To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Watu wamepoteza million kwa ajili ya kusafiri kuangalia mpira....nikajisemea,dooh,kumbe Kuna watu Wana pesa,kupoteza million kwa ajili ya mpira wa sikumoja tu? 🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamepoteza million kwa ajili ya kusafiri kuangalia mpira....nikajisemea,dooh,kumbe Kuna watu Wana pesa,kupoteza million kwa ajili ya mpira wa sikumoja tu? 🙌
Bichwa fuvu tarehe 8 kulikua na uvunjifu upi wa usalama pale uwanjani?vilivunjwa viti?yalivunjwa mageti?kuna watu walijeruhiwa?Kwani Hujasoma taarifa ya bodi ya ligi kupokea taarifa ya wanausalama? Mbona mleta mada kakuwekea hapo?
Soma Hapa nilipozungushia wino wa njano acha kujifanya huna akili,usalama hauanzii siku ya mechi unaanza kabla,Unajua Ofisa usalama amepeleka taarifa gani kwa bodi ya ligi? Ngalikihinja Mbaga JrBichwa fuvu tarehe 8 kulikua na uvunjifu upi wa usalama pale uwanjani?vilivunjwa viti?yalivunjwa mageti?kuna watu walijeruhiwa?
Mpira ni starehe piaWatu wamepoteza million kwa ajili ya kusafiri kuangalia mpira....nikajisemea,dooh,kumbe Kuna watu Wana pesa,kupoteza million kwa ajili ya mpira wa sikumoja tu? 🙌
Acha kukaza fuvu bro hyo sababu haipo kisheria wala kikanuniSoma hapo chini sababu ya mechi kuahirishwa
Waulize kamati ya bodi wenye usalama wao. Hujasoma maelezo yao?Bichwa fuvu tarehe 8 kulikua na uvunjifu upi wa usalama pale uwanjani?vilivunjwa viti?yalivunjwa mageti?kuna watu walijeruhiwa?
Hii Yanga bila GSM ingekuwa inafanana point na Kagera sugar. Matendo Yao yanahatarisha usalama. Kulikuwa na sababu gani kuzuia Simba wasiingie uwanjani?. Simba isingetumia busara Leo tungekuwa tunaongea mengine 😞Na sijui kwanini kuna watu wanatumia nguvu sana kuelewa jambo jepesi hivyo. Sababu iliyotajwa kuhairisha mechi si Simba kusema hawatacheza.
Wewe joseph1989 embu soma na hapa labda utamuelewa huyu.
Imagine Simba nayo ingeleta makomandoo wa ubaya ubwela.Hii Yanga bila GSM ingekuwa inafanana point na Kagera sugar. Matendo Yao yanahatarisha usalama. Kulikuwa na sababu gani kuzuia Simba wasiingie uwanjani?. Simba isingetumia busara Leo tungekuwa tunaongea mengine 😞
Soma 1.3 utaelewaAcha kukaza fuvu bro hyo sababu haipo kisheria wala kikanuni
We umeelewa point yangu vizuri kabisa,bravoHii Yanga bila GSM ingekuwa inafanana point na Kagera sugar. Matendo Yao yanahatarisha usalama. Kulikuwa na sababu gani kuzuia Simba wasiingie uwanjani?. Simba isingetumia busara Leo tungekuwa tunaongea mengine 😞
Imagine Simba nayo ingeleta makomandoo wa ubaya ubwela.
Wanajua mambo yao.Ndicho Bodi walichokiona. Sidhani kama mashabiki WA Simba wangekubali kuonewa. Wanajinasibu Wana timu nzuri hofu ya nini?🤷
Hii ni shortcut moja kali sana. Tajiri GSM hawezi thubutu fanya jambo lolote la kumkera Mama. Pia mama hawezi kukataa kuwa mgeni rasmi wa derby ya Kkoo kwa kuzingatia huu mwaka tuliopo.Jeuri hiyo waitoe wapi?
Nimeona baadhi ya maoni ya mashabiki wa Yanga wakiwahusia viongozi wao kuepuka mtego huo kwa kile walichokidai kuwa haitakiwi kuingiza siasa na mpira.
Lakini ni mashabiki hao hao wanaokuja uwanjani wakiwa wamevaa tisheti zenye picha ya raisi wakisema mitano tena.
Hapa walimuita wenyewe aje amuone Feitoto. Lakini leo hii wakisikia anakuja kwenye Derby hawataki wanasema siasa michezoni hairuhusiwi.
View attachment 3265215
Wana Yanga tushike lipi mbona mnatuchsnganya?
View attachment 3265214
Na wengine wanaona haitoshi wanabeba mpaka mabango.
View attachment 3265213
Halafu leo hii eti kwasababu mnaona ujio wake utaenda kufifisha msimamo wa azimio lenu ndio muanze kuona mpira unaingiliwa na siasa?
