Kwa kipengele hiki Yanga hata waende FIFA hawatapewa point tatu

Kwa kipengele hiki Yanga hata waende FIFA hawatapewa point tatu

Sawa
Bodi ya Ligi imeahirisha Mchezo husika sababu ni zifuatazo

1.Simba waliiandikia bodi ya Ligi na kutoa malalamiko yao
2.Bodi Ya Ligi baada ya kupokea Taarifa kutoka kwa Ofisa wa Usalama wa mchezo wakapitia sababu za Kiusalama ,wakaahirisha mchezo husika

Kanuni iliyotumika ni 34 1.3
Nimekuwekea viambatanisho
Hivi wewe unazielewa sababu za kiusalama zinazoweza kupelekea mechi kuahirishwa?
Simba kuandika barua kulalamika ndio inatosha kuahirisha mechi? Kwani timu nyingine uwa aziandiki barua kulalamika kwenye scenario kama iyo? Mbona mechi uwa aziahirishwi?
 
Sana sana huko FIFA watalumbushwa madeni yao wanayodaiwa na kuambiea waache utapeli kwa wachezaji
Wewe akuna unachokijua zaidi yakudandia hoja kishabiki na kimihemko,,mambo ya kikanuni na Sheria yanajadiliwa kikanuni ukiwa umetuliza kichwa sio unavyokurupuka maisha ayaendi ivyo
 
Hivi wewe unazielewa sababu za kiusalama zinazoweza kupelekea mechi kuahirishwa?
Simba kuandika barua kulalamika ndio inatosha kuahirisha mechi? Kwani timu nyingine uwa aziandiki barua kulalamika kwenye scenario kama iyo? Mbona mechi uwa aziahirishwi?

simba kuandika Barua pekee haitoshi kuahilisha mechi,

Bodi ya ligi ilipokea Taarifa kutoka kwa ofisa usalama wa mchezo.

Taarifa iliyopelekea kuahirishwa kwa mechi mpaka hapo tuko sawa

Soma hapo niliozungushia wino wa njano.
 

Attachments

  • e3b8fcda-05ea-4f6f-9b3c-3ef54cca4792.jpeg
    e3b8fcda-05ea-4f6f-9b3c-3ef54cca4792.jpeg
    66.5 KB · Views: 1
Una uhakika barua unayodai Simba imeiandikia bodi ya ligi ina mstari unaoomba mechi ighairishwe? Simba walishaamua kutoingia uwanjani kama walivyosema kwenye taarifa yao kwa uma

View attachment 3265623
Mkuu Bodi ya ligi kwenye barua yao kwa umma inajieleza wazi kwamba Simba iliiandikia baru bodi na kuona haina sababu ya kushiriki mchezo kwani kanuni zimekiukwa na Bodi ikawaelewa.......sasa kama wewe unataka hadi uione barua ya Simba kwenda bodi ndio uamini hayo ni matatizo yako binafsi

Pili Simba inaweza kupost chochote kwenye page zao as long as hawavunji sheria.......issue sio simba kapost nini?
Unachopaswa kujua ni kwamba Simba hai kwenda uwanjani kwasababu Bodi ilisikiliza malalamiko yao na IKATOA AMRI kwamba mchezo hautakuwepo

Mwisho katika sakata hili HAKUNA TIMU YOYOTE iliyogoma kucheza.
Bodi ya ligi iliusimamisha mchezo.... sasa kama wewe hutaki maamuzi ya wasimamizi wa mpira walio amua kuuhairisha mchezo na kuita ni Simba kugomea hayo pia yatakua matatizo yako binafsi mkuu
 
Mkuu Bodi ya ligi kwenye barua yao kwa umma inajieleza wazi kwamba Simba iliiandikia baru bodi na kuona haina sababu ya kushiriki mchezo kwani kanuni zimekiukwa na Bodi ikawaelewa.......sasa kama wewe unataka hadi uione barua ya Simba kwenda bodi ndio uamini hayo ni matatizo yako binafsi

