Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
Nitajie biashara za mbowe angalau nne ambazo ni genuine business hapa bongoMbowe anarudi zake kwenye raha za utajiri alizopoteza kwasababu ya siasa
Mzee ana pesa nyingi mno, Baba yake enzi hizo alikuwa kwenye top 10 ya matajiri hapa TZ.
alikataa kazi Benki kuu akiwa na miaka 20 kwa sababu mshahara ulikuwa mdogo sana kwake.