GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yanga ikishinda nitakupeleka kwa mzeee wangu ukawe mke wa tano. Maana wakurya tunapenda kuoa wake wengi.Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.
Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
SureHuu uzi utafaa kwa matumizi ya baadae..
😂😂😂 Kazi mnayo....i hope namba mbili atakaa nyoni siyo shamte aiseey
😟Yanga ikishinda nitakupeleka kwa mzeee wangu ukawe mke wa tano. Maana wakurya tunapenda kuoa wake wengi.
LoooohKwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa Dar es Salaam kila Siku kwa muda wa Mwaka mzima.
Ewe Mwenyezi Mungu najua kuwa tulichokifanya leo ni ' Kufuru ' kubwa Kwako ila tusamehe tu Baba kwani Mkuki Mmoja ule wa BM ulituuma mno.
ID zetu zinafanana mkuu [emoji16][emoji16]Mi nilidhan yanga akifa taifa utakunya boga! Kumbe kuwa gardener tu... Tuondolee utopolo wako hapa.
Au nikuitie Dada yako Shadeeya
Kila ninapoiona yako naanza kustukaID zetu zinafa ana mkuu [emoji16][emoji16]
Hahahaaa. Huyo Mkia lia lia mwenzio Mkuu.Mi nilidhan yanga akifa taifa utakunya boga! Kumbe kuwa gardener tu... Tuondolee utopolo wako hapa.
Au nikuitie Dada yako Shadeeya
Kabisaa Mkuu. Japo wanakimbiaga hawa.Huu uzi utafaa kwa matumizi ya baadae..
Hana sifa ya kuwa mwanamsimbazi huyu we angalia vizuri tu utaona alama zake za utopoloHahahaaa. Huyo Mkia lia lia mwenzio Mkuu.
Na hizi ndo ahadi zenu tulizozizowea bado kuna wale wanatoawaga ahadi za kuvua nguo na kutembea naked hawajaja kumwaga ahadi zao.
Yanga hatunaga watu ka hao sisi.Hana sifa ya kuwa mwanamsimbazi huyu we angalia vizuri tu utaona alama zake za utopolo
Mechi ni leo Dada 12 julai kwa saa za Tanzania mpira utaanza 17:00Hrs.Kwa wale mashabiki kindakindaki, kesho ntakuwa uwanjani mapemaaaa. Ila sitavaa jezi yoyote maana sifungamani na upande wowote.
Baada ya matokeo ntajiunga na upande wenye shamra shamra.
Mechi ni leo Dada 12 julai kwa saa za Tanzania mpira utaanza 17:00Hrs.
Oooh. Hamna shida tutakuwa wote Dada japo mie ni Yanga lialia.Hahaaahahahaa asante kunirekebisha, nilimaanisha leo na ntakuwepo uwanjani. Mambo ya kuandika kwa kuangalia mwanga wa nje. Huku kwetu bado giza totoroo, nasubiri papambazuke nikasemeshane na Muumba.
Angepima upepo kwa kuangalia yule chizi wao manara amehaidi nini,maana adabu imemshika safari hii kawa mpole anaongea kwa kujikaza tu kutetea kibarua chakeHahahaaa. Huyo Mkia lia lia mwenzio Mkuu.
Na hizi ndo ahadi zenu tulizozizowea bado kuna wale wanatoawaga ahadi za kuvua nguo na kutembea naked hawajaja kumwaga ahadi zao.