Pili Simba inaweza kupost chochote kwenye page zao.... isuue sio simba kapost nini?
Unachopaswa kujua ni kwamba Simba hai kwenda uwanjani kwasababu Bodi ilisikiliza malalamiko yao na IKATOA AMRI kwamba mchezo hautakuwepo

Mwisho katika sakata hili HAKUNA TIMU YOYOTE iliyogoma kucheza.
Bodi ya ligi iliusimamisha mchezo.... sasa kama wewe hutaki maamuzi ya wasimamizi wa mpira walio amua kuuhairisha mchezo na kuita ni Simba kugomea hayo pia yatakua matatizo yako binafsi mkuu

Ila hawa jamaa wabishi wana sijapata ona
 
simba kuandika Barua pekee haitoshi kuahilisha mechi,

Bodi ya ligi ilipokea Taarifa kutoka kwa ofisa usalama wa mchezo.

Taarifa iliyopelekea kuahirishwa kwa mechi mpaka hapo tuko sawa

Soma hapo niliozungushia wino wa njano.
Inabidi uelewe kitu kimoja na uwe na akili ya kudadavua mambo usiwe unalishwa vitu na unapokea bila kujiuliza maswali kwanza wewe mwenyewe kuona kama Kuna logic ya hoja yenyewe;
Afisa usalama anaweza kutoa sababu nzito za kiusalama zinazoweza kupelekea mechi kuahirishwa kama tishio la ugaidi uwanjani etc, Sababu nzito kama hizo ndizo zinazoweza kusababisha mechi kuahirishwa,,Sasa vyombo vya ulinzi na usalama vilishindwa kung'amua sababu hizo mpaka vikaja kung'amua pale Simba ilipogomea mechi?
Jumamosi asubuhi wakati tukio lilishatokea mwenyekiti wa bodi ya ligi Stephen mguto alikaririwa akisema mechi ipo pale pale alitamka yale maneno akijua Kuna tishio la kiusalama?
Tishio la kiusalama jeshi la polisi lingetoa taarifa kwamba Kuna tishio la kiusalama ivyo wangetoa taarifa kwa umma juu ya tishio ilo ambalo lingesababisha mechi kutokuwepo!
Sijui kama unanielewa!
 
Inabidi uelewe kitu kimoja na uwe na akili ya kudadavua mambo usiwe unalishwa vitu na unapokea bila kujiuliza maswali kwanza wewe mwenyewe kuona kama Kuna logic ya hoja yenyewe;
Afisa usalama anaweza kutoa sababu nzito za kiusalama zinazoweza kupelekea mechi kuahirishwa kama tishio la ugaidi uwanjani etc, Sababu nzito kama hizo ndizo zinazoweza kusababisha mechi kuahirishwa,,Sasa vyombo vya ulinzi na usalama vilishindwa kung'amua sababu hizo mpaka vikaja kung'amua pale Simba ilipogomea mechi?
Jumamosi asubuhi wakati tukio lilishatokea mwenyekiti wa bodi ya ligi Stephen mguto alikaririwa akisema mechi ipo pale pale alitamka yale maneno akijua Kuna tishio la kiusalama?
Tishio la kiusalama jeshi la polisi lingetoa taarifa kwamba Kuna tishio la kiusalama ivyo wangetoa taarifa kwa umma juu ya tishio ilo ambalo lingesababisha mechi kutokuwepo!
Sijui kama unanielewa!

Kaka Logic gani unataka,

Mwenyekiti wa bodi ya ligi Mr.Mguto alisema wameita kikao cha dharula kujadili,bila shaka asingeweza kusema mchezo haupo bila maamuzi ya kikao sababu yeye sio mtu wa mwisho wa kimaamuzi.

Baada ya kikao wakajiridhisha kuwa kuna viaahiria vya uvunjifu wa Amani na mechi isogezwe mbele.

Kumbuka hapo Msimamizi wa mchezo pia alinukuliwa kuwa alilidhia Simba wafanye mazoezi,sasa kipi kilizuia Simba wasifanye mazoezi ni vurugu kutoka kwa walinzi wa Yanga,
Walikaidi agizo la Msimamizi wa mchezo mbele ya Polisi.