Shensiiii mtaleta timu iwe kwa kupenda au kwa kutopenda. Na hamna sehemu yeyote ambayo mtaenda kushtaki mkasikilizwa.
Huyo Simon Patrick anayewashauri kuwa muende FIFA anawaponza.
Nenda kapate boyfrwndmchezaji wa yanga aisee utaenjoy sana maana utahongwa hela na kileleni utafikishwaa haswaaaa.Jaman mpira unalipa kumbe na hata hamsemi eh😹
NImekua nikifuatilia maoni ya wadau wengi kuhusu sakata la kuahirishwa mechi kati ya Simba na Yanga mnano Tarehe 8.3.2025.
Baada ya club ya Simba kuzuiwa kufanya mazoezi waliandika kwa Umma kuwa hawataweza kucheza mchezo huo tajwa,Bodi ya Ligi walikuja na barua hii na kahirisha mechi.
Bila shaka Bodi iliahirisha mechi kutoka na taarifa ya Afisa usalama wa mchezo
Nanukuuu
“kwasababu Bodi ilipokea pia taarifa ya ofisa Usalama wa mchezo ambayo imeainisha matukio kadhaa….”
Hapa ni dhahiri Bodi iliahirisha mchezo kwa kanuni za usalama,
Hakuna mahali Yanga wala Simba watapata point za mezani wala kushinda kesi kwenye mamlaka yeyote ile.
Soma kanuni ya 34 1.3 iliyotumiwa na Bodi ya Ligi kuahirisha mchezo kama walivyoandika kwa Barua yao.
Case closed
Huna hata unalo lijua, mxxxxiiiieeewHii ngoma isipoingia mkono wa siasa
Amini nakwambia simba hachomoki
The only way ya simba kuchomoka kwny huu msala ni siasa kuingilia kati which is illegal lakin ndo mfumo wa mpira wetu TZ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jeuri hiyo waitoe wapi?
Nimeona baadhi ya maoni ya mashabiki wa Yanga wakiwahusia viongozi wao kuepuka mtego huo kwa kile walichokidai kuwa haitakiwi kuingiza siasa na mpira.
Lakini ni mashabiki hao hao wanaokuja uwanjani wakiwa wamevaa tisheti zenye picha ya raisi wakisema mitano tena.
Hapa walimuita wenyewe aje amuone Feitoto. Lakini leo hii wakisikia anakuja kwenye Derby hawataki wanasema siasa michezoni hairuhusiwi.
View attachment 3265215
Wana Yanga tushike lipi mbona mnatuchsnganya?
View attachment 3265214
Na wengine wanaona haitoshi wanabeba mpaka mabango.
View attachment 3265213
Halafu leo hii eti kwasababu mnaona ujio wake utaenda kufifisha msimamo wa azimio lenu ndio muanze kuona mpira unaingiliwa na siasa?
Shensiiii mtaleta timu iwe kwa kupenda au kwa kutopenda. Na hamna sehemu yeyote ambayo mtaenda kushtaki mkasikilizwa.
Huyo Simon Patrick anayewashauri kuwa muende FIFA anawaponza.
mpira unalipa sana ila kwanza jifungue salama kale kaujauzito, halafu tutaangalia kama tutaanza training ya sportsJaman mpira unalipa kumbe na hata hamsemi eh😹
Wamejisahaulisha pia walivyoalikwa ikulu na mama, hawakusema tusichanganye siasa na michezo, lakini ghafla leo ndio wamekumbuka hiloJeuri hiyo waitoe wapi?
Nimeona baadhi ya maoni ya mashabiki wa Yanga wakiwahusia viongozi wao kuepuka mtego huo kwa kile walichokidai kuwa haitakiwi kuingiza siasa na mpira.
Lakini ni mashabiki hao hao wanaokuja uwanjani wakiwa wamevaa tisheti zenye picha ya raisi wakisema mitano tena.
Hapa walimuita wenyewe aje amuone Feitoto. Lakini leo hii wakisikia anakuja kwenye Derby hawataki wanasema siasa michezoni hairuhusiwi.
View attachment 3265215
Wana Yanga tushike lipi mbona mnatuchsnganya?
View attachment 3265214
Na wengine wanaona haitoshi wanabeba mpaka mabango.
View attachment 3265213
Halafu leo hii eti kwasababu mnaona ujio wake utaenda kufifisha msimamo wa azimio lenu ndio muanze kuona mpira unaingiliwa na siasa?
Shensiiii mtaleta timu iwe kwa kupenda au kwa kutopenda. Na hamna sehemu yeyote ambayo mtaenda kushtaki mkasikilizwa.
Huyo Simon Patrick anayewashauri kuwa muende FIFA anawaponza.