To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Pesa yote hiyo😳 au huenda kwa sababu Sina, ndio maana nashangaa🥴Mpira ni starehe pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa yote hiyo😳 au huenda kwa sababu Sina, ndio maana nashangaa🥴Mpira ni starehe pia
Bado hapo haiwezi kuipa uhalali bodi ya ligi kuhairisha mechiSoma hapo nilipozungushia wino wa njano mkuu
Niunganishe na mmoja basi nianze kung'aa😹😹Nenda kapate boyfrwndmchezaji wa yanga aisee utaenjoy sana maana utahongwa hela na kileleni utafikishwaa haswaaaa.
Sii unaona lakini mobeyo anavyo ngaaa baada ya kupata dloboloz la shemeji wetu na mamilion ya ndalama
Sawa kwaio tunaanzaje 😹mpira unalipa sana ila kwanza jifungue salama kale kaujauzito, halafu tutaangalia kama tutaanza training ya sports
Ondoa shaka ngoja nikutafutie....so vipi wape da warefu wafupi au yoyote ili mradi hela ipo?Niunganishe na mmoja basi nianze kung'aa😹😹
Amna sichagui pesa iwepo nikiomba Ata 5m inasoma Kwa account sio kuzungushana m sio roll coaster 😹😹Ondoa shaka ngoja nikutafutie....so vipi wape da warefu wafupi au yoyote ili mradi hela ipo?
NTAKUSTUASawa kwaio tunaanzaje 😹
Halafu,mechi ilikuwa kesho yake,kilichotakiwa ni kuimarisha usalama ili siku ya mechi kuwe na usalama. Taarifa za kiintelijensia zinaweza kuahirisha u chaguzi mkuu?Umeandika ujinga, Ishu ya Usalama wanaotoa Ripoti ni Jeshi la Polisi na wenye mamlaka za Usalama. BODI YA LIGI wanajuaje masuala ya USALAMA bila taarifa ya Jeshi la Polisi na hao ndio wenye dhamana ya Usalama? Pia unajuaje usalama wakati mechi ni Jioni na Jeshi la Polisi wamepeleka ulinzi pale?
Umeandika Upumbavu.
Usijali ila sasa nawe usiwe mchoyo wa mbususu mammy maana raha ya mche,aji ni kutomberzAmna sichagui pesa iwepo nikiomba Ata 5m inasoma Kwa account sio kuzungushana m sio roll coaster 😹😹
Sawa usiniangushe kiongoziNTAKUSTUA
Lazima niwe mchoyo kwakweli nisije toa baadae tunamaliza akimbie sitanunua Ata kiwanja mbagala Kwa hali iyo 😹😹Usijali ila sasa nawe usiwe mchoyo wa mbususu mammy maana raha ya mche,aji ni kutomberz
Wametumia kifungu 34 (1) 1.3 kinachosema, Sababu ya dharura au/na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF.NImekua nikifuatilia maoni ya wadau wengi kuhusu sakata la kuahirishwa mechi kati ya Simba na Yanga mnano Tarehe 8.3.2025.
Baada ya club ya Simba kuzuiwa kufanya mazoezi waliandika kwa Umma kuwa hawataweza kucheza mchezo huo tajwa,Bodi ya Ligi walikuja na barua hii na kahirisha mechi.
Bila shaka Bodi iliahirisha mechi kutoka na taarifa ya Afisa usalama wa mchezo
Nanukuuu
“Kwasababu Bodi ilipokea pia taarifa ya ofisa Usalama wa mchezo ambayo imeainisha matukio kadhaa….”
Hapa ni dhahiri Bodi iliahirisha mchezo kwa kanuni za usalama,
Hakuna mahali Yanga wala Simba watapata point za mezani wala kushinda kesi kwenye mamlaka yeyote ile.
Soma kanuni ya 34 1.3 iliyotumiwa na Bodi ya Ligi kuahirisha mchezo kama walivyoandika kwa Barua yao.
Case closed.
Naungana na wewe.Hii ngoma isipoingia mkono wa siasa
Amini nakwambia simba hachomoki
The only way ya simba kuchomoka kwny huu msala ni siasa kuingilia kati which is illegal lakin ndo mfumo wa mpira wetu TZ
Na starehe ni gharamaMpira ni starehe pia
Hamna sababu ya kisheria labda siasa.NImekua nikifuatilia maoni ya wadau wengi kuhusu sakata la kuahirishwa mechi kati ya Simba na Yanga mnano Tarehe 8.3.2025.
Baada ya club ya Simba kuzuiwa kufanya mazoezi waliandika kwa Umma kuwa hawataweza kucheza mchezo huo tajwa,Bodi ya Ligi walikuja na barua hii na kahirisha mechi.
Bila shaka Bodi iliahirisha mechi kutoka na taarifa ya Afisa usalama wa mchezo
Nanukuuu
“Kwasababu Bodi ilipokea pia taarifa ya ofisa Usalama wa mchezo ambayo imeainisha matukio kadhaa….”
Hapa ni dhahiri Bodi iliahirisha mchezo kwa kanuni za usalama,
Hakuna mahali Yanga wala Simba watapata point za mezani wala kushinda kesi kwenye mamlaka yeyote ile.
Soma kanuni ya 34 1.3 iliyotumiwa na Bodi ya Ligi kuahirisha mchezo kama walivyoandika kwa Barua yao.
Case closed.
Wewe ndiye umeandika ujinga,hujui kama jukumu la usalama wa mechi ni la jeshi la polisi na miongoni mwa maofisa wa mechi yupo Afisa Usalama wa mechi (S.O) ambaye ni Afisa wa Polisi ASP Hashim Abdallah ambaye ripoti yake ya kiusalama ndiyo imezingatiwa na bodi katika kufikia uamuzi wa kuahirisha mechi?Umeandika ujinga, Ishu ya Usalama wanaotoa Ripoti ni Jeshi la Polisi na wenye mamlaka za Usalama. BODI YA LIGI wanajuaje masuala ya USALAMA bila taarifa ya Jeshi la Polisi na hao ndio wenye dhamana ya Usalama? Pia unajuaje usalama wakati mechi ni Jioni na Jeshi la Polisi wamepeleka ulinzi pale?
Umeandika Upumbavu.
Sasa ukiwa mchoyo hawezi kukupa hiyo helaLazima niwe mchoyo kwakweli nisije toa baadae tunamaliza akimbie sitanunua Ata kiwanja mbagala Kwa hali iyo 😹😹
We mbona Kama mchawi bhana malipo kwanza huduma inafata 😹😹Sasa ukiwa mchoyo hawezi kukupa hiyo hela
Wekundu wa msimbazi wewe, wala sio nyuma mwiko.Viongozi wa Simba wana akili kubwa sana.
Ila huku kwetu nyuma mwiko tunathibitisha kuwa, bado hadi sasa wenye akili ni walewale watu wawili.
Na jana tumepeleka Basi la Yanga hadi uwanja wa mazoezi wa Simba. Na kuanza kuupromoti uwanja wa mazoezi wa 'Mo Simba Arena' bila kulipwa chochote.