Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi naamini hao jamaa waliachiwa kwasababu hapakuwa na ushahidi wa kuwatia hatiani wahukumiwe vifungo gerezani, lakini kwa Sabaya na ushahidi uliotapakaa kila mahali dhidi yake, sioni ni kwa namna gani atapona, tuiache mahakama ifanye kazi yake na mashahidi wa kesi yake wasibughudhiwe kwa namna yoyote.Sawa mkuu, ni kwanini mbowe na wenzake wameachiwa ikiwa mahakama hizitumiki kisiasa, vipi kesi ya huyo mdude? Umesahau kesi za kina Abdul Nondo na Eric kabendela? Unakumbuka kesi ya Sugu?
Kwahiyo JPM hakuwabambikia watu kesi ila tu zilikuwa porojo za kisiasa tu?.
Ni kweli mkuu na mimi wala sipingi katiba mpya na lakini pia sikubaliani na matamshi ya hivi kuyapa uhalali wa kuwa ndio njia ya kudai katiba.Wanachopigania Chadema & co ni kuondoa haya uliyaorodhesha hapa chini 👇 👇 yasitokane na utashi wa rais aliyeko madarakani bali yatokane na mwongozo wa katiba.
Wakati wa kudai katiba yao, Wakenya walikuwa na mashinikizo na kauli kali na mbaya dhidi ya serekali yao zaidi hata ya hizi za huku Tanzania. Matokeo yake? Wakenya wamepata moja ya katiba bora kabisa barani Africa ambayo mathalani leo hii nimeona kwenye newsstreams nyingi rais wao yupo mahakamani akiwa amekata rufaa dhidi ya hukumu aliyopewa na mahakama.
Sawa mkuu, ila nadhani kuwa wewe ni wakwanza kuamini kuwa hawa hawakubambikiwa kesi.Binafsi naamini hao jamaa waliachiwa kwasababu hapakuwa na ushahidi wa kuwatia hatiani wahukumiwe vifungo gerezani, lakini kwa Sabaya na ushahidi uliotapakaa kila mahali dhidi yake, sioni ni kwa namna gani atapona, tuiache mahakama ifanye kazi yake na mashahidi wa kesi yake wasibughudhiwe kwa namna yoyote.
Mahakama ni kama bendera na serkali ni upepoHapa unamaanisha serikali huingilia maamuzi ya mahakama, nakubaliana nawe, lakini jambo hili linatakiwa kupigwa vita na kila mpenda nchi.
Kwa kauli zenu mnaonesha dhahiri mnavyoingiza siasa kwenye kesi iliyoko mahakamani kwa ajili ya uamuzi, sijaona uhusiano wa kauli ya Mdude na suala la Sabaya lililoko mahakamani, bado nioneshe vizuri.
Mwisho kabisa, kesi ya Sabaya imeshaonesha muelekeo mbaya pale wanapokuwepo "vibaraka" wa kumshangilia nje ya jengo la mahakama kwa lengo la kumfanya aonekane "shujaa" wenu, hapa usisingizie kauli aliyoitoa Mdude jana.
Kwahiyo ni haki yao kutoa kauli za hivyo?Ni kawaida sana mtu aliyeumizwa, kuonewa au kupigwa kutoa kauli zisiofaa kwakuwa Kisaikolojia wanakuwa bado hawapo sawa kutokana na maumivu waliyoyapitia.
Wote tunajua kadhia waliyopitia viongozi wa Chadema kwa kipindi chote cha miaka 6. Hivyo sishangai kusikia hizi kauli zao.
Kuna ulazima wa Rais akutane nao kama alivyoahidi kisha awatulize wafanye Siasa kwa amani.
Rais asiseme tena yeye na mtangulizi wake kuwa wao ni kitu kimoja.
Nafurahi sana kukuona hapa mkuu salama lakini.
Mimi nimetoa maoni yangu kutokana na upepo wa kisiasa unaovuma kwa sasa ila hayo unayo yasema wewe ni matarajio yako ambayo ulitegemea kuyaona maybe yanaweza kuja ama yasije kabisa ila viashiria vilivyopo kwa sasa vinaonyesha hali iko hivo na ndicho hasa mimi nilicho kuzungumza.
Au labda unambie kuwa kwa sasa mahakama zinatenda haki haziwezi tena kutumiwa na mkulu kwa manufaa ya kisiasa Kama alivyokuwa hapo awali mana tunaamini watu walibambikiwa kesi kisiasa tu?
Nadhani umeuona vizuri msingi wa mada yangu mkuu, jiulize kabla ya kauli za wiki hii ni vitu gani alifanya mama vilivyopelekea kusifiwa sana kila kona na leo kwanini kageukwa?
![]()
mwanzo mzuri sabaya anatoka hakuna shahidi atakae kubali ujinga wa kwenda kujidharirisha kwa kesi ya kubumba
Ndio ni haki yao kuongea hivyo.Kwahiyo ni haki yao kutoa kauli za hivyo?
