Kwa kuangalia tu na kutumia common sense, pale Middle East Israel siyo kwao

Kwa kuangalia tu na kutumia common sense, pale Middle East Israel siyo kwao

mangichogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2023
Posts
837
Reaction score
1,482
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.

Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
 
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/aya za kwenye bible. Tujiulizw kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni waarabu, imekuwaje mzungu ajikute ktk ya waarabu.

Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa iEibrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Umeangalia wapi sasa
 
Huenda ukawa na hoja, jaribu kuidadavua vizuri kwa kuweka sawa facts za kihistoria na kijiografia ukiachilia mbali hiyo ya mtazamo wa machoni.

Wanatheolojia watakuja hapa kukujibu kuhusu uwepo wa mataifa mawili. Taifa la Sarah na Taifa la Mjakazi wake Hajiri.
 
Morocco,Misri,Algeria na takataka zote hizi nazo zirud kwao middle east

Utarudi wewe ulikotoka mkuu, na huna ujanja wowote wa kuamua jambo ilhali waislamu tupo hapa, wale ni ndugu zetu. Na kwa taarifa yako hii nchi ina waislamu wengi kuliko wapagani.
 
Weka picha za kina yossi benayoun, kina netanyahu na wenzie tulinganishe na kina yasser arafat, kina benzema.Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)

Utarudi wewe ulikotoka mkuu, na huna ujanja wowote wa kuamua jambo ilhali waislamu tupo hapa, wale ni ndugu zetu. Na kwa taarifa yako hii nchi ina waislamu wengi kuliko wapagani.
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
 
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.

Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.

Ni sahihi kabisa.

Modern Israel was created in 1948 after a United Nations agreement with the British created the State of Israel. Ancient Israel and Modern Israel are considered different civilizations with their own unique features, though they do share religious and historical connections.
 
Kwa mujibu wa Biblia Ibrahim ni mzaliwa wa Iraq hivyo Yakobo kwao ni Iraq hii ni kwa mujibu wa Biblia.

Panapo ng'ang'aniwa sipo kwao Yakobo.
 
Utarudi wewe ulikotoka mkuu, na huna ujanja wowote wa kuamua jambo ilhali waislamu tupo hapa, wale ni ndugu zetu. Na kwa taarifa yako hii nchi ina waislamu wengi kuliko wapagani.
Israeli anatumia njia ile ile waarabu walitumia kukalia maeneo ya Afrika. Kwa hiyo watulie, shoo ipigwe ilivyo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ni sahihi kabisa.

Modern Israel was created in 1948 after a United Nations agreement with the British created the State of Israel. Ancient Israel and Modern Israel are considered different civilizations with their own unique features, though they do share religious and historical connections.
Hoja ya msingi siyo hiyo, ila mipaka original ya Israeli ni upi? hapo anatimua watu waliovamia maeneo yake ya kihistoria.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hoja ya msingi siyo hiyo, ila mipaka original ya Israeli ni upi? hapo anatimua watu waliovamia maeneo yake ya kihistoria.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Israel imeundwa na UK pamoja na USA ndani ya taifa la palestina mwaka 1948. Na baada ya hapo Israel inaendelea kijitanua kibabe kila aiku,. Mipaka gani unaoulizia wewe? Ya mwaka 1948? Au ya 1967 au ya sasahivi?

Hao mayahudi ya kizungu pale sio kwao sasa hayo maeneo yao ya kihistoria yapo ulaya
 
Back
Top Bottom