Kwa ' Kufuru ' tuliyoifanya Usiku wa Kuamkia leo kama Kesho Yanga SC akishinda Taifa nitamwagilia Bustani za Dar Mwaka mzima

Kwa ' Kufuru ' tuliyoifanya Usiku wa Kuamkia leo kama Kesho Yanga SC akishinda Taifa nitamwagilia Bustani za Dar Mwaka mzima

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.

Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
 
Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.

Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
Yanga ikishinda nitakupeleka kwa mzeee wangu ukawe mke wa tano. Maana wakurya tunapenda kuoa wake wengi.
 
Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.

Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
Looooh
 
Mi nilidhan yanga akifa taifa utakunya boga! Kumbe kuwa gardener tu... Tuondolee utopolo wako hapa.

Au nikuitie Dada yako Shadeeya
Hahahaaa. Huyo Mkia lia lia mwenzio Mkuu.

Na hizi ndo ahadi zenu tulizozizowea bado kuna wale wanatoawaga ahadi za kuvua nguo na kutembea naked hawajaja kumwaga ahadi zao.
 
Hahahaaa. Huyo Mkia lia lia mwenzio Mkuu.

Na hizi ndo ahadi zenu tulizozizowea bado kuna wale wanatoawaga ahadi za kuvua nguo na kutembea naked hawajaja kumwaga ahadi zao.
Hana sifa ya kuwa mwanamsimbazi huyu we angalia vizuri tu utaona alama zake za utopolo
 
Kwa wale mashabiki kindakindaki, kesho ntakuwa uwanjani mapemaaaa. Ila sitavaa jezi yoyote maana sifungamani na upande wowote.


Baada ya matokeo ntajiunga na upande wenye shamra shamra.
 
Mechi ni leo Dada 12 julai kwa saa za Tanzania mpira utaanza 17:00Hrs.


Hahaaahahahaa asante kunirekebisha, nilimaanisha leo na ntakuwepo uwanjani. Mambo ya kuandika kwa kuangalia mwanga wa nje. Huku kwetu bado giza totoroo, nasubiri papambazuke nikasemeshane na Muumba.
 
Hahahaaa. Huyo Mkia lia lia mwenzio Mkuu.

Na hizi ndo ahadi zenu tulizozizowea bado kuna wale wanatoawaga ahadi za kuvua nguo na kutembea naked hawajaja kumwaga ahadi zao.
Angepima upepo kwa kuangalia yule chizi wao manara amehaidi nini,maana adabu imemshika safari hii kawa mpole anaongea kwa kujikaza tu kutetea kibarua chake
 
Back
Top Bottom