Hizo kauli zinazokuumiza leo zimekuwa zikitolewa hadharani na yule rais muovu pamoja na genge lake, lakini wakati huo ulichekelea ukisema nchi inanyooshwa. Leo wengine wanaonyesha hisia zao kwa mateso waliyopatiwa kwa uonevu, unaona wanakosea!Kwahiyo ni haki yao kutoa kauli za hivyo?
Mwachieni tukutane kitaa akiwa sio DC atajua kuwa haajui mamaeeeeNi suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.
Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.
Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?
Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?
Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?
Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?
Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?
Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.
Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.
Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Nadhani mkuu wewe ndie ambaye hukunielewa tangu kwenye mada hapo juu na ndio mana nikarudia tena maelezo hayo.Mama alisifiwa kwa kutenda haki baadhi ya sehemu, lakini iliwekwa wazi kuwa hatutaki utawala wa hisani bali tunataka utawala wa sheria, na huo ni ndani ya katiba mpya. Ni kipi ulikuwa huelewi hapo?
Huu ni uongo mkubwa umeandika. Sijasikiliza hotuba ya mbowe hivo siwezi kusema chochote, lakini kuhusu hoja yako kwamba Mbowe alikuwa ametulia wakati wa JPM huu uongo nenda ukawadanganye vijiwe vya kahawa.Kama mama alikuwa ana mpango wa kukutana na wapinzani itakuwa ngumu Sana Kwa kauli ya Jana aliyoitoa mbowe!!!
Kwa kifupi mbowe amekosea Sana kupiga mikwala ya kishamba ya kudai katiba mpya Kwa kuingia barabaran.... kipindi cha mwendazake mbowe alitulia Tu
Kwahiyo wakisha mpa vitisho rais vya kumnyoa ndio ataogopa kisha atawapa katiba mpya?Ndio ni haki yao kuongea hivyo.
Kumbuka hizi kauli zao zimesababishwa na kauli alizoongea Rais Juzi kuhusiana na Katiba mpya na shughuli za Siasa.
Kumbuka hawa Chadema ni waathirika wa utawala wa Magufuli. Na kauli za Rais bado zinaendeleza maumivu yao badala ya faraja kwao, Ndio maana unawaona wamepaniki na kuongea hivyo.
Kule Bungeni 99% ni CCM watupu hivyo hiki ni kipindi kizuri sana kwa wabunge wa CCM kupitisha katiba kule Bungeni, maana wapo wenyewe tupu.
Ndugu usitishwe na hivi vitisho..sisi huku uswahilini huwa tunamisemo yetu..DEBE TUPU HALIACHI KUTIKA.. Pia husema...KELELE ZA MLANGO HAZIMKOSESHI USINGIZI MWENYE NYUMBA.....Kwani uliona au kusikia wapi ..KELELE ZA CHURA ZINAMZUIA NG'OMBE KUNYWA MAJI? Relax!Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.
Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.
Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?
Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?
Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?
Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?
Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?
Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.
Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.
Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.
Watu wa pwani wanasema UKICHEZA NA MBWA ATAKUFUATA HADI MSIKITINI mama anecheza nao acha wamfuate hadi msikitiniNi suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.
Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.
Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale nyumbani kwake Hai hali ilikuwaje kwake?
Matusi mangapi aliyoyaoga Sabaya ikiwa tu Rais wa nchi haheshimiwi hata kidogo?
Ukiangalia kauli za Mdude CHADEMA eti alimnyoa mwendazake na sasa atamnyoa mama akileta jeuri hapo utajiuliza alimyoaje mwendazake na huyu mama nae atanyolewa vipi?
Yeye ndio alimtoa madarakani kwa kumnyoa hadi kufa sivyo?
Ni kipi hasa mama anachotakiwa kumtii mdude/mnyoaji kwa heshima zote ili asinyolewe?
Ni wazi kuongoza watu wa namna hii inahitaji kiwango cha juu sana chauvumilivu.
Ukiunganisha matukioa ya kesi ya Sabaya.
Kuachiwa Mdude.
Kutumbua baadhi ya watumishi wa enzi za JPM.
Kufutwa kwa kesi ya Mbowe na wenzake utagundua kuwa ulikiwa mkakati maalumu wa mama kutaka kuwaridhisha wapinzani kwa kuwapa matumaini ya utawala mpya lakini kwa hiki wanachokifanya kwasasa hata ile kafara ya Sabaya iliyotaka kutolewa Kama sadaka ya kuwatuliza muda si mwingi itaghairishwa.
Kesi ya huyu mtu imekaa kisiasa sana na nguvu kuwa sana inatumika dhidi yake kutoka fulani wenye hasira na visasi vikubws ndani ya mioyo yao kuliko uhalisia wa aliyo yatenda.
Nadhani sasa mama Kesha wajua vizuri watu aliotaka kuwafurahisha ni watu wa namna gani.
Tujiandae Sabaya kuwa huru hivi karibuni kafara yake imekataliwa.