Wengine waliwaishwa kwa mabikira na wengine walikimbiza kobasi msumbijiHahahaha huu mkwara wenzio walilianzisha hapo kibiti watafute wakuambie kilichowapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine waliwaishwa kwa mabikira na wengine walikimbiza kobasi msumbijiHahahaha huu mkwara wenzio walilianzisha hapo kibiti watafute wakuambie kilichowapata
Ongezea nyama nyama, haya mambo yapo ila ni kwanini hayapewi air time?Ningependa tujadili kwa kutumia lugha ili tujue hawa ni wenyewe au lah!
Maana ilivyo hata sisi wabantu tumekuwa classified kwa sababu ya lugha.
Ndio maana kiswahili na kishona Cha Zimbabwe kina maneno mengi yanayo fanana.
Lugha zao ni Semetic
Kwenye hizi lugha zipo tatu
Nazo ni;
1)Kiyahudi
2)Kiarabu
3) Armaric ( Habesha kama wanavyoitwa wenyeji pale Ethiopia)
Nadhani kila mtu kashasikia msemo wa ant Semetic wakitumia wale Wazungu kuonyesha au kuashiria watu wenye misimamo ya kuwapinga Waisrael.
Swali la kujiuliza Waisrael wa asili ni kina nani?
Je, Ethiopian Jews
Je, Ashkenazi Jews
Je, SephardicJews
Je, Chadic jews
Je, Chinese Jews
Je, Indian Jews
Bila kujua hili huwezi kuwachambua wayaudi.
Wote baba mmoja,hawezi kutoka mzungu,hawa ni wa-khazara,toka uturuki ya kaleHuenda ukawa na hoja, jaribu kuidadavua vizuri kwa kuweka sawa facts za kihistoria na kijiografia ukiachilia mbali hiyo ya mtazamo wa machoni.
Wanatheolojia watakuja hapa kukujibu kuhusu uwepo wa mataifa mawili. Taifa la Sarah na Taifa la Mjakazi wake Hajiri.
1. Wewe mfipa wa Kirando una undugu gani na mwarabu...??Utarudi wewe ulikotoka mkuu, na huna ujanja wowote wa kuamua jambo ilhali waislamu tupo hapa, wale ni ndugu zetu. Na kwa taarifa yako hii nchi ina waislamu wengi kuliko wapagani.
Utarudi wewe ulikotoka mkuu, na huna ujanja wowote wa kuamua jambo ilhali waislamu tupo hapa, wale ni ndugu zetu. Na kwa taarifa yako hii nchi ina waislamu wengi kuliko wapagani.
Mkuu jamaa ameongelea waarabu hajasema waislam
Kaangalie kwenye ramani utaelewaIlikuaje Turkish/Uturuki wakaingia Bara la Ulaya?
Wew uko middle East?Wayaudi original sio wazungu. Hawa waliotuletea middle east mwaka 1948 ni fake na ndio maana kuna shida sana
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.
Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Sio tu kwamba sio kwao Bali hai ni waisrael feki kabisa hakuna waisrael pale Zaidi ya wazungu tu hao!!Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.
Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Hao uliowataja wapo upande wa juu yaani kaskazini mwa Africa. Hawapo katikati ya waafrika weusi, ukiangalia hata mazingira ya nchi walizopo hayana utafauti na mashariki ya kati, ninaweza kusema labda m/mungu ndivyo alivyotuweka maana hakuna historia yoyote inayosema walilivamia bara la Africa na kuwanyang'anya wenyeji ardhiVp waarabu wa Misri, Algeria, Tunisia na kwngineko Africa walijikutaje kwa bara la watu weusi?
Mzungu ni "Caucasian"....... Wayahudi kiasili sio wazungu japo generation iliyopo ni machorara na wazungu.Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.
Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.