Mkuu kwa mtu anayejua mpira unajua Yanga hawana wachezaji wenye qualities kama Simba lakini benchi lao la ufundi wapo sharp kuliko Simba.
Leo benchi la ufundi Simba wamejirekebisha mno! Nilijua kama benchi la ufundi Simba likitulia zipo goli si chini ya 4....