Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
😂😂😂😂😂😂Acha kije, tumpime mama anaweza vp kukabiliana na majanga. Maana kama jiwe angekuwepo angewaambia wana darsalam na wa huko kusini kwqmba kwenye ilani ya ccm hawakusema kwamba wangeleta kimbunga😁😁😁😁
Au naswma uongo ndugu zangu?
Zinyweshe k vant zilale[emoji55]
Hhaahaa polepole alisema KIKAE KWA KUTURIA.Hakijauliza taarifa za ndani kwa kina kwa wenzake wakina covid?
Hahahahaa dah.HiZo kuna wataalam wake wa kuzibeba maana zinaweza geuka bomu aisee,
Halafu mtaalam akizifikisha ujira wake anapewa moja au mbili ya kuzimua.
Jamani nimecheka had kupaliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani bado mna hasira hahahahaIyo dhuluba ingepiga kule ifukue kaburi la mungu wa misukule
Jihadhari na Jobo bibie.. si unajua bado nna ndoto za kukuona?Ni kweli mkuu...mbwa ananusa sijui umbali wa kms ngap.....its true jombaa....
Huku mvua ishaanzaWakuu,
Naona mbwa wako very uneasy wanabweka sana.
Kwa hulka yao ya kuhisi hatari ikiwa mbali, nadhani Jobo itapita , ni swala la kumuomba Mungu haya yasitokee.
Yaani niko bed nnamalizia wine hapa taratiibu nilale...i wish unifundishe fx mzee baba...ila ss sina muda sana wa kufatilia hayo masoko yenu....sijui unanishaurije msukuma niliyebak chapa chato🤣Jihadhari na Jobo bibie.. si unajua bado nna ndoto za kukuona?
Jihadhari na Jobo bibie.. si unajua bado nna ndoto za kukuona?
Usijali tutafanya zoom meeting.. utajifunza taratibu.. trading fx is an artYaani niko bed nnamalizia wine hapa taratiibu nilale...i wish unifundishe fx mzee baba...ila ss sina muda sana wa kufatilia hayo masoko yenu....sijui unanishaurije msukuma niliyebak chapa chato🤣
Jamaa kaji underrate kinoma.. 😁😁
Lini una muda.....nasomaga sielew..sijui kichwa maji? Kuna kile kitoto cha SA Uwiii kinanishawishi balaa..Usijali tutafanya zoom meeting.. utajifunza taratibu.. trading fx is an art
Unaanza taratibu.. ukishapata basics itakusaidia.. ntakushtua week days 11:30 mpaka 12:30 ... Ni ulimwengu mzuri sanaLini una muda.....nasomaga sielew..sijui kichwa maji? Kuna kile kitoto cha SA Uwiii kinanishawishi balaa..
Niandae dollar ngap...naacha wine aisee...kama kunasomeka niingie mazima...muda huo niko free mon ntakuja pmUnaanza taratibu.. ukishapata basics itakusaidia.. ntakushtua week days 11:30 mpaka 12:30 ... Ni ulimwengu mzuri sana