Kwa kipengele hiki Yanga hata waende FIFA hawatapewa point tatu

Kwa kipengele hiki Yanga hata waende FIFA hawatapewa point tatu

1) je mabaunsa wa Yanga wanatambulika kisheria kama nani? Ni kitambulisho kipi kinachowaonesha kuwa ni mabaunsa wa Yanga na sio walinzi wa uwanja? Wana mamlaka gani kisheria na kikanuni kiasi kwamba wawe na uwezo na nguvu wa kusitisha jambo la kisheria?

2) Sheria inasema kama kuna sababu ya msingi au dharura je kwanini bodi imeshindwa kuziweka sababu hizo za msingi ama dharura ni zipi hizo?

Dodoma jiji walipata ajali ya bus na kupelekea baadhi ya wachezaji na viongozi kupata majeraha na kupelekwa hospitali hivyo ikasababisha mechi kuhairishwa.

Dodoma jiji walikidhi taratibu za kanuni za kuhairisha mechi sababu
  • sababu ya msingi ni majeraha yaliyotokana na ajali
  • dharura ilikuwa ni ile ajali.

Sasa twende kwa upande wa Simba je kipi kulikuwa ni sababu ya msingi au dharura ya kuifanya ile mechi ihairishwe?
1.Umesoma ripoti yote ya bodi?Bodi wamesema kuwa kamati ilibaini kuwa walinzi ambao baadhi yao walifahamika kwa sura kuwa ni walinzi wa Klabu ya Yanga,hii tu inatosha kujua Yanga walihusika na vurugu hizo, Jiulizeni Simba walipopewa adhabu na CAF ya kucheza bila mashabiki,ni kitambulisho kipi kinaonesha wale ni mashabiki wa Simba hadi wakaadhibiwa Simba kwa vurugu za mashabiki?
2.Ndio maana nimeuliza umesoma ripoti yote ya Afisa Usalama wa mechi? Sababu za msingi sio kwa mujibu wako bali kanuni zinaeleza wao wakiona sababu za msingi,Ndio maana umeambiwa uchunguzi unaendelea ndio maana mechi imeahirishwa(Kwa kanuni no 34:1(1.3) )ili kutoa hukumu ya haki.
Ni nani aliyekueleza kuwa sababu za msingi ni ajali tu kama ya Dodoma Jiji? Unaweza kuweka ushahidi kuwa sababu za msingi ni ajali tu kwa mujibu wa kanuni?Nenda kasome kanuni ya 12:2 na 12:6 zote zinaipa mamlaka kamati kukutana wakati wowote kuchunguza na kutolea maamuzi jambo lolote la dharura( hii dharura si kwa tafsiri yako). Halafu Yanga wanadai points 3 za mezani,unajua utaratibu wa kupata hizo points 3 za mezani?Mmeenda uwanjani hakuna refa wala wasimamizi wa mchezo waliopelekwa na bodi husika mkategemea kupewa points 3 na hiyo hiyo bodi,hii akili mnatoa wapi?
 
Ukiwa na timu mbovu na kupenda ku bebwa utavunja kanuni kila siku.
Ukweli nikua Simba ni mbovu na wamekimbia kipigo, Kutegemea wazee wafupi bila kuwa na Timu ni upuuzi.
Yanga ndio wanavunja kanuni kila siku kwa Imani ya kishirikina wakitegemea kulipa faini ndogo ambazo huzilipa,kila mechi wanapitia geti lilokatazwa,wanashangaza sana,yaani hata mechi wanayojua haipo wamepitia mlango wa nyuma.Sasa wamekutana na Ubaya Ubwela na mechi watacheza na Simba watafanya "mazoezi" kama kawaida
 
