Kwa ' Kufuru ' tuliyoifanya Usiku wa Kuamkia leo kama Kesho Yanga SC akishinda Taifa nitamwagilia Bustani za Dar Mwaka mzima

Kwa ' Kufuru ' tuliyoifanya Usiku wa Kuamkia leo kama Kesho Yanga SC akishinda Taifa nitamwagilia Bustani za Dar Mwaka mzima

Na ujanja na uzuri wako wote bado tu hujaanza kuishabikia Young African SC?


Aahahahahaha baba yeyoooo,mi nashangaa wewe nakwama waapiii, hapana tumia ile kikunio yako hadi mimi nishabikie Yanga kikwetukwetu aahahahahahaa.
 
Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.

Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
Pamoja na kwamba wewe ni Popoma wa taifa Ila kwa hili la kuishabikia Simba nakuunga mkono na tuko pamoja.
 
Aahahahahaha baba yeyoooo,mi nashangaa wewe bandanna waapiii, hapana tumia ile kikunio yako hadi mimi nishabikie Yanga kikwetukwetu aahahahahahaa.
Wewe Mama yeyoo inachekesha sana si haitaki kuja huku Engaruka?
 
Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.

Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
Dar hakuna bustani sema utaanza kujiuza meeda pub
 
Hahahaaa. Kama nawaona wakisoma hii post mioyo inavyowadunda.

Na safari huyo ropo ropo kawa mtulivu.
Mi mwenyewe nimeshangaa kakutwa na nini? Sio kawaida yake muda km huu huwa anatamba yeye tu!
 
Unaandika sana upuuzi hivi huna hata mda wa kufikiri kidogo maana dishi limeyumba sana

Mbona hata Wewe ' unatiwa ' sana tena mfululizo na ' Madanga ' tofauti tofauti na hata huionei Huruma ' Mbunye ' yako lakini Sisi hatukulalamikii?
 
Acha utahira hayo mengine ni blabla
Mbona hata Wewe ' unatiwa ' sana tena mfululizo na ' Madanga ' tofauti tofauti na hata huionei Huruma ' Mbunye ' yako lakini Sisi hatukulalamikii?
 
Back
Top Bottom