Kwa kipengele hiki Yanga hata waende FIFA hawatapewa point tatu

Bichwa fuvu tarehe 8 kulikua na uvunjifu upi wa usalama pale uwanjani?vilivunjwa viti?yalivunjwa mageti?kuna watu walijeruhiwa?
Soma Hapa nilipozungushia wino wa njano acha kujifanya huna akili,usalama hauanzii siku ya mechi unaanza kabla,Unajua Ofisa usalama amepeleka taarifa gani kwa bodi ya ligi? Ngalikihinja Mbaga Jr
 

Attachments

  • e3b8fcda-05ea-4f6f-9b3c-3ef54cca4792.jpeg
    66.5 KB · Views: 1
Na sijui kwanini kuna watu wanatumia nguvu sana kuelewa jambo jepesi hivyo. Sababu iliyotajwa kuhairisha mechi si Simba kusema hawatacheza.

Wewe joseph1989 embu soma na hapa labda utamuelewa huyu.
Hii Yanga bila GSM ingekuwa inafanana point na Kagera sugar. Matendo Yao yanahatarisha usalama. Kulikuwa na sababu gani kuzuia Simba wasiingie uwanjani?. Simba isingetumia busara Leo tungekuwa tunaongea mengine 😞
 
Hii Yanga bila GSM ingekuwa inafanana point na Kagera sugar. Matendo Yao yanahatarisha usalama. Kulikuwa na sababu gani kuzuia Simba wasiingie uwanjani?. Simba isingetumia busara Leo tungekuwa tunaongea mengine 😞
We umeelewa point yangu vizuri kabisa,bravo
 
Hii ni shortcut moja kali sana. Tajiri GSM hawezi thubutu fanya jambo lolote la kumkera Mama. Pia mama hawezi kukataa kuwa mgeni rasmi wa derby ya Kkoo kwa kuzingatia huu mwaka tuliopo.
 
Ukija na akili za kishabiki unaona kabisa Yanga wanapewa point 3 ila ukituliza akili vizuri, ukawaza kwa kutulia basi hakuna point za mezani. Hii kesi Yanga hata waende CAS hawashindi.
Kwa hapa ndan TFF tunawaona hawana nguvu mbele ya Yanga ila kule CAF na FIFA hawa wana nguvu kuliko Yanga.
 
Jaman mpira unalipa kumbe na hata hamsemi eh😹
Nenda kapate boyfrwndmchezaji wa yanga aisee utaenjoy sana maana utahongwa hela na kileleni utafikishwaa haswaaaa.

Sii unaona lakini mobeyo anavyo ngaaa baada ya kupata dloboloz la shemeji wetu na mamilion ya ndalama
 

Kazi ni kipimo cha utu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Wamejisahaulisha pia walivyoalikwa ikulu na mama, hawakusema tusichanganye siasa na michezo, lakini ghafla leo ndio wamekumbuka hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…