyofolewa.
 
Mtu akiangalia jinsi ulivyoandika gazeti anaweza kudhani umeandika kitu cha maana. Huyo mama kipimo cha uwezo wake ni pale atakapokuwa anashindana na maneno ya wanasiasa wenzake? Nilitarajia nione nguvu ya mama kutaka kujua ni akina nani wamejiunganishia bomba la mafuta na kuwachukulia hatua, badala yake unataka mama aonyeshe hachezewi kwa kupambana na mashairi ya wanasiasa wenye makovu ya kuonewa! Acha mada za kitoto boss.
Hapa umezungumzia point kubwa sana, swala la uwizi wa mafuta siyo ya kukaliwa kimya namna hii
 
Mtu akiangalia jinsi ulivyoandika gazeti anaweza kudhani umeandika kitu cha maana. Huyo mama kipimo cha uwezo wake ni pale atakapokuwa anashindana na maneno ya wanasiasa wenzake? Nilitarajia nione nguvu ya mama kutaka kujua ni akina nani wamejiunganishia bomba la mafuta na kuwachukulia hatua, badala yake unataka mama aonyeshe hachezewi kwa kupambana na mashairi ya wanasiasa wenye makovu ya kuonewa! Acha mada za kitoto boss.
Nafurahi sana kukuona hapa mkuu salama lakini.

Mimi nimetoa maoni yangu kutokana na upepo wa kisiasa unaovuma kwa sasa ila hayo unayo yasema wewe ni matarajio yako ambayo ulitegemea kuyaona maybe yanaweza kuja ama yasije kabisa ila viashiria vilivyopo kwa sasa vinaonyesha hali iko hivo na ndicho hasa mimi nilicho kuzungumza.

Au labda unambie kuwa kwa sasa mahakama zinatenda haki haziwezi tena kutumiwa na mkulu kwa manufaa ya kisiasa Kama alivyokuwa hapo awali mana tunaamini watu walibambikiwa kesi kisiasa tu?

Nadhani umeuona vizuri msingi wa mada yangu mkuu, jiulize kabla ya kauli za wiki hii ni vitu gani alifanya mama vilivyopelekea kusifiwa sana kila kona na leo kwanini kageukwa?
 
Binafsi nimemsikiliza Mbowe, kusema kweli kauli zake hazijakaa vizuri, ukizingatia Mama Samia ameonesha kupenda kutenda haki kwa wote, tena dai lake kubwa ni katiba mpya ambalo Mh. Rais SSH amesema wampe muda atalitekeleza baada ya mambo mengine kukaa sawa. Kweli kuongoza watu kazi, ukiwa fair hawaridhiki na ukiwa mkali wanalalama. kweli kuongoza watu kaazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom