Kwa kauli za Mbowe na Mdude ni wazi Ole Sabaya ataachiwa huru

Kwa kauli za Mbowe na Mdude ni wazi Ole Sabaya ataachiwa huru

Nadhani mkuu wewe ndie ambaye hukunielewa tangu kwenye mada hapo juu na ndio mana nikarudia tena maelezo hayo.

Alafu pia ni ukweli usio pingika kuwa uungwaji mkono na kusifiwa alikosifiwa mama kulitokana na hisani hiyo hiyo unayo ikataa kwa kuzitumia mahakama kufuta kesi za wanasiasa ambazo iliaminika na watu kuwa zilibambikwa pamoja na nyingine nyingi ili kufurahisha makundi kadha wa kadhi, mfano kundi la dini e.g mashekhe wa uamsho, kwa wafanya biashara watu Kama kina Papaa Musofe wako huru, wanasiasa ndio kabisaa kina Mdude, Mbowe na wenzake hawa yote yamefanyika lengo moja tu kurudisha imani iliyo potea enzi za mtangulizi wake wakiamini hawajatendewa haki.

Na ndio mana nasema kwa mawazo yangu hata huyu Sabaya pia yupo ndani ya kimbunga hiki hiki cha kutafuta imani ila tu yeye amekuwa mbuzi wa kafara tena ukizingatia katokea pale pale sebuleni kwa Mbowe, huyu Sabaya ni adui wa pili wa Mbowe baada ya marehemu. Kwangu mimi binafsi kinacho mkuta huyu ni mbinu tu ya kutuliza hali ya hewa.

Ni kweli tunadai katiba lakini si kwa njia ya kumpa amri rais na vitisho vya kunyolewa kwa hapo hatuwezi kufika mkuu.
Na hata hizo hisani hatuta ziona tena badala yake itatumika dola Kama nyakati zilizopita tu na nasema hata huyu Sabaya atakuwa huru muda si mwingi.

Okay, ni maoni yangu lakini.

Kwa taarifa yako hata kama hao cdm wangelala chini rais apite juu ya migongo yao, bado huyo Sabaya angetoka tu. List ya waovu waliofaidika na uovu wa Magu ni pamoja na huyu mama. Hivyo hakuna namna mama angeweza kuchukua hatua za ukweli dhidi ya mtu muovu, wakati yeye binafsi ni mfaidika wa huo uovu huo aliofadika nao Sabaya. Kama alikuwa anacheza maigizo kutuonyesha kuwa anapambana na uovu, mshauri tu aache, bali tunawaka katiba mpya.Na kama atachukua hatua zozote kutokana na maneno ya Mdude, basi atakuwa ni rais mwenye uwezo duni kweli kweli.
 
Mtoa mada kuliko kuposti huu ujinga ungetupostia hata jinsi unavyokataga gogo tuone mauwezo yako
 
Hizo kauli zinazokuumiza leo zimekuwa zikitolewa hadharani na yule rais muovu pamoja na genge lake, lakini wakati huo ulichekelea ukisema nchi inanyooshwa. Leo wengine wanaonyesha hisia zao kwa mateso waliyopatiwa kwa uonevu, unaona wanakosea!

Ni hivi, kama kweli huyo rais unataka tuone hiyo nguvu yake, sio kumtaka achukue hatua dhidi ya wapiga maneno ya siasa maana hayana madhara kwetu, bali mtake achukue hatua ya upotevu wa 24b zilizopotea kwenye halmashauri ya jiji la Dar, ama achukue hatua kwa hao waliojiunganishia bomba la mafuta. Sasa mnaacha kumpima rais kwa mambo ya msingi, mnamjaza muone nguvu zake dhidi ya kauli za wahanga wa utawala wa kihayawani wa Magu!?
Mkuu kwasasa hapa mimi nazungumzia political atmosphere tulio nayo kwa sasa ndo mada yangu ilipo sa hayo mambo ya mafuta na sijui wizi na nini mimi hapa sijayazungumzia kabisaa na wala mada yangu haijalenga kupima nguvu ya rais kwenye mambo hayo uliyo yataja hata kidogo na binafsi nina maoni na msimamo tofauti kabisaa juu ya uwezo na nguvu ya rais juu ya mambo hayo ulio yasema hapo labda tutayajadili kwenye mada nyingine hapa mimi naongelea mwenendo wa kisiasa tulio nao.

Na nadhani hata huyo Magu hakupenda kupandwa pandwa kichwani kwa kauli za namna hiyo ndio maana alikuwa mkali sana na kusweka watu ndani ambao ndio hao wanaachiwa sasahivi na huyu mwana demokrasia ambaye haheshimiwi hata kidogo licha ya kujaribu kwa nguvu zote kujipendekeza na bado watu wanataka kumnyoa kwa wembe 😂😂.
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Kwanza unaonyesha huna akili timamu! Kesi ya Sabaya ipo Arusha kwa uharamia aliyofanya huko. Bado ana kesi nyingine nyingi atakazofunguliwa Moshi kwa uharamia aliyofanya mkoa wa Kilimanjaro.

