Biashara zipi hizo? Unaweza kuzitaja?Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutika hana acccss nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Maneno manenoMbowe swala la pesa kwake hata sio tatizo huyo katokea familia bora Sana kiuchumi .
Biashara yake yakuvuta kwa Chama dola itazorota sana au kufa kabisaKusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Tarehe moja mwezi wa pili pale taifa kwenye kuwaadabisha akina yericko nyerere lazima nayeye Hilo tumbo lipigwe fimbo ili aache tamaa za nyama na pombeLike mingi kwa wakala wetu bon yai
View attachment 3210388
HahYule nani?labda ajiunge chama cha Hashim Rungwe, nako huko atapata kura elfu mbili
Hizo ni past tenses ndugu. Familia yao ni matajiri na wasomi ila sio kama wengi wenu mnavyowapamba. Ninachopenda kuhusu familia ya Mbowe ni kuwa wameamua kuishi kitajiri kwa walicho nacho. No fake life. Mwanaukoo wa Mbowe kula breakfast Southern Sun Hotel ni sawa na mwanaukoo wa Mzee Mbonde kule Kigogo kupata breakfast ya Mihogo na chai rangi. Mbowe wote ni mabepari.Mbowe anarudi zake kwenye raha za utajiri alizopoteza kwasababu ya siasa
Mzee ana pesa nyingi mno, Baba yake enzi hizo alikuwa kwenye top 10 ya matajiri hapa TZ.
alikataa kazi Benki kuu akiwa na miaka 20 kwa sababu mshahara ulikuwa mdogo sana kwake.
we ni mwehu, kumbuka tofauti ya kura za lisu na mbowe ni kura 31 tuYule nani?labda ajiunge chama cha Hashim Rungwe, nako huko atapata kura elfu mbili
Kina Mbowe pesa wanazo wapo class ya matajiri lakini hata matajiri hutofautiana, Mbowe amewahi kumiliki Club Billicanas, Hakujawahi kutokea club hapa Tanzania iliyofikia level za Billicanas mpaka leo, hii ni moja tu ya biashara zakeHizo ni past tenses ndugu. Familia yao ni matajiri na wasomi ila sio kama wengi wenu mnavyowapamba. Ninachopenda kuhusu familia ya Mbowe ni kuwa wameamua kuishi kitajiri kwa walicho nacho. No fake life. Mwanaukoo wa Mbowe kula breakfast Southern Sun Hotel ni sawa na mwanaukoo wa Mzee Mbonde kule Kigogo kupata breakfast ya Mihogo na chai rangi. Mbowe wote ni mabepari.
Maisha ndivyo yalivyo... Chenye mwanzo kina mwisho!Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi