The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
- Thread starter
- #101
Hakuna mzee wa utakuja kuniabia mimi nimesoma hiyo barua zaidi ya Mara 10 ,Alieandika ana akili sanaa.Ahahahahahaaa...!! Yaani 51mba na bodi ya ligi, hapa kuna loophole ya Yanga kuwakaba.
Na anavijua hivi virabu nje ndani na Tabia zake.