SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
-
- #121
Ni meshahama humu kitambooSweetyCandy kipenz,,,dont take things personal,,jifunze kudharau mambo,,kama kuna mtu anakuchukulia poa,,atatokea mwengine atakufanya kipaumbele chake
Kuna sweet guys around here labda bado tu huja wajua,,so usipoteze mda wako na nguvu yako kwa mtu ambaye hana mda na wewe,,wekeza hisia zako kwa mtu anayestahili upendo wako
Be patient mda wako utakuja
Baadhi yao Warembo sana mkuuHuyu mtu nimemjua ila mbona pisi za jamiiforum mbovu mno why
Anajua kuchomoa betri[emoji1787][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzee mwenzangu Mpaji Mungu nilikuambia toka jana, unaona sasa uneanzishiwa na uzi???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi limpaji mungu limefunguliwa uzi, limefuraaaaahi... Bichwa kubwa kama nyumba hapo, leo Ataenda kuandika kwenye diary huyu mtambo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cc Mpaji Mungu
Na Leo nimeelewa mapema sana πNdo umtag gari la mshahara sheikh
Sema mapema kama upo around kabla sijaondoka......mi nipo Kwa hapa nje nachungulia kwenye hzo shelf ππmchawi kidevu tuNa Leo nimeelewa mapema sana π
π€£π€£Sema mapema kama upo around kabla sijaondoka......mi nipo Kwa hapa nje nachungulia kwenye hzo shelf ππmchawi kidevu tu
DaaahNi meshahama humu kitamboo
Sasa hilo gari la mshahara halitaki hata Kondakta βΊοΈβΊοΈβΊοΈNa Leo nimeelewa mapema sana π
Nimekaa hapa msimbazi nasubir notification πOi Mzee mwenzangu nipo hapa around Ilala mtaa wa Arusha, nakunywa Alkasusu. Vipi gari la mshahara leo unalipitia???
View attachment 3051023
Duh yaliyomo yatakuwemo??? Au unachoma mahindi tu ??Nimekaa hapa msimbazi nasubir notification π
Muda ni rafiki mwema tuache uamueDuh yaliyomo yatakuwemo??? Au unachoma mahindi tu ??
Regards Mkuu, Sasa ukomae aiseee, ili nikupe cheo cha Field Marshall kabisaMuda ni rafiki mwema tuache uamue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kitu nimejifunza
Mtu wangu wa karibu humu akiambiwa neno baya sitakiwi kureact chochote iwe kucheka au kulike
Unazuga kama hujaona hvKuna kitu nimejifunza
Mtu wangu wa karibu humu akiambiwa neno baya sitakiwi kureact chochote iwe kucheka au kulike