Sasa ulitaka bodi ya ligi ifanye nini kama taarifa waliyopokea kutoka kwa Afisa usalama wa mchezo ilianinisha matukio kadhaa

Nanukuu

“” Kwasababu Bodi ya Ligi ilipokea taarifa ya usalama kutoka kwa ofisa usalama wa mchezo ambayo imeainisha matukio kadhaa yaliyo ambatana na tukio la club ya Simba kishindwa kufanya mazoezi na kwamba baadhi ya matukio yanahitaji uchunguzi ambao hauwezi kukamilika kwa wakati,Bodi ya Ligi kupitia Kamati yake ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi imeamua kuahirisha mchezo tajwa hapo juu””

Mwisho wa kunukuu.

Haya Hapo kweli unahitaji D ngapi kujua kwamba sababu ni Usalama?
 
Kaka Logic gani unataka,

Mwenyekiti wa bodi ya ligi Mr.Mguto alisema wameita kikao cha dharula kujadili,bila shaka asingeweza kusema mchezo haupo bila maamuzi ya kikao sababu yeye sio mtu wa mwisho wa kimaamuzi.

Baada ya kikao wakajiridhisha kuwa kuna viaahiria vya uvunjifu wa Amani na mechi isogezwe mbele.

Kumbuka hapo Msimamizi wa mchezo pia alinukuliwa kuwa alilidhia Simba wafanye mazoezi,sasa kipi kilizuia Simba wasifanye mazoezi ni vurugu kutoka kwa walinzi wa Yanga,
Walikaidi agizo la Msimamizi wa mchezo mbele ya Polisi.

Sasa ulitaka bodi ya ligi ifanye nini kama taarifa waliyopokea kutoka kwa Afisa usalama wa mchezo ilianinisha matukio kadhaa

Nanukuu

“” Kwasababu Bodi ya Ligi ilipokea taarifa ya usalama kutoka kwa ofisa usalama wa mchezo ambayo imeainisha matukio kadhaa yaliyo ambatana na tukio la club ya Simba kishindwa kufanya mazoezi na kwamba baadhi ya matukio yanahitaji uchunguzi ambao hauwezi kukamilika kwa wakati,Bodi ya Ligi kupitia Kamati yake ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi imeamua kuahirisha mchezo tajwa hapo juu””

Mwisho wa kunukuu.

Haya Hapo kweli unahitaji D ngapi kujua kwamba sababu ni Usalama?
Uvunjifu wa amani siku ya mchezo ama uvunjifu wa amani siku iyo walipozuiliwa Simba?
Kwa akili tu ya kawaida bila kutumia mihemko mabaunsa wa yanga Wana uwezo Gani au mamlaka Gani ya kuwazuia polisi wasiwaruhusu Simba kuingia uwanjani?
Kwaiyo vurugu za mabaunsa wa yanga ndio ikapelekea bodi kuahirisha mechi ya kesho yake isichezwe kwasababu vurugu zile zingeendelea mpaka siku ya mechi na kuhatarisha usalama sio?
Ule uwanja ni WA serikali na unalindwa na vyombo vya usalama vya serikali sasa mabaunsa wa yanga waliwazidi nguvu maaskari mpaka wakawazuia Simba wasiingie uwanjani? Inaingia akilini iyo?
Kumbuka Simba walitoa taarifa ya kugomea mechi kabla bodi ya ligi aijatoa taarifa yoyote Ile,,kwa maana iyo Simba walishajipa mamlaka ya kugoma kabla suala lao alijashughulikiwa ulishaona wapi kitu kama icho?
 