Hivyo tuliza masaburi mambo bado!
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Mama alianza kwa makosa mno kutaka kuwaridhisha hawa watu, sasa wameanza kumuonyesha ni watu wa aina gani. Ili nchi hii uiongoze, lazm utumie Magu strategy period
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.

Vichekesho sana kwenye kesi hii Mbowe hata hayupo!! sijui kama umefuatilia kesi vizuri
 
Kwa taarifa yako hata kama hao cdm wangelala chini rais apite juu ya migongo yao, bado huyo Sabaya angetoka tu. List ya waovu waliofaidika na uovu wa Magu ni pamoja na huyu mama. Hivyo hakuna namna mama angeweza kuchukua hatua za ukweli dhidi ya mtu muovu, wakati yeye binafsi ni mfaidika wa huo uovu huo aliofadika nao Sabaya. Kama alikuwa anacheza maigizo kutuonyesha kuwa anapambana na uovu, mshauri tu aache, bali tunawaka katiba mpya.Na kama atachukua hatua zozote kutokana na maneno ya Mdude, basi atakuwa ni rais mwenye uwezo duni kweli kweli.
Aah mkuu punguza hasira maisha ni haya haya bana tuhame bongo tuende wapi tena?😂
 
Mkuu kwasasa hapa mimi nazungumzia political atmosphere tulio nayo kwa sasa ndo mada yangu ilipo sa hayo mambo ya mafuta na sijui wizi na nini mimi hapa sijayazungumzia kabisaa na wala mada yangu haijalenga kupima nguvu ya rais kwenye mambo hayo uliyo yataja hata kidogo na binafsi nina maoni na msimamo tofauti kabisaa juu ya uwezo na nguvu ya rais juu ya mambo hayo ulio yasema hapo labda tutayajadili kwenye mada nyingine hapa mimi naongelea mwenendo wa kisiasa tulio nao.

Na nadhani hata huyo Magu hakupenda kupandwa pandwa kichwani kwa kauli za namna hiyo ndio maana alikuwa mkali sana na kusweka watu ndani ambao ndio hao wanaachiwa sasahivi na huyu mwana demokrasia ambaye haheshimiwi hata kidogo licha ya kujaribu kwa nguvu zote kujipendekeza na bado watu wanataka kumnyoa kwa wembe 😂😂.

Kama ungekuwa na uelewa mpana wa kusoma between the lines, ni kama nakuambia achana na cheap politics. Kuleta mada ndefu hivyo kisha kututajia Mdude kama sehemu ya kupimia siasa za rais, nazo ni kichekesho kingine.

Na kwa taarifa yako Magu hakuwa mkali bali alikuwa ni mtu mwenye jazba, kuna tofauti ya ukali na jazba, ndio maana kaishia kushusha uchumi wa nchi. Magu alikuwa mtu muovu mwenye kiburi cha madaraka, na tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule dhalimu bila damu kumwagika, apumzike kwa mateso makali huko motoni.
 
Kama ungekuwa na uelewa mpana wa kusoma between the lines, ni kama nakuambia achana na cheap politics. Kuleta mada ndefu hivyo kisha kututajia Mdude kama sehemu ya kupimia siasa za rais, nazo ni kichekesho kingine.

Na kwa taarifa yako Magu hakuwa mkali bali alikuwa ni mtu mwenye jazba, kuna tofauti ya ukali na jazba, ndio maana kaishia kushusha uchumi wa nchi. Magu alikuwa mtu muovu mwenye kiburi cha madaraka, na tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule dhalimu bila damu kumwagika, apumzike kwa mateso makali huko motoni.
Naam hayo ni maoni yako na nayaheshimu pia, lakini kama kauli za kina Mdude na Mbowe mwenyekiti wa chadema hazina impacts zozote kwenye siasa Kama unavyodai hapo ni sawa ngoja tuone maandamano ya nchi nzima yatafanyika kweli ama ni porojo zao za kijinga Kama unavyosema kiasi kwamba hazistahili hata kujadiliwa humu sababu kumbe kauli za mwenyekiti nazo ni za ovyo tu hazina mashiko kujadiliwa.
Tujipe muda tuone.

