Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Kama nawaona wakisoma hii post mioyo inavyowadunda.Wanaweweseka hao sisi fresh tu hata wamuweke manara baridaaaaa
Na safari huyo ropo ropo kawa mtulivu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Kama nawaona wakisoma hii post mioyo inavyowadunda.Wanaweweseka hao sisi fresh tu hata wamuweke manara baridaaaaa
Na ujanja na uzuri wako wote bado tu hujaanza kuishabikia Young African SC?
Pamoja na kwamba wewe ni Popoma wa taifa Ila kwa hili la kuishabikia Simba nakuunga mkono na tuko pamoja.Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.
Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
Wewe Mama yeyoo inachekesha sana si haitaki kuja huku Engaruka?Aahahahahaha baba yeyoooo,mi nashangaa wewe bandanna waapiii, hapana tumia ile kikunio yako hadi mimi nishabikie Yanga kikwetukwetu aahahahahahaa.
Wewe Mama yeyoo inachekesha sana si haitaki kuja huku Engaruka?
Dar hakuna bustani sema utaanza kujiuza meeda pubKwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.
Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
Mi mwenyewe nimeshangaa kakutwa na nini? Sio kawaida yake muda km huu huwa anatamba yeye tu!Hahahaaa. Kama nawaona wakisoma hii post mioyo inavyowadunda.
Na safari huyo ropo ropo kawa mtulivu.
Unaandika sana upuuzi hivi huna hata mda wa kufikiri kidogo maana dishi limeyumba sana
Mbona hata Wewe ' unatiwa ' sana tena mfululizo na ' Madanga ' tofauti tofauti na hata huionei Huruma ' Mbunye ' yako lakini Sisi hatukulalamikii?
Acha utahira hayo mengine ni blabla
Vipi Ratiba yako ya ' Kudanga ' leo inasemaje?
Acha utahira
Hakuna Kiswahili cha ' Utahira ' kama ulichokiandika hapa Mpopoma ( Mpumbavu ) Wewe, bali tuna Kiswahili Sanifu cha ' Utaahira ' Juha Wewe.
Acha utahira
Hakuna Kiswahili cha ' Utahira ' kama ulichokiandika hapa Mpopoma ( Mpumbavu ) Wewe, bali tuna Kiswahili Sanifu cha ' Utaahira ' Juha Wewe.
Acha utahira
Kama Kapombe hachezi kule akae Nyoni muone kama mtu hajahama namba [emoji41]i hope namba mbili atakaa nyoni siyo shamte aiseey
Duh...watu mpo vizuri.Simba anashinda goli 4.