Uvunjifu wa amani siku ya mchezo ama uvunjifu wa amani siku iyo walipozuiliwa Simba?
Kwa akili tu ya kawaida bila kutumia mihemko mabaunsa wa yanga Wana uwezo Gani au mamlaka Gani ya kuwazuia polisi wasiwaruhusu Simba kuingia uwanjani?
Kwaiyo vurugu za mabaunsa wa yanga ndio ikapelekea bodi kuahirisha mechi ya kesho yake isichezwe kwasababu vurugu zile zingeendelea mpaka siku ya mechi na kuhatarisha usalama sio?
Ule uwanja ni WA serikali na unalindwa na vyombo vya usalama vya serikali sasa mabaunsa wa yanga waliwazidi nguvu maaskari mpaka wakawazuia Simba wasiingie uwanjani? Inaingia akilini iyo?
Kumbuka Simba walitoa taarifa ya kugomea mechi kabla bodi ya ligi aijatoa taarifa yoyote Ile,,kwa maana iyo Simba walishajipa mamlaka ya kugoma kabla suala lao alijashughulikiwa ulishaona wapi kitu kama icho?

Viashiria vya Uvunjifu wa amani vinaanza kabla ya mechi na matukio yake ikiwepo kuzuia team fal isifanye mazoezi.

Kama uwanja ni wa Serikali na mnaamini ulinzi wa serikali kulikua na Haja gani ya kuweka walinzi wenu?

Simba alitoa taarifa ndio ulitegemea akae kimya na anaona anahatarishiwa amani.

Sasa ulitaka Askari serikali watumie Nguvu kuwazuia Walinzi wa Yanga kufanya wanachotaka,Kumbuka nje ya uzio ule kulikua na mashabiki wa Yanga na Simba nini kingetokea?
 
Viashiria vya Uvunjifu wa amani vinaanza kabla ya mechi na matukio yake ikiwepo kuzuia team fal isifanye mazoezi.

Kama uwanja ni wa Serikali na mnaamini ulinzi wa serikali kulikua na Haja gani ya kuweka walinzi wenu?

Simba alitoa taarifa ndio ulitegemea akae kimya na anaona anahatarishiwa amani.

Sasa ulitaka Askari serikali watumie Nguvu kuwazuia Walinzi wa Yanga kufanya wanachotaka,Kumbuka nje ya uzio ule kulikua na mashabiki wa Yanga na Simba nini kingetokea?
Umeshaferi kwenye hoja ebu waachie bodi ya ligi wenyewe wapambane na ujinga wao walioufanya,,unachokizungumzia hapo akuna hoja ya msingi ata Moja unayoweza kusimama nayo kwamba ilipelekea mechi iahirishwe,,sio Simba sio bodi ya ligi wanaoweza kusimama na kusema kanuni hii imepelekea tuahirishe mechi,,
Unaweza kuniambia Simba alisimamia kanuni Gani kugomea mechi?
 
Hiyo taarifa nimeisoma yote, na kwamba kama hujui USALAMA ni suala la kijinai na TFF au BODI hawana mamlaka yoyote ya kuchunguza na zaidi hali ya Usalama lazima itolewe na Jeshi la Polisi. Na kwa taarifa yako tu, kama kulikuwa na viashiria vyovyote vya Vurugu Jeshi la Polisi wasinge ruhusu mageti yafunguliwe.
Mwisho TUMIA AKILI.
Polisi wameshashindwa kudumisha usalama mpaka Simba wamefanyiwa Fujo, Sasa Ukitaka watu wauane ndio ufurahi. Kumbuka wanasimba walikua wameshajaa sumu
 
Wewe na hiyo barua umeona kuna kipengele hapo kwenye barua au kwenye Kanuni kinachosema "Kutokufanya mazoezi ni sababu tosha ya kuahirisha mchezo?" Kulikuwa na shabiki mwenye bomu au vita kwamba sababu za kiusalama zikapelekea mchezo husika kuahirishwa?
MNAJITOA UFAHAMU
 
Bodi ya Ligi na mambo ya usalama wapi na wapi! Mleta mada hauna akili
 
Kaka Logic gani unataka,

Mwenyekiti wa bodi ya ligi Mr.Mguto alisema wameita kikao cha dharula kujadili,bila shaka asingeweza kusema mchezo haupo bila maamuzi ya kikao sababu yeye sio mtu wa mwisho wa kimaamuzi.