1.Umesoma ripoti yote ya bodi?Bodi wamesema kuwa kamati ilibaini kuwa walinzi ambao baadhi yao walifahamika kwa sura kuwa ni walinzi wa Klabu ya Yanga,hii tu inatosha kujua Yanga walihusika na vurugu hizo, Jiulizeni Simba walipopewa adhabu na CAF ya kucheza bila mashabiki,ni kitambulisho kipi kinaonesha wale ni mashabiki wa Simba hadi wakaadhibiwa Simba kwa vurugu za mashabiki?
2.Ndio maana nimeuliza umesoma ripoti yote ya Afisa Usalama wa mechi? Sababu za msingi sio kwa mujibu wako bali kanuni zinaeleza wao wakiona sababu za msingi,Ndio maana umeambiwa uchunguzi unaendelea ndio maana mechi imeahirishwa(Kwa kanuni no 34:1(1.3) )ili kutoa hukumu ya haki.
Ni nani aliyekueleza kuwa sababu za msingi ni ajali tu kama ya Dodoma Jiji? Unaweza kuweka ushahidi kuwa sababu za msingi ni ajali tu kwa mujibu wa kanuni?Nenda kasome kanuni ya 12:2 na 12:6 zote zinaipa mamlaka kamati kukutana wakati wowote kuchunguza na kutolea maamuzi jambo lolote la dharura( hii dharura si kwa tafsiri yako). Halafu Yanga wanadai points 3 za mezani,unajua utaratibu wa kupata hizo points 3 za mezani?Mmeenda uwanjani hakuna refa wala wasimamizi wa mchezo waliopelekwa na bodi husika mkategemea kupewa points 3 na hiyo hiyo bodi,hii akili mnatoa wapi?
Pole sana endelea kushupaza shingo siwezi kubishania kitu ambacho Simba, Yanga na hao TFF wameshalitengeneza kama igizo. Hizo point 3 kudai ni muendelezo wa maigizo kwa mashabiki ila mwisho wa siku mechi watacheza. Nilikuwa najaribu kukuonesha mapungufu ya ile taarifa ya bodi ya ligi ila nachoamini ni kwamba lile tukio ni la kupangwa na wote watatu Simba, Yanga na TFF ili mechi isichezwe siku ya tarehe 8.
 
Kaka ata ukeshe huyo hatakuelewq shabiki wa yanga ni mbumbumbu, punguani takataka
Mkuu ni sahihi ila pengine wewe ndio utakuwa umeonesha matatizo makubwa sana kiakili kwa kuutoa uutu wako kisa Simba na Yanga. Hapa umewatukana baba zako wadogo, baba zako wakubwa, mama zako wadogo, mama zako wakubwa, dada zako, kaka zako, mashangazi zako, marafiki zako, na ndugu zako wengi tu kwa kuwaita takataka, mambumbu na mapunguani. Sitaki kuamini kuwa ukoo wenu wote ni mashabiki wa Simba na ndugu zako wote upande wa mamako ni mashabiki wa Simba. Ila ulivyokuwa umetawaliwa na usimba na uyanga hata maarifa ya kufikiria hauna. Pole sana
 
Bodi ya Ligi ni kamati ya TFF na inaundwa na TFF,wote kwa kushirikiana wanaendesha ligi.Soma kanuni ya 12.kifungu kidogo 1na 2 nimekuwekea hapo

Sababu ya Msingi na dharula ni usalama,maana kama hata Polisi walishindwa ulitaka Nini kifanyike kudhibiti ile hali na nyie mna mabaunsa wenu.

Jingine kaka ni lipi unataka kujua?
Yaani ulivyoandika kwamba sababu ya msingi ni usalama, AS IF YALIYOTOKEA YAMETOKEA MUDA WA MECHI.

1741603631543.png


Kwa hiyo hiyo kanuni uliyoifanyia reference, bodi ya ligi, iliishirikiana na chombo gani kingine hadi ikafikia maamuzi yao?
 
Imeandikwa sababu yenye msingi itakayokubaliwa na TFF na wala hawajasema itakayokubaliwa na vilabu au wadau
Aliyesema sababu za msingi zikubaliwe na vilabu ni nani? Mbona kama hujui unachokijibu?

1741604294098.png
 
Sasa Watanzania kama mnajua kutafsiri kanuni hivi mbn mitihani ya FIFA mnafeli sana ?
 
Yaani ulivyoandika kwamba sababu ya msingi ni usalama, AS IF YALIYOTOKEA YAMETOKEA MUDA WA MECHI.

