fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Eti sabaya kalawiti wanawake 40,kaenda kupora vi laki sijui vi elfu ngap,Afu machizi kama nyinyi mmekaa mnasubiri mpeleke ushahidi.Sabaya akitoka kudadake wachaga watammaliza wenyewe, mbuzi yule kaumiza sana watu, watu wameshajua kuwachekea hawa ngombe kama sabaya ni kujipiga kitanzi mwenyewe, watu wana ushahidi aliyoyafanya, sometimes haki na heshima inakuja mtu akigundua sina nguvu zaidi ya wengine na wote ni sawa
Yani kesi imekaa kihuni huni tu,Mabwana wakubwa nyinyi wachaga ni washamba sana now days