Okay, huyu mmoja alikuwa na Jazba akasweka watu ndani na kwa kubambikia watu kesi na huyu mwingine naye kaja kawatoa na sasa wanataka kumnyoa na kuandamana kwa lazima hadi tupate katiba mpya (ila kuandamana kwa lazima walishindwa wakati wa yule mwenye Jazba, wanaweza sasahivi wakati wa mtu mpole zao la yule yule muovu!!) Okay ngoja tuone muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Kwa taarifa yako hata kama hao cdm wangelala chini rais apite juu ya migongo yao, bado huyo Sabaya angetoka tu. List ya waovu waliofaidika na uovu wa Magu ni pamoja na huyu mama. Hivyo hakuna namna mama angeweza kuchukua hatua za ukweli dhidi ya mtu muovu, wakati yeye binafsi ni mfaidika wa huo uovu huo aliofadika nao Sabaya. Kama alikuwa anacheza maigizo kutuonyesha kuwa anapambana na uovu, mshauri tu aache, bali tunawaka katiba mpya.Na kama atachukua hatua zozote kutokana na maneno ya Mdude, basi atakuwa ni rais mwenye uwezo duni kweli kweli.
We umeongea kitu nachowaza na mimi. Yani kuna watu wanaamini kabisa sabaya atavaa jezi ya machungwa. Aha.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Chadema ni genge la wahuni rais SS akiwaachia watamsumbua sana ndio maana jpm aliwapiga pini hawana malengo mazuri zaidi kutaka dola kwa fujo
 
Nimesema hivi mkulu akitaka jambo lake hata wewe hapo unaweza pata kesi ya uhujumu uchumi muda wowote ule unalijua hilo mkuu?
Kuna watu wangapi walio kuwa na kesi Kama hizo za uhujumu uchumi mbona wamewchiwa huru mfano papaa Musofe?
Kesi za mbowe na wenzake zilikuwa halali au za kubambikwa??

Kama hao walibambikiwa kesi kwa maslahi ya mtu fulani kisiasa kuua upinzani sasa kinashindikana nini kwa huyo Sabaya nae kutolewa kafara kwaajili ya kuvuna uungwaji mkono kisiasa?

Au kwasasa tunakubaliana kuwa mahakama zinatenda haki kwasababu anaye shitakiwa ni Sabaya?

Kwa kauli ya Mbowe jana akija kukamatwa kwa kosa la uchochezi kuhamasisha maandamano yasiyo na kibali je tutafurahia kuwa mahakama inatenda haki au atakuwa anabambikwa kesi?
Ndio akishtakiwa sabaya na akiachiliwa mdude,mbowe ndio mahakama zinatenda haki hata wakitoa lugha za uchochezi
 
Hapa unamaanisha serikali huingilia maamuzi ya mahakama, nakubaliana nawe, lakini jambo hili linatakiwa kupigwa vita na kila mpenda nchi.

Kwa kauli zenu mnaonesha dhahiri mnavyoingiza siasa kwenye kesi iliyoko mahakamani kwa ajili ya uamuzi, sijaona uhusiano wa kauli ya Mdude na suala la Sabaya lililoko mahakamani, bado nioneshe vizuri.

Mwisho kabisa, kesi ya Sabaya imeshaonesha muelekeo mbaya pale wanapokuwepo "vibaraka" wa kumshangilia nje ya jengo la mahakama kwa lengo la kumfanya aonekane "shujaa" wenu, hapa usisingizie kauli aliyoitoa Mdude jana.
Na wew unashindwa nini kushangilia nje ya mahakama Kama hao unaowwita vibaraka
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Jiandae wewe umpokee ukalale nae
 
Screenshot_20210702-125102_millardayo.jpg

mwanzo mzuri sabaya anatoka hakuna shahidi atakae kubali ujinga wa kwenda kujidharirisha kwa kesi ya kubumba

Shahidi kutotokea mahakaman mara moja hata mara 5 ni kawaida sana
 
Sabaya akitoka kudadake wachaga watammaliza wenyewe, mbuzi yule kaumiza sana watu, watu wameshajua kuwachekea hawa ngombe kama sabaya ni kujipiga kitanzi mwenyewe, watu wana ushahidi aliyoyafanya, sometimes haki na heshima inakuja mtu akigundua sina nguvu zaidi ya wengine na wote ni sawa
 
Kama awamu hii imeamua kuachana na kesi za kubumba basi iachane na kesi hii ya sabaya maana ni ya kubumba.
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Hawa vijana ndo Mana tuliachaga kuwa nao kikundi kimoja cha siasa,Siipendi CCM kindaki ndani ila Chadema ni genge la wahuni tu.
Wanamatusi na ushabiki wa kipuuzi sana.Ndo mana now days wanaitwa Nyumbu.

Huyo mama hatumkubali na hao Chadema ni Wana Sacco's ya kisiasa tu.


NCHI HII ITAKOMBOLEWA NA WANANCHI WA KAWAIDA NA SI WAHUNI WA SIASA(Chadema,ccm,act,CUF n.k)
 
Back
Top Bottom