View attachment 3265574

Kwa hiyo hiyo kanuni uliyoifanyia reference, bodi ya ligi, iliishirikiana na chombo gani kingine hadi ikafikia maamuzi yao?

Ndugu Usalama wa mchezo unaanzia tangu maandalizi yake,Ndio maana siku moja kabla ya Mchezo Msimamizi wa mchezo husika anakuwepo na afisa wa Bodi ya Ligi na Afisa usalama(Hapa nazungumzia mkutano kabla ya mechi)
So ilipoonekana kuna viashiria vya uvunjifu wa Amani
Ama kwa Simba kuleta watu wasiofahamika na kutaka kuingia nao Au Walinzi wa Yanga kuwazuia Simba hivyo ni viashiria tosha,na Hujui Simba kama wangelezimishwa kuja uwanjaniwangejiandaa na Nini ili kujilinda, Hili ni kosa la Bodi ya Ligi na meneja wa Uwanja kuruhusu walinzi binafsi wa team badala ya serikali

Bodi ya Ligi imepokea Taarifa kutoka kwa Afisa usalama wa Mchezo,wakiwasiliana na TFF,Rais wa TFF lazima ahusike kwenye hili.
 
Kwanza hiyo.sababu ya usalama bodi waliiitoa wapi wakati simba walilamika kuhusu kutokufanya mazoezi!
Halafu 51mba mpaka sasa hawajalalamika kwa bodi ya ligi. Mwenye barua waliyoiandika 51mba kwenda bodi ya ligi aiweke hapa
 
Halafu 51mba mpaka sasa hawajalalamika kwa bodi ya ligi. Mwenye barua waliyoiandika 51mba kwenda bodi ya ligi aiweke hapa
Inawezekana Simba waliwasilisha barua yao kwa email.

Sina Hakika kama simba wanaweza Acha hivi hivi na kuandika barua kwa umma pekee.
 
Kwani ule ulikuwa muda wa mechi?
Hivi walinzi wa kabu ya Yanga, wanapewa majukumu ya ulinzi kwa sura? Hawana vitambulisho?
Uzuri Barua ya Bodi ya Ligi imewatambua walinzi wa Yanga,sasa walitumia Vingezo gani kuwatambua watasema wao.

Soma kwa kutulia tena ile barua ya Bodi ya ligi kuna mahali wameandika hayo kuwatambua baadhi ya walinzi wa Yanga.
 
Inawezekana Simba waliwasilisha barua yao kwa email.

Sina Hakika kama simba wanaweza Acha hivi hivi na kuandika barua kwa umma pekee.
Ukishaanza tu kusema, inawezekana, sina hakika etc basi yote uliyoyasema kabla yaanakuwa void..!!
 
Uzuri Barua ya Bodi ya Ligi imewatambua walinzi wa Yanga,sasa walitumia Vingezo gani kuwatambua watasema wao.

Soma kwa kutulia tena ile barua ya Bodi ya ligi kuna mahali wameandika hayo kuwatambua baadhi ya walinzi wa Yanga.
Ahahahahahaaa...!! Yaani 51mba na bodi ya ligi, hapa kuna loophole ya Yanga kuwakaba.
 
Umeandika ujinga, Ishu ya Usalama wanaotoa Ripoti ni Jeshi la Polisi na wenye mamlaka za Usalama. BODI YA LIGI wanajuaje masuala ya USALAMA bila taarifa ya Jeshi la Polisi na hao ndio wenye dhamana ya Usalama? Pia unajuaje usalama wakati mechi ni Jioni na Jeshi la Polisi wamepeleka ulinzi pale?
Umeandika Upumbavu.
Una uhakika gani kuwa hao wanausalama sio Polisi...Unasoma kuptia makalio...tumiamacho na akili
 
Ukishaanza tu kusema, inawezekana, sina hakika etc basi yote uliyoyasema kabla yaanakuwa void..!!
Sina uhakika to be honest,Ila kwa Hali ya kawaida Bodi ya Ligi haiwezi jibu barua ambayo haijatumwa kwao,

Sijui unaelewa point yangu,kwamba from hewani bila barua yeyote toka Simba bodi ifanye maamuzi kama yale
 
Back
Top Bottom