Kwa kosa hili, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa tunamkosea sana

Kwa kosa hili, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa tunamkosea sana

Habari wakuu, Hivi ni nani humu JF hajawahi kudanganya? Maana inachukuliwa kana kwamba PM alifanya kitu ambacho kigeni sana, Kuna watu wengi tu humu JF wamewahi danganywa kuhusu kuugua au vifo vya watu wao wa karibu ili mradi tu kuweka mambo sawa kwanza.

Hayati JPM alikuwa mkuu wa Nchi, Amiri Jeshi Mkuu, Mambo kuhusu afya yake Kuna Yeye mwenyewe, Kuna Ndugu, Kuna Daktari wake, Kuna viongozi wengine wa kisiasa na kiusalama na Uje Uje wewe Mwananchi, Hapo ndio utagundua mpaka taarifa inakufikia kuwa vitu vingi vimefuatwa na kukubalika.

Kwa maana Rahisi PM hawezi kukurupuka tu na kutoa kauli kuhusu Hali ya Rais ni lazima itifaki na Usalama wa Nchi uwekwe sawa na kauli ipimwe kama italeta Madhara au La.

Hivi Watanzania wenzangu how do you hate the Best? Maana hizi ni kama personal attacks kwa PM au Ni mpango wa kumtoa kwenye Ramani kisaikolojia apotee kabisa.

Je kwa sasa kuna kiongozi mzalendo kuliko Yeye? Kwa kifupi Baadhi yetu watanzania hatumtendei haki tunamkatisha tamaa sana katika utendendaji wake ni vyema tujirekebishe.
Waziri Mkuu ni mwongo, huo ndio ukweli.

Wewe ka ni mtu mwongo, asituaminishe kuwa kila mtu ni mwongo. Kiongozi unatakiwa kuwa mkweli wa kauli na vitendo.

Mtu mwongo hana haki ya kuwa kiongozi. Hakuna mtu aliyemlazimidha atoe kauli yoyote ile kuhusiana na afya ya Magufuli. Alifanya vile kwa kiherehere chake.

Samia alipotakiwa kuelezea afya ya Magufuli, alisema wazi kuwa Magufuli anaumwa, na akaongeza kwamba binadamu kuugua ni jambo la kawaida. Kwa kutamka vile, ni madhara gani Taifa lilipata?

Uwongo ni tabia, ni hulka ya mtu.
 
Habari wakuu, Hivi ni nani humu JF hajawahi kudanganya? Maana inachukuliwa kana kwamba PM alifanya kitu ambacho kigeni sana, Kuna watu wengi tu humu JF wamewahi danganywa kuhusu kuugua au vifo vya watu wao wa karibu ili mradi tu kuweka mambo sawa kwanza.

Hayati JPM alikuwa mkuu wa Nchi, Amiri Jeshi Mkuu, Mambo kuhusu afya yake Kuna Yeye mwenyewe, Kuna Ndugu, Kuna Daktari wake, Kuna viongozi wengine wa kisiasa na kiusalama na Uje Uje wewe Mwananchi, Hapo ndio utagundua mpaka taarifa inakufikia kuwa vitu vingi vimefuatwa na kukubalika.

Kwa maana Rahisi PM hawezi kukurupuka tu na kutoa kauli kuhusu Hali ya Rais ni lazima itifaki na Usalama wa Nchi uwekwe sawa na kauli ipimwe kama italeta Madhara au La.

Hivi Watanzania wenzangu how do you hate the Best? Maana hizi ni kama personal attacks kwa PM au Ni mpango wa kumtoa kwenye Ramani kisaikolojia apotee kabisa.

Je kwa sasa kuna kiongozi mzalendo kuliko Yeye? Kwa kifupi Baadhi yetu watanzania hatumtendei haki tunamkatisha tamaa sana katika utendendaji wake ni vyema tujirekebishe.
Majaliwa NI muongo sana
 
Back
Top Bottom