Kwa kauli za Mbowe na Mdude ni wazi Ole Sabaya ataachiwa huru

Kwa kauli za Mbowe na Mdude ni wazi Ole Sabaya ataachiwa huru

Sabaya akitoka kudadake wachaga watammaliza wenyewe, mbuzi yule kaumiza sana watu, watu wameshajua kuwachekea hawa ngombe kama sabaya ni kujipiga kitanzi mwenyewe, watu wana ushahidi aliyoyafanya, sometimes haki na heshima inakuja mtu akigundua sina nguvu zaidi ya wengine na wote ni sawa
Eti sabaya kalawiti wanawake 40,kaenda kupora vi laki sijui vi elfu ngap,Afu machizi kama nyinyi mmekaa mnasubiri mpeleke ushahidi.
Yani kesi imekaa kihuni huni tu,Mabwana wakubwa nyinyi wachaga ni washamba sana now days
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Mama alilikoroga mwenyewe. Wana CCM tulimtahadharisha kuwa hao jamaa hawaaminiki. Yeye akawakumbatia. Wacha sisi tuendelee kuangalia tu. Ila tutabaki tunaitetea CCM.
 
Mbona kama hii kesi ya Ole Sabaya ina usanii usanii sana?
 
SSH akutane na Upinzani....Mbowe awe na busara amheshimu Mama
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Mama alijua anaonewa sababu hakuwa mtendwa saiv yeye ndio anatendwa tena mchana kweupe bila uwoga.
Pole mama ulitaka kubeba gunia la misumari acha ikuchome taratibu mpaka akili ikukae sawa.
 
Hawa wanaohatarisha usalama wa nchi kwa nini wasipigwe ndani ,Mbona Ethiopia wameweza? Hata Abiy alipoingia aliwaachia lakini nyodo zilipoanza wakapigwa chuma tuu na maisha yanasonga.

Wazungu wanachotaka ni maslahi yao ya kiuchumi yalindwe,Maza weka mazingira mazuri ya biashara tuu ila Hawa wanasiasa uchwara piga Pini tuu kwani Museveni anawafanyaje? Uchumi ulishuka?
 
Hawa wanaohatarisha usalama wa nchi kwa nini wasipigwe ndani ,Mbona Ethiopia wameweza? Hata Abiy alipoingia aliwaachia lakini nyodo zilipoanza wakapigwa chuma tuu na maisha yanasonga.

Wazungu wanachotaka ni maslahi yao ya kiuchumi yalindwe,Maza weka mazingira mazuri ya biashara tuu ila Hawa wanasiasa uchwara piga Pini tuu kwani Museveni anawafanyaje? Uchumi ulishuka?
Tatizo la mama kila akipanda jukwani ana kauli yake moja
"mimi ni mama"
kumbe hawa punguani hawaendi hivo.
 
Eti sabaya kalawiti wanawake 40,kaenda kupora vi laki sijui vi elfu ngap,Afu machizi kama nyinyi mmekaa mnasubiri mpeleke ushahidi.
Yani kesi imekaa kihuni huni tu,Mabwana wakubwa nyinyi wachaga ni washamba sana now days
Kwenye hii kesi Kuna mambo ya ajabu sana mkuu!
 
[emoji1787][emoji1787] Sasa mkuu utamfanya nini unadhani mbona yule Makondakta wa daladala anadunda mtaani wakati alipigwaga ban hadi na Pompoe?
Makondakta hajawahi kukata watu masikio, Kula wake/mademu za watu Kwa nguvu, kupora hela Kwa nguvu n.k
 
Nimegundua siku hizi kuna watu hawajui hata mgawanyo huru kati ya mahakama, dola na bunge alafu wanakua wachambuzi wa siasa. Kama huyu jamaa mwenye uzi huu anataka kutuambia Raisi au Dola inaweza kuingilia uhuru wa mahakama alafu iwe poa tu. Ivyo kumbe tukiunganisha na matukio ya watu kubambikiziwa kesi utaona nchi hii mahakama haiko huru mbele ya dola yaani mfano Raisi anaweza kuamua nani ashinde kesi au afungwe. Shame on you
 
Nimegundua siku hizi kuna watu hawajui hata mgawanyo huru kati ya mahakama, dola na bunge alafu wanakua wachambuzi wa siasa. Kama huyu jamaa mwenye uzi huu anataka kutuambia Raisi au Dola inaweza kuingilia uhuru wa mahakama alafu iwe poa tu. Ivyo kumbe tukiunganisha na matukio ya watu kubambikiziwa kesi utaona nchi hii mahakama haiko huru mbele ya dola yaani mfano Raisi anaweza kuamua nani ashinde kesi au afungwe. Shame on you
Sasa mkuu, hebu kuwa mkweli we unaamini mahakama za Tanzania zipo huru na zinatenda haki?
Unaamini kuwa watu hawabambikwi kesi?
 
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.

Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.

Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?

Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?

Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?

Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?

Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?

Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.

Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.

Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Sasa mkuu hata hilo la ujambazi wa kutumia silaha ambalo cctv camera zipo zinalionyesha nalo ni la kisiasa?!!acheni mambo ya kipuuzi!!ataachiwa tu endapo ushahidi utakuwa haujitoshetezi lakini sio kwa kuwa wengine wamefutiwa kesi na yeye ndio aachiwe!!
 
Sasa mkuu hata hilo la ujambazi wa kutumia silaha ambalo cctv camera zipo zinalionyesha nalo ni la kisiasa?!!acheni mambo ya kipuuzi!!ataachiwa tu endapo ushahidi utakuwa haujitoshetezi lakini sio kwa kuwa wengine wamefutiwa kesi na yeye ndio aachiwe!!
Tusubiri muda utaongea?
 
Back
Top Bottom