Baada ya kikao wakajiridhisha kuwa kuna viaahiria vya uvunjifu wa Amani na mechi isogezwe mbele.

Kumbuka hapo Msimamizi wa mchezo pia alinukuliwa kuwa alilidhia Simba wafanye mazoezi,sasa kipi kilizuia Simba wasifanye mazoezi ni vurugu kutoka kwa walinzi wa Yanga,
Walikaidi agizo la Msimamizi wa mchezo mbele ya Polisi.

Sasa ulitaka bodi ya ligi ifanye nini kama taarifa waliyopokea kutoka kwa Afisa usalama wa mchezo ilianinisha matukio kadhaa

Nanukuu

“” Kwasababu Bodi ya Ligi ilipokea taarifa ya usalama kutoka kwa ofisa usalama wa mchezo ambayo imeainisha matukio kadhaa yaliyo ambatana na tukio la club ya Simba kishindwa kufanya mazoezi na kwamba baadhi ya matukio yanahitaji uchunguzi ambao hauwezi kukamilika kwa wakati,Bodi ya Ligi kupitia Kamati yake ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi imeamua kuahirisha mchezo tajwa hapo juu””

Mwisho wa kunukuu.

Haya Hapo kweli unahitaji D ngapi kujua kwamba sababu ni Usalama?
Unajisumbua bure mkuu,huyo hana akili ya kuelewa unachoandika,ni aina ya watu wanaosoma post huku wakijiandaa kubisha na sio kuelewa,huwa hawajishughulishi kusoma taarifa neno kwa neno.
 
Ukiwa na timu mbovu na kupenda ku bebwa utavunja kanuni kila siku.
Ukweli nikua Simba ni mbovu na wamekimbia kipigo, Kutegemea wazee wafupi bila kuwa na Timu ni upuuzi.
Ikawaje mkatolea kwenye mashindano ya CAF?
 
Wewe
Umeandika ujinga, Ishu ya Usalama wanaotoa Ripoti ni Jeshi la Polisi na wenye mamlaka za Usalama. BODI YA LIGI wanajuaje masuala ya USALAMA bila taarifa ya Jeshi la Polisi na hao ndio wenye dhamana ya Usalama? Pia unajuaje usalama wakati mechi ni Jioni na Jeshi la Polisi wamepeleka ulinzi pale?
Umeandika Upumbavu.
Wewe ndiye mpumbavu kuliko upumbavu wenyewe. Umeona pale Kuna mtu anaitwa Afisa usalama Wa mchezo. Kwa akili zako fupi unafikiri mtu huyo ni polisi? Unaamini usalama upo Kwa polisi tu. Kwenye sherehe huwa Kuna walinzi Wa usalama wasio polisi. Wengine huwaita mabaunsa, kwa hiyo unaamini wanakuwa mapolisi kwa muda hadi baada ya sherehe? Unatia aibu...
 
Unajisumbua bure mkuu,huyo hana akili ya kuelewa unachoandika,ni aina ya watu wanaosoma post huku wakijiandaa kubisha na sio kuelewa,huwa hawajishughulishi kusoma taarifa neno kwa neno.
Akili utakuwa nayo wewe mbumbumbu tueleze kanuni ipi bodi imesimamia hapo,,kwa walio na akili na wewe upo? Si utuwekee iyo kanuni ambayo bodi wamesimamia mbona mnakuwa vichwa maji sana!
 
Wewe na hiyo barua umeona kuna kipengele hapo kwenye barua au kwenye Kanuni kinachosema "Kutokufanya mazoezi ni sababu tosha ya kuahirisha mchezo?" Kulikuwa na shabiki mwenye bomu au vita kwamba sababu za kiusalama zikapelekea mchezo husika kuahirishwa?
MNAJITOA UFAHAMU
Hawa viumbe ni empty brain kabisa,,kinachozungumziwa hapa ni kanuni wao wanaleta ubishi na mahaba ya ovyo ovyo,,ata sababu za kiusalama zinazopelekea mchezo uvunjike awazijui wamebaki kubwata tu na vimaneno vya vijiweni!
 
Back
Top Bottom