Brother kwamba katika wanachama wote wa chadema yeye ndio mwenye akili ya kukipeleka chama mbele?Hadi chama ikoma sawa sawa na wapatikane viongozi waliokomaa kisiasa.
Kwani mbowe alinunuliwa?Hivi vichwa viwili Lissu na Heche labda watumie risasi lakini havinunuliki, mmoja awe Mwenyekiti na mwingine Katibu Mkuu.