Kwa kushindwa kwake, Freeman Mbowe anakosa fursa zifuatazo

Kwa kushindwa kwake, Freeman Mbowe anakosa fursa zifuatazo

Nimeona aibu kubwa sana mzee wetu kamanda wa makamanda kupigwa Tanganyika jeki na kijana wake.
 
maneno hajawai kukosekana kutoka kwa binadamu, kuna watu wanasema eti bora asinge gombea ,angejitoa mapema, na bado angejitoa bado wangesema ,sasa nini maana ya demokrasia ni kuwapa watu uhuru wa kuchagua yule wanaye mpenda na anayepata kura nyingi ndiye anayekuw kiongozi ,jambo la kumpongeza Mbowe ameonesha mfano mzuri kwa wengine kufuata.
 
Mbowe anarudi zake kwenye raha za utajiri alizopoteza kwasababu ya siasa

Mzee ana pesa nyingi mno, Baba yake enzi hizo alikuwa kwenye top 10 ya matajiri hapa TZ.

alikataa kazi Benki kuu akiwa na miaka 20 kwa sababu mshahara ulikuwa mdogo sana kwake.
kazi benki kuu
mbona kuna stori mtaani mbowe alizungusha fm 6 yeye na ndesa
 
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Nimependa hapo penye popote Duniani au Mbinguni....😁😁😁
 
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Atarudia kuchukua machangu wa UDSM kama zamani bila kujificha
 
Hizo ni past tenses ndugu. Familia yao ni matajiri na wasomi ila sio kama wengi wenu mnavyowapamba. Ninachopenda kuhusu familia ya Mbowe ni kuwa wameamua kuishi kitajiri kwa walicho nacho. No fake life. Mwanaukoo wa Mbowe kula breakfast Southern Sun Hotel ni sawa na mwanaukoo wa Mzee Mbonde kule Kigogo kupata breakfast ya Mihogo na chai rangi. Mbowe wote ni mabepari.
Huwa inashangaza wanavyomsifia.

Hana huo utajiri tunaoimbiwa hapa kila siku.
 
Hiyo ndio weakness yake,chama kinatakiwa kijiendeshe kupitia michango,ruzuku na wafadhili wa ndani na nje
Hilo eneo la kutegemea wafadhili wa nje ni gumu sana. Pesa haziingii hovyo nchini labda kwa njia iwe kwa njia za panya. Ukitaka kuona ugumu wa hizo pesa jaribu mtu kutoka nje akutumie 200M tu kwenye akaunti uone mtiti wake wa kuzitoa Bank.
 
Yeah hela haitoshi lazima itafutwe ,mimi nazungumzia hela hizo za kulambishwa asali za kina abdul ,utamuhonga tsh ngapi? He doesn't have a price tags.
Basi katika pindi ambayo anaweza rambishwa asali na kudhuru chama kuliko wakati mwingine wowote ni sasa. Na hili CDM ikilichukulia kirahisi kuna madhara mbele.

Mbowe akikaa na vijana wake ndani ya chama. Akiwatuliza na kuwataka wapambanie haki yao ndani ya chama na kuwapa support utulivu utakosekana hadi wakati wa uchaguzi. Hii ndio pindi anayoweza kutumika vizuri kuvuruga mambo endapo atavurugwa
 
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Mwiisho wa kulala gerezani how?
 
Back
Top Bottom