Kwa kuangalia tu na kutumia common sense, pale Middle East Israel siyo kwao

Kwa kuangalia tu na kutumia common sense, pale Middle East Israel siyo kwao

Tamin.jpg


Mleta mada huyu Binti anaitwa Ahed Tamimi ni Mwanaharakati wa Kipalestina lakini ana muonekano wa kizungu.

Middle East ni sehemu yenye Gene pool kubwa sana, hasa Levanties
 
Ningependa tujadili kwa kutumia lugha ili tujue hawa ni wenyewe au lah!

Maana ilivyo hata sisi wabantu tumekuwa classified kwa sababu ya lugha.

Ndio maana kiswahili na kishona Cha Zimbabwe kina maneno mengi yanayo fanana.

Lugha zao ni Semetic
Kwenye hizi lugha zipo tatu
Nazo ni;

1)Kiyahudi

2)Kiarabu

3) Armaric ( Habesha kama wanavyoitwa wenyeji pale Ethiopia)

Nadhani kila mtu kashasikia msemo wa ant Semetic wakitumia wale Wazungu kuonyesha au kuashiria watu wenye misimamo ya kuwapinga Waisrael.

Swali la kujiuliza Waisrael wa asili ni kina nani?

Je, Ethiopian Jews
Je, Ashkenazi Jews
Je, SephardicJews
Je, Chadic jews
Je, Chinese Jews
Je, Indian Jews

Bila kujua hili huwezi kuwachambua wayaudi.
Ongezea nyama nyama, haya mambo yapo ila ni kwanini hayapewi air time?
 
Huenda ukawa na hoja, jaribu kuidadavua vizuri kwa kuweka sawa facts za kihistoria na kijiografia ukiachilia mbali hiyo ya mtazamo wa machoni.

Wanatheolojia watakuja hapa kukujibu kuhusu uwepo wa mataifa mawili. Taifa la Sarah na Taifa la Mjakazi wake Hajiri.
Wote baba mmoja,hawezi kutoka mzungu,hawa ni wa-khazara,toka uturuki ya kale
 
Utarudi wewe ulikotoka mkuu, na huna ujanja wowote wa kuamua jambo ilhali waislamu tupo hapa, wale ni ndugu zetu. Na kwa taarifa yako hii nchi ina waislamu wengi kuliko wapagani.
1. Wewe mfipa wa Kirando una undugu gani na mwarabu...??

2. Umefanya sensa lini kugundua kwamba waislamu ni wengi katika nchi hii.

3. Mue mnaacha basi hizo bangi zenu mnazoita "dini" kwa sababu ni mbaya kuliko bangi iliyo zoeleka.
 
Utarudi wewe ulikotoka mkuu, na huna ujanja wowote wa kuamua jambo ilhali waislamu tupo hapa, wale ni ndugu zetu. Na kwa taarifa yako hii nchi ina waislamu wengi kuliko wapagani.
Mkuu jamaa ameongelea waarabu hajasema waislam
 
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.

Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.

Vp waarabu wa Misri, Algeria, Tunisia na kwngineko Africa walijikutaje kwa bara la watu weusi?
 
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.

Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Sio tu kwamba sio kwao Bali hai ni waisrael feki kabisa hakuna waisrael pale Zaidi ya wazungu tu hao!!

Waisrael feki wapo utumwani baada ya kumkataa yesu na Baadae wakapigwa na kutawnyika Baadae watarudi Baadae sana,sasa Hawa wnaopigana sasa hivi pale wmetokea wapi!!?

Stuka mkuu hakuna waisrael pale !!
 
Vp waarabu wa Misri, Algeria, Tunisia na kwngineko Africa walijikutaje kwa bara la watu weusi?
Hao uliowataja wapo upande wa juu yaani kaskazini mwa Africa. Hawapo katikati ya waafrika weusi, ukiangalia hata mazingira ya nchi walizopo hayana utafauti na mashariki ya kati, ninaweza kusema labda m/mungu ndivyo alivyotuweka maana hakuna historia yoyote inayosema walilivamia bara la Africa na kuwanyang'anya wenyeji ardhi
 
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu.

Jambo hilo limewezekana vipi, hata tukiangalia chimbuko la Wayaudi kwenye bibila kama wanavyodai wenyewe ni uzao wa Ebrahimu, je, Ebrahim alikuwa ni mzungu? Kwa kuangalia picha tu unaona kabisa Israel pale sio kwao.
Mzungu ni "Caucasian"....... Wayahudi kiasili sio wazungu japo generation iliyopo ni machorara na wazungu.

Laiti kama Hitler asingeua Wayahudi ( Holocaust), US na UK kusingekuwa na msukumo wa kuanzisha taifa la Israel so huenda Israel kama nchi isingekuwepo na yamkini Germany ndo ingekuwa Super Power ya sasa kma US. Yale mauaji yaliipa uhalali jamii ya wayahudi kutafuta nyumbani kwao na mahali pa asili pa utaifa wao ili kuepuka kunyanyasika.

Kihistoria, eneo ilipo Israel kwa sasa lilikaliwa katika vipindi tofauti na Wayahudi, Wafilisti, Waamori, Wasamaria nakadhalika. Vita ya kugombania territory/ardhi imekuwepo tangu enzi za manabii na mitume.

Wayahudi wanayo-claim kihistoria katika hiyo ardhi, wapalestina vile vile wanayo claim. Issue ni namna ya kugawana na kuishi pamoja. Haikuwahi kuwezekana na haitakuja kuwezekana wakakaa pamoja.
 
Back
Top Bottom